Ubaguzi wa makabila katika kuoa

Ubaguzi wa makabila katika kuoa

Huu
Hivi huu ubaguzi wa makabila bado upo hadi leo?
Nimekutana hii clip ya baba akimuonya mwanae asimpeleke mchumba wake wa Machame kwake, toka siku nyingi nasikia tu Usioe wa Machame, wana Jf wachagga mtusaidie, wanawake wa machame waliwafanya nini wanaume wengine wa kichagga?! Mshana Jr hebu tusaidie.
Huu siyo ubaguzi ni hofu dhidi ya mila mbaya na ovu ya kuua wanaume ili kurithi mali. Ukiwa na tabia mbaya ukaogopwa au kutengwa usiseme unabaguliwa. Tz ina makabila yasiyopungua 120, na wamachame ni tawi tu la kabila la wachagga ni sub tribe, tujiulize why wasiwaseme wachagga wa Uru au wakibosho au wamarangu au wakilema au wakirua au warombo au waold moshi. Ukweli upo wanawake wa kimachame wajirekebishe
 
We
Eti huua wanaume wao, na Wala hatujawahi kuona kesi zao mahakamani
Weye ni msajili wa kesi zote mahakamani? Una rejista ya kesi zote mahakamani? Tuhuma hapa ni kuua kwa njia za ushirikina, mahakama hazina uwezo wa kuthibitisha uchawi. Na usikatae uchawi upo, kama Mungu yupo na shetani yupo na kama shetani yupo na uchawi upo
 
Moshi ni mojawapo ya wilaya saba ktk mkoa wa kilimanjaro siyo kila mchagga anatoka Moshi, kuna Rombo, Siha na Hai pia, na wamachame a.k.a Wapalestina wanatoka wilaya ya Hai na siyo Moshi
Kwanini wanaitwa wa Palestina
 
MENGI ALIPONEA CHUPU CHUPU...!! Wadada wa kimachame na mali aiseee mbona utatangulia mbele za haki tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani mzee kasema kwa Uchungu sanaaa jamaa kabaki kimyaa tu.
 
Hahaaa kiswahili kigumu ndugu yangu, wanawake tuna roho ngumu ya kuvumilia mengi

Sio kwamba mna roho ngumu!
1. Bado asilimia kubwa wanaume ndio breadwinners, kwa hiyo waakuwa exposed kwenye risks nyingi

2. Wanawake wakiwa na ishu inawatatiza ni rahisi kuisema na hata kutoa machozi ili hasira itoke, ila wanaume wanakufa nayo moyoni!kiafya ina athari kubwa mnoo!
 
Sio kwamba mna roho ngumu!
1. Bado asilimia kubwa wanaume ndio breadwinners, kwa hiyo waakuwa exposed kwenye risks nyingi

2. Wanawake wakiwa na ishu inawatatiza ni rahisi kuisema na hata kutoa machozi ili hasira itoke, ila wanaume wanakufa nayo moyoni!kiafya ina athari kubwa mnoo!
Hafu wanawake tukiumwa tunakimbilia hospital, au popote kutafta suluhu na ndio maana wanawake wamejaa kwa mitume, manabii fake, na nyumba za ibada huko kote nikutafta faraja, matumaini na hyo husaidia kwa asilimia kubwa, Sasa wanaume mnakufa na tai shingoni Jambo linakutatiza unalivumilia huku linakuua kimya kimya tu bila kujua
 
We

Weye ni msajili wa kesi zote mahakamani? Una rejista ya kesi zote mahakamani? Tuhuma hapa ni kuua kwa njia za ushirikina, mahakama hazina uwezo wa kuthibitisha uchawi. Na usikatae uchawi upo, kama Mungu yupo na shetani yupo na kama shetani yupo na uchawi upo
Serikali haiamini uchawi, wanaume mnauliwa na mashida yenu Wala sio kuuliwa bwana, dunia nzima wanaume hufa mapema kuliko wanawake na sababu zipo wazi kabisa, na hata wewe utatangulia kufa na mkeo hata asihusike kabisa that's life.
 
