Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Sijakuelewa bado mkuu... wewe ndo unanihitaji? ... masharti yangu unayajua lakini? Napenda wanawake wenye makalio.. vip unayo?Naantombe Mushi njoo huku mpima mstaafu anakuhitaji umfanyie ka Mushi
😁😁😁😁Yeye alikuwa mbunge wa chato toka 95 je alimaliza changamoto zao, Tena wananchi wake waliwahi kumpa Kero ya barabara, akawaambia wanye watandaze mavi yawe lami
Hili ndiyo lengo lake,hata CCM wenzake wanamshangaa.Halafu na kwa hali hii ya upendeleo anaouonesha naanza kukubali huyu mwamba bila shaka October atatumia nguvu kubwa sana wasirudi bungeni iwe mbunge au diwani wa upinzani halagu baada ya hapo katiba inabadilishwa anakua rais mpaka kifo..hii janja janja ya kusema atastaafu 2025 nimeanz kuikataa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yeye alikuwa mbunge wa chato toka 95 je alimaliza changamoto zao, Tena wananchi wake waliwahi kumpa Kero ya barabara, akawaambia wanye watandaze mavi yawe lami
Acha kuzuga wewe... mbona umenifuata PM unaomba nikunyandue?Mushi hajapata mimba?
Ila hapo aliponyang'anywa mic si kwasababu alimuadentify kama ni diwani wa chama gani bali ni kwasababu huyo mzee anazunguka sana kujielezea.....
Raisi amekuja kwa ziara ya kushtukiza yeye anaanza kutoa salamu kwa ndugu na jamaa badala ya kwenda straight kwenye point iliyomleta anazunguka na kuleta mambo ya chama cha mapinduzi.....
Nyoosha maelezo, NASHUKURU MHESHIMIWA AND RAIS. CHANGAMOTO ZA WANANCHI ENEO LETU NI MOJA MBILI TATU, SISI KAMA VIONGOZI TUMEFANYA MOJA MBILI TATU KUKABIRIANA NA CHANGAMOTO HIZO NA TUMEKWAMIA HAPA.....
Sasa yeye anaanza, magufuri hoyeeeeeee kwann asishushuriwe....
Kuna watu watasifia hivo vituTumekua tukisikia kwamba mkuu wa nchi ni mbaguzi hasa linapo kuja swala la mitazamo ya kisiasa kitu ambacho si kuzuri na hakifai kwa mkuu wa nchi.
Tofauti na viongozi wenyine hata marais waliopita, Mh hapa amefeli na inaonyesha anafanya makusidi.
Jana akiwa msoga diwani wa hilo eneo aliitwa atoe kero, Mh akadhani ni diwani toka chama cha chadema kwa sababu hakuvaa sare ya ccm, akaamuru anyang'anywe mic na maneno makali juu lakini baada ya kuuliza chama gani akaambiwa ni wa ccm, mara moja akaamuru arudishiwe mic na aendelee kuongea.
Leo tarehe 29 June 2020 akiwa kilosa akaanza kumponda mbunge wa eneo na kusema wananchi wa eneo hilo wanachagua kwa jazba akiamini mbunge wa eneo hilo ni qa chadema. Anaongeza kwa kusema yeye angekua mbunge wa eneo hilo angekua amemaliza changamoto zote ila kwa sababu wananchi wanachagua kwa jazba na wanachagua wabunge sio ndio maana bado changamoto zipo.
Baadae akauliza mbunge wa hapo anaitwa nani na wa chama gani? Wananchi wakamtaja na kumwambia anatoka chama chamapinduzi.. Bila hata aibu akaanza kumsifia na kuahidi kuzimaliza changamoto hizo akisadiwa na waziri husika.
Wananchi wa Tanzania sio watoto wanajua na wanaelewa vizuri, wao wanapendana bola kujali vyama, dini wala kabila lakini bado kuna viongozi karne hii wanasimamia ubaguzi.
Naamini mh Rais ana nia njema na Tanzania, lakini bado ana nafasi ya kuondoa hurka hii ya ubaguzi hata kama chadema walimpa wakati mgumu 2015.
Rais ndio kiungo pekee cha kuwaunganisha watanzania .
Sio sababu ya yeye kuendelea kubagua vyama vya upinzani hali kazi zake alizo zifanya zinaonekana.
Haya mambo madogodogo yanamuondolea kitu fulani kama kiongozi.
Tuungane kuuoinga ubaguzi.
Nkuu, jikite kwenya mda husika. Hoja ya mleta uzi na mambo yaliyofanyika katika hizo ziara. Je ni uongo?? Isikilize dhamira yako!!
