Ubaguzi wa makabila katika kuoa

Ubaguzi wa makabila katika kuoa

Hana hata 100 huyo mwanae anawaza kuuawa? Atauwawa na shida zao tu nyingiiii.
It takes a real men to marry a smart, well raised, confident and hard-working chaga girl sio kavulana kabaki fanyiwa decision.
Ndo maana Kuna wenye uwezo wa vorgue na IST, we uwezo wako Ni IST usione wenye vorgue zao wabayaaa.
Stick to your line na ajiandae maendeleo atayasikia redion
😁😁🏃🏃

Wachaga wanashikaga sana mimba secondary hasa form Two...migombani..
 
Kawaida umbile la mwanaume ni ushupavu, ujasiri na ukakamavu. Kwa umbile hili mwanaume akapewa jukumu la kutafuta na kurudi kuiletea familia chakula, kuisimamia na kuitunza.

Unapouliza "Ni nani mwenye haki kuliko mwingine... " swali hili ni pungufu unatakiwa kulimalizia ili ufikishe ujumbe ulio kusudiwa, sababu hapo lazima nitakuuliza "Mwenye haki kuliko mwingine kwenye nini ?"

Hapa hujasoma ibara vizuri ukaielewa, niliandika ya kuwa hakuna hora zaidi ya mwingine isipokuwa yule ambaye ni mtiifu kwa Mola wake, hata kama ni mmachame kama ni mchamungu yeye ni bora kuliko myahudi popote alipo, kwahiyo haijalishi mwanaume, au mwanamke,haikalishi ni mweupe au mweusi au mwekundu.

Majukumu ya sisi wanaume ni kumsimamia mwanamke na kuhakikisha anapata stahiki katika haki zake, mapenzi, huruma na matunzo.

Hapa inabidi uniambie, hao watu wanajuaje lipi baya na lipi zuri, na uniambie akilo inamuongoza vipi mtu katika mema na mabaya peke yake ? Hilo ulitakiwa ulifikirie kwa umakini ndiyo ujenge hii hoja.

Wema si kufanya lile linalo onekana jema kwa watu, wema ni kupatia katika lile jema unalo lifanya.

Mfano nikikuuliza wewe, unaujuaje uzuri wa kula kwa adabu au kuvaa kwa mwanamke ? Au wewe ukila unakula kwa mkono gani ?

Juzi nilikufundisha jambo moja naimani kama ungemakinika nalo, usiandika hayanilikwambia imani nazo hithibitishwa na kuna imani sahihi, ambazo zimejengeka katika elimu na ushahidi na kuna imani potofu ambazo zimejengeka katika ujinga, hawaa za nafsi na ushirikina.
Mbona hata Mimi Ni jasiri, shupavu na ninadanya kila kitu kinachofanya na jinsia ya kiume, na Tena hata sitegemei matunzo ya mwanaume na ninaishi vizuri Raha mstarehe kabisa. Kwahyo Mimi kutafta hela, kujitunza hzo role zote zimekuwa mwanaume tayari?
Pia Kuna swala umegusia kuhusu kutii huyo Mola umesema foristance nikitii Mola nakuwa Bora kuliko wayahudi huoni hapo umeingiza ubaguzi, maana Mimi naamini binadamu wote ni Bora na Wana haki sawa regardless of their background, dini, ethnicity etc. So kusema huyu ni Bora huyu sio Bora Ni kind of discrimination flani hivi ambayo watu wanaojifanya wanamwomba Mola huwa wanafiki na kubagua wengine sio tu unafiki na roho mbaya pia.

Halafu pia Kuna mahali umegusia swala la kula ooh mie naweza tumia mkono wowote and I'm comfortable na sifungwi na Sheria yoyote.
Halafu umeuliza kuhusu mavazi ya wanawake Mimi navaa chochote ninachojiskia na kinachonipa Uhuru nikitaka kuvaa suruali navaa, skin jeans hyo, kata mikono hyo offshoulders hyo in short Niko free siamini kwenye kuvaa miguo na kujifunika uso Kama ninja eti ni tabia njema siamini Hilo kabisa, Tena wavaa hivo naona wanafiki flani Bora enzi za mabibi huko
 
Bibie labda itakuwa naandika kwa lugha ninayo ielewa mwenyewe, naomba nikuulize swali dogo sana.

Wewe haki yako au jukumu lako huwa unalijua kwa kutumia mimi ? Je kupitia semina na kura za maoni za ututezi wa wanawawake au kwa elimu au kwa njia gani ? Naomba unieleze hili kielimu siyo kihamasa za uanamke wako.
Mimi jukumu langu na haki yangu ninaifahamu eeh kwanza Kuna haki ya kuishi Kama raia mtanzania nisiye vunja Sheria za nchi then haki nyingine za kwangu ka mtu mzima mwenye maamuzi yangu tasiyofungamana na mtu au dini yoyote Ile.
My rules my principle
 
Mbona hata Mimi Ni jasiri, shupavu na ninadanya kila kitu kinachofanya na jinsia ya kiume,
Unaelewa mtu akisema kawaida au anapo tumia tamko kawaida ? Unapo kuta mwanamke ni jasiri hii si kawaida na hii huwa ni habari, kama ilivyo unapokuta mwanaume muoga hii huwa habari ya kushangaza.

