Hana hata 100 huyo mwanae anawaza kuuawa? Atauwawa na shida zao tu nyingiiii.
It takes a real men to marry a smart, well raised, confident and hard-working chaga girl sio kavulana kabaki fanyiwa decision.
Ndo maana Kuna wenye uwezo wa vorgue na IST, we uwezo wako Ni IST usione wenye vorgue zao wabayaaa.
Stick to your line na ajiandae maendeleo atayasikia redion
😁😁🏃🏃
Mbona hata Mimi Ni jasiri, shupavu na ninadanya kila kitu kinachofanya na jinsia ya kiume, na Tena hata sitegemei matunzo ya mwanaume na ninaishi vizuri Raha mstarehe kabisa. Kwahyo Mimi kutafta hela, kujitunza hzo role zote zimekuwa mwanaume tayari?Kawaida umbile la mwanaume ni ushupavu, ujasiri na ukakamavu. Kwa umbile hili mwanaume akapewa jukumu la kutafuta na kurudi kuiletea familia chakula, kuisimamia na kuitunza.
Unapouliza "Ni nani mwenye haki kuliko mwingine... " swali hili ni pungufu unatakiwa kulimalizia ili ufikishe ujumbe ulio kusudiwa, sababu hapo lazima nitakuuliza "Mwenye haki kuliko mwingine kwenye nini ?"
Hapa hujasoma ibara vizuri ukaielewa, niliandika ya kuwa hakuna hora zaidi ya mwingine isipokuwa yule ambaye ni mtiifu kwa Mola wake, hata kama ni mmachame kama ni mchamungu yeye ni bora kuliko myahudi popote alipo, kwahiyo haijalishi mwanaume, au mwanamke,haikalishi ni mweupe au mweusi au mwekundu.
Majukumu ya sisi wanaume ni kumsimamia mwanamke na kuhakikisha anapata stahiki katika haki zake, mapenzi, huruma na matunzo.
Hapa inabidi uniambie, hao watu wanajuaje lipi baya na lipi zuri, na uniambie akilo inamuongoza vipi mtu katika mema na mabaya peke yake ? Hilo ulitakiwa ulifikirie kwa umakini ndiyo ujenge hii hoja.
Wema si kufanya lile linalo onekana jema kwa watu, wema ni kupatia katika lile jema unalo lifanya.
Mfano nikikuuliza wewe, unaujuaje uzuri wa kula kwa adabu au kuvaa kwa mwanamke ? Au wewe ukila unakula kwa mkono gani ?
Juzi nilikufundisha jambo moja naimani kama ungemakinika nalo, usiandika hayanilikwambia imani nazo hithibitishwa na kuna imani sahihi, ambazo zimejengeka katika elimu na ushahidi na kuna imani potofu ambazo zimejengeka katika ujinga, hawaa za nafsi na ushirikina.
Mimi jukumu langu na haki yangu ninaifahamu eeh kwanza Kuna haki ya kuishi Kama raia mtanzania nisiye vunja Sheria za nchi then haki nyingine za kwangu ka mtu mzima mwenye maamuzi yangu tasiyofungamana na mtu au dini yoyote Ile.Bibie labda itakuwa naandika kwa lugha ninayo ielewa mwenyewe, naomba nikuulize swali dogo sana.
Wewe haki yako au jukumu lako huwa unalijua kwa kutumia mimi ? Je kupitia semina na kura za maoni za ututezi wa wanawawake au kwa elimu au kwa njia gani ? Naomba unieleze hili kielimu siyo kihamasa za uanamke wako.
Unaelewa mtu akisema kawaida au anapo tumia tamko kawaida ? Unapo kuta mwanamke ni jasiri hii si kawaida na hii huwa ni habari, kama ilivyo unapokuta mwanaume muoga hii huwa habari ya kushangaza.Mbona hata Mimi Ni jasiri, shupavu na ninadanya kila kitu kinachofanya na jinsia ya kiume,
Hujajibu swali.Mimi jukumu langu na haki yangu ninaifahamu eeh kwanza Kuna haki ya kuishi Kama raia mtanzania nisiye vunja Sheria za nchi then haki nyingine za kwangu ka mtu mzima mwenye maamuzi yangu tasiyofungamana na mtu au dini yoyote Ile.