Msijiite wapinzani, nyie ni wachumia tumbo, wala hamkua na nia ya kuuza sera bali ni kutaka kuleta mtafaruku. Uzuri sasa hivi mmekwisha kabisa kabisa hamna mpya wala pa kujifichia
Wazee wa kusia kila kituNi sawa wa tu hata ningekuwa mimi diwani/mbunge wa chadomo wa Kazi gani? Ningemfukuza kabisa eneo nililokuwepo, Kazi kupinga pinga tu.kama ndio wa Cha Domo unafikiri angeongea Nini? Wapinga maendeleo ndio dawa yao hiyo, Safi sana magufuli.
Unachokishangaa kwangu na Mimi vilevile nakishangaa kwako!!Hata Elibashir wa Sudan alikuwa na watetezi wapanga pointi kama za kwako.
usikute hata haujasomaNi kuulize tu awe mbunge/diwani wa Cha Domo kapewa Mic aongee na wananchi wake atawambia Nini? Tumefanya hiki? tumeleta hiki? Tunazindua hiki? Tuna Jenga hiki?
Ubaguzi huu umeshaanza kumea na kama atapitishwa tena kipindi cha pili hadi anamaliza miaka yake kumi ubaguzi huu utakuwa umekomaa na kuzaa chuki na uhasama hivyo kuiacha Tanzania yenye chuki kati ya wanaccm na wapinzani wa kweli. Hii ni hatari kubwa.Tumekua tukisikia kwamba mkuu wa nchi ni mbaguzi hasa linapo kuja swala la mitazamo ya kisiasa kitu ambacho si kuzuri na hakifai kwa mkuu wa nchi.
Tofauti na viongozi wenyine hata marais waliopita, Mh hapa amefeli na inaonyesha anafanya makusidi.
Jana akiwa msoga diwani wa hilo eneo aliitwa atoe kero, Mh akadhani ni diwani toka chama cha chadema kwa sababu hakuvaa sare ya ccm, akaamuru anyang'anywe mic na maneno makali juu lakini baada ya kuuliza chama gani akaambiwa ni wa ccm, mara moja akaamuru arudishiwe mic na aendelee kuongea.
Leo tarehe 29 June 2020 akiwa kilosa akaanza kumponda mbunge wa eneo na kusema wananchi wa eneo hilo wanachagua kwa jazba akiamini mbunge wa eneo hilo ni qa chadema. Anaongeza kwa kusema yeye angekua mbunge wa eneo hilo angekua amemaliza changamoto zote ila kwa sababu wananchi wanachagua kwa jazba na wanachagua wabunge sio ndio maana bado changamoto zipo.
Baadae akauliza mbunge wa hapo anaitwa nani na wa chama gani? Wananchi wakamtaja na kumwambia anatoka chama chamapinduzi.. Bila hata aibu akaanza kumsifia na kuahidi kuzimaliza changamoto hizo akisadiwa na waziri husika.
Wananchi wa Tanzania sio watoto wanajua na wanaelewa vizuri, wao wanapendana bola kujali vyama, dini wala kabila lakini bado kuna viongozi karne hii wanasimamia ubaguzi.
Naamini mh Rais ana nia njema na Tanzania, lakini bado ana nafasi ya kuondoa hurka hii ya ubaguzi hata kama chadema walimpa wakati mgumu 2015.
Rais ndio kiungo pekee cha kuwaunganisha watanzania .
Sio sababu ya yeye kuendelea kubagua vyama vya upinzani hali kazi zake alizo zifanya zinaonekana.
Haya mambo madogodogo yanamuondolea kitu fulani kama kiongozi.
Tuungane kuuoinga ubaguzi.
Prof Jay
Kwa unafiki na uzushi hamjambo, uzuri watz hawataki kuwasikiaAcha kuzuga wewe... mbona umenifuata PM unaomba nikunyandue?
Bisha niweke ushahidi hapa..
Mwanamke huna adabu kabisa wewe, yaani unaombaje kunyanduliwa na mtu humjui????
Ubaguzi huu umeshaanza kumea na kama atapitishwa tena kipindi cha pili hadi anamaliza miaka yake kumi ubaguzi huu utakuwa umekomaa na kuzaa chuki na uhasama hivyo kuiacha Tanzania yenye chuki kati ya wanaccm na wapinzani wa kweli. Hii ni hatari kubwa.
Kweli mkuu mimi huwa sipendi kufatilia siasa lakini ulichokizungumza ni kweli leo TBC aliaanza kumponda sana mbunge wa hapo akijua ni wachama cha upinzani. Baada ya kuambiwa anatokea ccm ikabidi aanze kumsifia bila hata aibuAnadhani kupiga virungu mawazo mbadala ni kufanikiwa..