Ubaguzi wa kisiasa, mikoa ya Kusini ni Soweto ya Tanzania

Ubaguzi wa kisiasa, mikoa ya Kusini ni Soweto ya Tanzania

Sijui nikutukane lakini nimekusamehe maana najua akili yako ni ya ndezi. Watu wa Lindi Mtwara hususan vijana walikimbilia Dar es Salaam na sehemu nyingine katika kutafuta maisha bora kama wafanyavyo watu wengine. Hata hivyo, wewe ndezi hujua historia ya mikoa hiyo na uonevu mkubwa uliofanywa na serikali zoote za CCM hasa tukianza na ile ya Nyerere ambaye ndiye alitandaza msingi wa uonevu dhidi ya watu wa mikoa hiyo ya kusini.

Sera ya Nyerere kwa mikoa ya kusini ilikuwa kuifanya Ngao dhidi ya mashambulizi ya nchi zilizokuwa zinadai uhuru wao za Msumbiji Zimbabwe Afrika Kusini na Angola. Nyerere hakutaka mikoa hiyo isonge mbele kimaendeleo. Akaitenga kiuchumi na kijamii. Akainyima fursa zote. Akajenga makambi ya Jeshi na kuweka vituo vya rada tu.

Akatumia uchumi wa watu wa mikoa ya kusini kunufaisha watu wengine. Kumbuka zao la Mkonge lilipoanguka miaka ya 70 zao la korosho lilichukua nafasi ya kuleta fedha za kigeni kwa nchi. Pamba ilipoporomoka korosho ilifidia. Kimsingi watu wa kusini hawakufaidika na zao la korosho kwa sababu walinyonywa vibaya sana na serikali kupitia Board ya Korosho. Ni dhahiri kwamba unyonyaji na ukandamizaji huu uliendelea na kurithishwa na watawala waliofuata labda kwa sababu ni chama kilekile.

Hakuna mtu anayekimbia kwao kwenye manufaa. Tazama leo hii vijana wengi wamerudi Mtwara na Lindi hasa katika miaka ya 2014, 2015 na 2016 ambapo korosho ilianza kuleta tija kabla ya maamuzi yaliua kabisa zao hili mwaka 2018.

Sina uhakika wewe mbulula unaandika message hii ukiwa kwenu Malampaka huko au na wewe sawa sawa tu na hao unaowaita wakimbizi wa kiuchumi. Ila cha kuzingatia katika mada hii ni Mikoa ya kusini inaonewa!!!@

Be careful kijana
Sidhani iwapo mikoa hiyo ilitengwa - ni kumwonea Mwl Nyerere na waliomfuata kama dhana ni korosho:-
= Tusemeje kwa mkoa wa Kagera ambapo uvuvi, kahawa na kilimo huchangia pato la taifa?

= Tusemeje kuhusu mkoa wa Shinyanga ambako diamond huchimbwa toka kabla ya Uhuru?

= Tusemeje kuhusu mkoa wa Geita ambapo dhahabu huchimbwa tangu enzi?
Unataka kumaanisha kwamba korosho ya kusini inatosha kujenga madarasa watoto wakasoma, inatosha kujenga Zahanati watu wakapata huduma za afya, inatosha kujenga barabara usafirishaji ukafanyika?

Kwa ujumla iwapo mapato ya kila mkoa yakielekezwa ktk maendeleo ya mkoa husika bado mtalia sana! Lakini pia Serikali ya JPM imepambana sana kuwainua
 
Sijui nikutukane lakini nimekusamehe maana najua akili yako ni ya ndezi. Watu wa Lindi Mtwara hususan vijana walikimbilia Dar es Salaam na sehemu nyingine katika kutafuta maisha bora kama wafanyavyo watu wengine. Hata hivyo, wewe ndezi hujua historia ya mikoa hiyo na uonevu mkubwa uliofanywa na serikali zoote za CCM hasa tukianza na ile ya Nyerere ambaye ndiye alitandaza msingi wa uonevu dhidi ya watu wa mikoa hiyo ya kusini.

Sera ya Nyerere kwa mikoa ya kusini ilikuwa kuifanya Ngao dhidi ya mashambulizi ya nchi zilizokuwa zinadai uhuru wao za Msumbiji Zimbabwe Afrika Kusini na Angola. Nyerere hakutaka mikoa hiyo isonge mbele kimaendeleo. Akaitenga kiuchumi na kijamii. Akainyima fursa zote. Akajenga makambi ya Jeshi na kuweka vituo vya rada tu.

Akatumia uchumi wa watu wa mikoa ya kusini kunufaisha watu wengine. Kumbuka zao la Mkonge lilipoanguka miaka ya 70 zao la korosho lilichukua nafasi ya kuleta fedha za kigeni kwa nchi. Pamba ilipoporomoka korosho ilifidia. Kimsingi watu wa kusini hawakufaidika na zao la korosho kwa sababu walinyonywa vibaya sana na serikali kupitia Board ya Korosho. Ni dhahiri kwamba unyonyaji na ukandamizaji huu uliendelea na kurithishwa na watawala waliofuata labda kwa sababu ni chama kilekile.

Hakuna mtu anayekimbia kwao kwenye manufaa. Tazama leo hii vijana wengi wamerudi Mtwara na Lindi hasa katika miaka ya 2014, 2015 na 2016 ambapo korosho ilianza kuleta tija kabla ya maamuzi yaliua kabisa zao hili mwaka 2018.

Sina uhakika wewe mbulula unaandika message hii ukiwa kwenu Malampaka huko au na wewe sawa sawa tu na hao unaowaita wakimbizi wa kiuchumi. Ila cha kuzingatia katika mada hii ni Mikoa ya kusini inaonewa!!!@

Be careful kijana
Huu ndo ujuaji niliosema hamuwezi kuendelea kwa Sababu hamjui mlipokosea
 
Back
Top Bottom