sio suala la chuki, kwenye kutafuta maisha "maendeleo" ninyi mnaongoza na hakuna ubishi, na malezi na makuzi yamewafanya hivyo.Unaonekana una chuki KUBWA SANA nawachagga nasikitika ni kwanini mnawachukia wachaga kiasi hiki? Ni mali na akili walizo pewa na Mungu tu au kuna lingine?
Waache majirani banaWanajikutaga keki sana halaf hawana lolote kazi kuja kuwachuna kaka zetu wa kirombo na ushamba wao tu[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata sielewi waliufanyaje aisee. Ila watu waliwasha moto dk 0 siuoni[emoji23]
Heheee hiv miaka sio issue weUsiangalie miaka ya kumaliza shule,inawdzekana ukawahi kumaliza shule lakini ukawa mdogo kuliko uliowaacha madarasa
Udsm ulisomea nn
Mimi ni mtaalam wa upimaji ardhi
Ila enzi zenu taboragirls mlikuwa mnaharibu sana ha ha ha
Safi sana manka!Heheee hiv miaka sio issue we
Weee nikisema course ntajulikana Sana. Ila ni Engineering
alikufanyia nn mkuu?Naam nami bila shaka nasisitiza usijaribu kuoa mmachame.yamenikuta mangi nashauri hata awe mzuri na wangu alikuwa mzuri na kiuno cha nyigu na mcheshi na upole sana na she was so positive na mwenye story sana.
Lakini nasisitiza usioe mmachame kabisa.
Sent from my SM-A605FN using JamiiForums mobile app
nashangaa kuna watu wanabisha!!Hii kuua ni kweli kabisa mimi ni mchagga wa kibosho nimeshuudia wazee wakisema, kuhusu wanawake wa kimachame kuwa wa jeuri hii ni ukweli kabisa kati ya 10 7 ni wajeuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mchana njiwa usiku popoUkisikia Muislam basi anzia na Machame maana kama dini wameishika kama wapalestina waislama haswaaa
Hahaaa nishaolewa miaka 6 Sasa hivSafi sana manka!
Njoo nikuoe kwa mkopo
Sio kweli dada, mimi nimeoa muislam, ukihitaji mwanaume wa kiislam niambie kati ya Tanga na zenji, au Hata wa kisukumaWaislam ni namba 1 kwa ubaguzi duniani
Nadhani mimi ni mwanamke pekee ninayependa mtoto wa kike kuliko wa kiumeMimi mtoto yoyote nitampenda Ila unajua favorite kid eeh nikama tu nyinyi wanaume mnavopenda watoto wa kike
Wako wengi, hoja ninayoisikia ni kumpata wa kumsaidia na kumleaNadhani mimi ni mwanamke pekee ninayependa mtoto wa kike kuliko wa kiume
Mimi wala sijafikiria huko, hata akiwa mdogo napenda mtoto wa kike, yaani hata kama kumsaidia mtu kubeba mtoto nakuwa mwepesi zaidi kama akiwa wa kikeWako wengi, hoja ninayoisikia ni kumpata wa kumsaidia na kumlea
Kwanini?Mimi wala sijafikiria huko, hata akiwa mdogo napenda mtoto wa kike, yaani hata kama kumsaidia mtu kubeba mtoto nakuwa mwepesi zaidi kama akiwa wa kike
Wala sina sababu ya msingi, napenda tuKwanini?
We umeolewa?Wala sina sababu ya msingi, napenda tu
Unataka kusema nini?We umeolewa?
"Kama huna cha kuandika mkuu.... N bora tu ukae kmya kulko kukashfu Din za watu"[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578]Waislam ni namba 1 kwa ubaguzi duniani