Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umenena sababu mtoa maada nadhani haijui songea vzr.Namshauri awe anatembea mikoani ili ajiridhishe kabla ya kutoa uzi wake.songea mzunguko wa pesa ni mkubwa ni wazalishaji wakubwa wa mazao ya chakula na biashara,kuna machimbo mengi ya madini.sekta ya afya iko vzr,mbali na serikali wakatoliki wabenediktini wamewekeza Sana,peramiho,litembo,Lituhi mission nk.huduma za maji iko vzr.Mjini songea huhitaji kuchimba vyoo vya shimo.mifumo ya maji Safi na taka yameunganishwa.Mabwawa makubwa yamejengwa kiblang'oma na sijajua Kama hata tawi la St Augustine Kama lilifungwa ila St Joseph lkn bado kuna vyuo vingi vya Kati vingi vinavyotoa taaluma mbalimbali mikoani ruvuma,Lizaboni umeme ni muda wote.Sijajua mtoa maada Kama ana ufahamu mkubwa kutoka mikoa hiyo
Mleta mada hebu tuambie:-
= Kutokuwepo kwa Chuo Kikuu kuna vijana wamekosa Elimu ya Chuo Kikuu? na iwapo hoja yako ni muhimu hebu tuambie mikoa ya magharibi (kigoma, tabora na katavi) kuna Chuo Kikuu?
Wangoni huwa hawarudi kabisa kwao ila wako ktk nyazifa kubwa Lindi ushirikina ndyo shida aisee daahHuo uliouandika Hapo ni ujinga mtupu na hiyo ni akili mgando.Kama wangeendekeza ngono basi karibu wote wangekuwa HIV positive.wangoni wako kila sekta nchi hii na wameshika nyazifa kubwa na Kama wangeendekeza ngono hata shule wangekuwa nyuma basi.Kwa nn ruvuma ni among the big five?
Waache kukimbilia sehemu zingine km Dar wajenge kwao na wapunguze ujuaji.
Wee bwana murongo kweri mchana kweupe? Unajua Daraja la Malagarasi? Unajua historia ya Suez Canal kabla ya hapo Liverpool hadi Mombasa ilibidi uzunguluke kupitia Cape Town na Mtwara? Mbunge wenu fundi kujitapa ana hela ya world bank za mimba darasani na za kujenga uwanja wa michezo na wa kulima michikikichi na kujenga University. Kwa nini usianze naye? Kikwete kawapa daraja hilo, angekuwa kama nyie lingejengwa Bagamoyo au Kimandolu.Nimeshakwambia huko Kigoma hata hizo za msaada hakuna,Hadi leo hii tunaongea ukitaka kufika Kigoma na Katavi lazima ule tope
Kwa uliyoyaandika tu hapa yamesadifu yale Madhaifu yote kuhusu Makabila ya Kusini na hiyo Mikoa ambayo nimeyaainisha hapo mwanzoni. Pole!Huo uliouandika Hapo ni ujinga mtupu na hiyo ni akili mgando.Kama wangeendekeza ngono basi karibu wote wangekuwa HIV positive.wangoni wako kila sekta nchi hii na wameshika nyazifa kubwa na Kama wangeendekeza ngono hata shule wangekuwa nyuma basi.Kwa nn ruvuma ni among the big five?
Una maana gani?natamani kwenda songea ni kuzini tu
Hayo mapungufu si inawezekana wakarekebisha?Tukubali tu kwamba hapo nyuma taasisi zilianzisha vyuo vikuu ktk mazingira ya kujipigia fedha - Chuo hakina wakufunzi, miundombinu, laibrari, nk nk
Sasa wajibu wa Serikali ni pamoja na coordination - haviwezi kuachwa viendeshwe kiholela
Sijui nikutukane lakini nimekusamehe maana najua akili yako ni ya ndezi. Watu wa Lindi Mtwara hususan vijana walikimbilia Dar es Salaam na sehemu nyingine katika kutafuta maisha bora kama wafanyavyo watu wengine. Hata hivyo, wewe ndezi hujua historia ya mikoa hiyo na uonevu mkubwa uliofanywa na serikali zoote za CCM hasa tukianza na ile ya Nyerere ambaye ndiye alitandaza msingi wa uonevu dhidi ya watu wa mikoa hiyo ya kusini.Waache kukimbilia sehemu zingine km Dar wajenge kwao na wapunguze ujuaji.
Kupigania hali?!?! Si kwa watz. Si kwa waznz. Si kwa wa kanda ya kusini.Watu kujitambua na kukubali kulipa gharama ya kupigania haki zao zinapovunjwa na watawala.
Mkuu kuhusu vyuo vinavyotoa elimu ya juu mikoa hiyo mbona ipo.Mikoa mingi inayopatikana kusini mwa Tanzania iko nyuma kimaendeleo.
Ruvuma, Lindi, Mtwara hii mikoa ni imetengwa na kupuuzwa kwa miaka mingi.
Nitaelezea kwa Ruvuma, mkoa wa Ruvuma makao makuu Songea hakuna chuo cha elimu ya juu hata kimoja, vilivokuepo vyote vilifungiwa na ikawa mwisho wake.
Yanayotokea huko mengine yanastaajabisha.
Kata ya Tanga manispaa ya Songea uchaguzi mkuu 2015 walichagua upinzani kwa nafasi ya udiwani.
Yule diwani alikuja kujiunga na upande wa chama kilicho madarakani kwa sasa.
Alikuwa kati ya viongozi wa kwanza kujiunga kwa kudai kuunga juhudi. hii ilisababisha tafrani kubwa kwa wakazi wa huko.
Kwa kua watu walichagua upinzani wakaambiwa sasa mtaona cha mtemakuni kimaendeleo mtatengwa adi mtapojirekebisha yani wachague wale wa chama kilicho madarakani.
Sasa kuna mtaa ambapo yule diwani anatoka umeme umewekwa kata nzima isipokua hapo tu kwenye huo mtaa wameruka lakini ilipokaribia uchaguzi mkuu 2020 wiki moja kabla walileta wafungwa kuekea nguzo wakidai wanafunga umeme hii ilikua zuga sababu adi leo hakuna huo umeme na wanaambiwa tunawakomesha, sababu walichaguaga diwani kutoka upinzani mwaka 2015 ambae nae alijiunga na ule upande wa chama kinachotawala 2017.
Kosa la hawa watu ni nini?
Hii mikoa imekosa maendeleo miaka mingi sehemu nyingi hakuna hata umeme, maji, hospitali etc. Wameleta umeme lakini nao unawekwa kwa ubaguzi hawa watu wanapandikizwa chuki kwa lazima hilo muelewe.
Yale ya Soweto miji iliopuuzwa, iliotengwa kimaendeleo sababu walikua wanaishi watu weusi kule Afrika ya kusini, yanatokea na Tanzania.
Afrika ya kusini ulikuwa ubaguzi wa rangi uliofanywa na makaburu, Tanzanaia ni ubaguzi wa kisiasa unaofanywa na watu wanaofikiri taifa hili ni mali ya chama chao.
Hivi ndo kukoje vile?Kujitegemea kama alivyoasisi Mwalimu Nyerere ndiyo dawa bora!