Siyo kweli hufanyi kila ninacho fanya mimi.
 
Mimi jukumu langu na haki yangu ninaifahamu eeh kwanza Kuna haki ya kuishi Kama raia mtanzania nisiye vunja Sheria za nchi then haki nyingine za kwangu ka mtu mzima mwenye maamuzi yangu tasiyofungamana na mtu au dini yoyote Ile.
My rules my principle
Hujajibu swali.
 
Unaelewa mtu akisema kawaida au anapo tumia tamko kawaida ? Unapo kuta mwanamke ni jasiri hii si kawaida na hii huwa ni habari, kama ilivyo unapokuta mwanaume muoga hii huwa habari ya kushangaza.

Siyo kweli hufanyi kila ninacho fanya mimi.
Sasa inategemea na wewe una maanisha Nini mtu akiwa shupavu maana Mimi nimeona wanawake wengi wakifanya makubwa tu na watu wamezoea, labda kwa jamii yako wakifanya ni habari maana Ni very few
 
Sasa inategemea na wewe una maanisha Nini mtu akiwa shupavu maana Mimi nimeona wanawake wengi wakifanya makubwa tu na watu wamezoea, labda kwa jamii yako wakifanya ni habari maana Ni very few
Naomba unipe mfano bibie.
 
Hana hata 100 huyo mwanae anawaza kuuawa? Atauwawa na shida zao tu nyingiiii.
It takes a real men to marry a smart, well raised, confident and hard-working chaga girl sio kavulana kabaki fanyiwa decision.
Ndo maana Kuna wenye uwezo wa vorgue na IST, we uwezo wako Ni IST usione wenye vorgue zao wabayaaa.
Stick to your line na ajiandae maendeleo atayasikia redion
😁😁🏃🏃
*Vogue

Je tuhuma hizo dhidi ya wapalestina hazina ukweli wowote au wanawaonea tu?
 
We huoni nchi nzima imesimama kisa hiyo voice note iliyotoka, na hata thread za wachaga huku jamii forum Ni nyingi mnoooo
Cheki record kila mahali mchaga is always ontoppp
Mti wenye matunda lazima urushiwe mawe sanaaaaa na mkiyarusha sisi tunajenga mnabaki mnalialia wakati uwezo wa mahari tu hamna[emoji16]
Kwani umeshaolewa?


Kama bado natangaza nia

Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
 
Naomba unipe mfano bibie.
Si wewe ulisema mwanaume mfanyakazi na kutunza familia ndio mwanaume how about wanawake wanao provide kila kitu kwa familia.
And then you said in ur society wanawake wafanyakazi inakuwa big news lakini ninapoishi it's normal wanawake ku provide kwa familia, Sasa unataka mfano gani Tena hapo?
 
[emoji23][emoji23]Ina maana wewe hujui haki zako aisee
Mimi najua haki zangu na nina jua nazijuaje haki zangu. Nimekuuliza wewe sasa uniambie. Kama hujaelewa hili swali nitakuoa mfano itakapo bidi.
 
Mimi najua haki zangu na nina jua nazijuaje haki zangu. Nimekuuliza wewe sasa uniambie. Kama hujaelewa hili swali nitakuoa mfano itakapo bidi.
Mimi haki zangu nazijua na sihitaji kumuelezea yeyote
 
Ndo nakuuliza dadako akiolewa uchagan Sasa hiv akazaa mtoto wa kike utampa hizo tuhuma? Afu ukisema always means matukio yapo kila siku au ?
Kama ungeielewa comment yangu basi usingeniuliza hili swali, mimi nimesema sijui na maandiko yanatukataza kiwashuhudia majirani zetu uongo kwahiyo nipo hapa kuujua ukweli wa hizo tuhuma.

Nimesema 'always' kwa sababu hata akifanya mmakonde basi lazima afananishwe na mchaga, why?


Halafu hapo juu nimekuuliza kama jimbo liko wazi nitangaze nia ili niwe na ushahidi wa kuona na si kusikia.

Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
 
Ndo nakuuliza dadako akiolewa uchagan Sasa hiv akazaa mtoto wa kike utampa hizo tuhuma? Afu ukisema always means matukio yapo kila siku au ?
UKweli upo mbona hawasemi other sub tribes wachagga kuna warombo, wamarangu, wakilema, wakirua, waold moshi, wauru, wakibosho why wamachame tu, in every general rule there is an exception ila wamachame wanaongoza tangu enzi wajirekebishe. Tz ina 120 tribes na wamachame is a mere sub tribe ya wachagga, why them always! Ukweli upo wajirekebishe
 
Back
Top Bottom