*Vogue

Je tuhuma hizo dhidi ya wapalestina hazina ukweli wowote au wanawaonea tu?
Mfano mtoto wako wa kike akiolewa uchagan Sasa hiv akapata mtoto wa kike utampa huyo mtoto hiz tuhuma?
Hayo yote yalisemwa sababu zaman ilikua ikitokea mume kafariki kwa sababu zozote, mke hakukubali Mali za watoto wao zichukuliwe na shemeji au ndugu wa mume, na ilikua rahisi Sana mke wa kichaga kuweza kuzuia hizo Mali as wengi wanashiriki Sana kuzitafuta Sasa ndugu wa mume wakiona tu kawakatalia wanaona Kama ndo kamuua mume kwa sababu ya hizo Mali. But ukweli wanakua wanaujua na yote hiyo Ni kwa sababu ya watoto
Wewe Shahid jinsi familia nyingi baba akifariki zaman watoto wanavyoteseka mama akizubaa na huo mashemeji ndo wafujaji wakubwa.
So the confidence yao ndo unawapa lawama
 
Sie wanawake huzeeka mapema Ila twaishi mda mrefu hata vile tulivoumbwa Kama walezi na kuachia vitu moyoni haraka inasaidia tofauti na wanaume Mambo mengine wameaminishwa kuwa ni mwanaume vumilia shida usiseme, ukisema unakuwa ka mwanamke kumbe nao Ni binadamu wanahitaji msaada wa kisaikolojia. So wanaume hupitia mengi mno Sana imagine kuridhisha tu wanawake hyo amuont of energy wanayotumia ni kubwa fikiria hela, tunza familia hapo na maradhi ya kuwaza lazima tu usidumu tu.

Mie kwa kabila langu watu hulala tofauti vitamba nadhani na hyo husaidia kutokuzoeana, pia kupeana personal space na hamna kuchokana Wala kubanduana mfululizo na wengi wamedumu Hadi uzeeni, hii iga uzungu inatupoteza Sana bana
Duh kabila gani hilo nikaoe huko aiseee maana sipendi kunyaduana to much
 
Wanaua Waume zao..mtaani Kuna mdada wa kimachame aliolewa na msukuma..huyu mbaba anajiweza kiasi chake..akamkodia majambazi uchwara mchana kweupe..mama mkwe akajeruhuwa Hadi leo anatembea upande mmoja anachechemea..Mume akakatwa panga na kuchomwa visu alicheleweshwa kupeleka hospital akajifia hapo hapo..yule mwanamke akuguswa hata kidogo..kupelekwa polisi kubanwa akakiri niyeye amefanya hayo..Hadi leo yupo jela tangu mwaka 2008 na alikuwa na mimba miezi 4 masikini .
Kweli niwapestina kabisa
 
MENGI ALIPONEA CHUPU CHUPU...!! Wadada wa kimachame na mali aiseee mbona utatangulia mbele za haki tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani mzee kasema kwa Uchungu sanaaa jamaa kabaki kimyaa tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo huwa wanasaidiana na yule mtoa roho?
 
Hivi huu ubaguzi wa makabila bado upo hadi leo?
Nimekutana hii clip ya baba akimuonya mwanae asimpeleke mchumba wake wa Machame kwake, toka siku nyingi nasikia tu Usioe wa Machame, wana Jf wachagga mtusaidie, wanawake wa machame waliwafanya nini wanaume wengine wa kichagga?! Mshana Jr hebu tusaidie.
Wanaendesha waume zao kama feni mbovu
Kujali mno pesa kuliko utu.
Ni mabomu hayo[emoji1787]
 
Sie wanawake huzeeka mapema Ila twaishi mda mrefu hata vile tulivoumbwa Kama walezi na kuachia vitu moyoni haraka inasaidia tofauti na wanaume Mambo mengine wameaminishwa kuwa ni mwanaume vumilia shida usiseme, ukisema unakuwa ka mwanamke kumbe nao Ni binadamu wanahitaji msaada wa kisaikolojia. So wanaume hupitia mengi mno Sana imagine kuridhisha tu wanawake hyo amuont of energy wanayotumia ni kubwa fikiria hela, tunza familia hapo na maradhi ya kuwaza lazima tu usidumu tu.

Mie kwa kabila langu watu hulala tofauti vitamba nadhani na hyo husaidia kutokuzoeana, pia kupeana personal space na hamna kuchokana Wala kubanduana mfululizo na wengi wamedumu Hadi uzeeni, hii iga uzungu inatupoteza Sana bana

Angalau leo tokea nimeanza ku note ID yako unaongea point khaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Nilikuzoea pumba tupu na mihemko[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Angalau leo tokea nimeanza ku note ID yako unaongea point khaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Nilikuzoea pumba tupu na mihemko[emoji38][emoji38][emoji38]
Siku zote huandika ninachokiamini so wewe ndo upime iwe point or pointless huo Ni mtazamo wako ulivo view comments zangu na Sasa hapo hainihusu. Wewe hata ukiona sijaandika chochote huo Ni msalaba wako na siko humu kumvutia yoyote so relax
 
Back
Top Bottom