My rules my principle
Swali gani maana nimejibu ulichotakaHujajibu swali.
Sasa inategemea na wewe una maanisha Nini mtu akiwa shupavu maana Mimi nimeona wanawake wengi wakifanya makubwa tu na watu wamezoea, labda kwa jamii yako wakifanya ni habari maana Ni very fewUnaelewa mtu akisema kawaida au anapo tumia tamko kawaida ? Unapo kuta mwanamke ni jasiri hii si kawaida na hii huwa ni habari, kama ilivyo unapokuta mwanaume muoga hii huwa habari ya kushangaza.
Siyo kweli hufanyi kila ninacho fanya mimi.
Unaijuaje haki yako ?Swali gani maana nimejibu ulichotaka
Naomba unipe mfano bibie.Sasa inategemea na wewe una maanisha Nini mtu akiwa shupavu maana Mimi nimeona wanawake wengi wakifanya makubwa tu na watu wamezoea, labda kwa jamii yako wakifanya ni habari maana Ni very few
*VogueHana hata 100 huyo mwanae anawaza kuuawa? Atauwawa na shida zao tu nyingiiii.
It takes a real men to marry a smart, well raised, confident and hard-working chaga girl sio kavulana kabaki fanyiwa decision.
Ndo maana Kuna wenye uwezo wa vorgue na IST, we uwezo wako Ni IST usione wenye vorgue zao wabayaaa.
Stick to your line na ajiandae maendeleo atayasikia redion
😁😁🏃🏃
Kwani umeshaolewa?We huoni nchi nzima imesimama kisa hiyo voice note iliyotoka, na hata thread za wachaga huku jamii forum Ni nyingi mnoooo
Cheki record kila mahali mchaga is always ontoppp
Mti wenye matunda lazima urushiwe mawe sanaaaaa na mkiyarusha sisi tunajenga mnabaki mnalialia wakati uwezo wa mahari tu hamna[emoji16]
Si wewe ulisema mwanaume mfanyakazi na kutunza familia ndio mwanaume how about wanawake wanao provide kila kitu kwa familia.Naomba unipe mfano bibie.
[emoji23][emoji23]Ina maana wewe hujui haki zako aiseeUnaijuaje haki yako ?
Kwakweli sijui kama hizo tuhuma ni za kweli au laa ila nina ka-asilimia fulani ka wasiwasi, 'why always them?'Hao waliopo kwenye mada una uhakika na hizo tuhuma?? Dadako akiolewa uchagani akapata mtoto wa kike utamuita muuaji?
Mimi najua haki zangu na nina jua nazijuaje haki zangu. Nimekuuliza wewe sasa uniambie. Kama hujaelewa hili swali nitakuoa mfano itakapo bidi.[emoji23][emoji23]Ina maana wewe hujui haki zako aisee
Mimi haki zangu nazijua na sihitaji kumuelezea yeyoteMimi najua haki zangu na nina jua nazijuaje haki zangu. Nimekuuliza wewe sasa uniambie. Kama hujaelewa hili swali nitakuoa mfano itakapo bidi.
Ndo nakuuliza dadako akiolewa uchagan Sasa hiv akazaa mtoto wa kike utampa hizo tuhuma? Afu ukisema always means matukio yapo kila siku au ?Kwakweli sijui kama hizo tuhuma ni za kweli au laa ila nina ka-asilimia fulani ka wasiwasi, 'why always them?'
Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
Kama ungeielewa comment yangu basi usingeniuliza hili swali, mimi nimesema sijui na maandiko yanatukataza kiwashuhudia majirani zetu uongo kwahiyo nipo hapa kuujua ukweli wa hizo tuhuma.Ndo nakuuliza dadako akiolewa uchagan Sasa hiv akazaa mtoto wa kike utampa hizo tuhuma? Afu ukisema always means matukio yapo kila siku au ?
Moshi ni mojawapo ya wilaya saba ktk mkoa wa kilimanjaro siyo kila mchagga anatoka Moshi, kuna Rombo, Siha na Hai pia, na wamachame a.k.a Wapalestina wanatoka wilaya ya Hai na siyo MoshiHivi Moshi kuna sehemu inaitwa Palestina?!
UKweli upo mbona hawasemi other sub tribes wachagga kuna warombo, wamarangu, wakilema, wakirua, waold moshi, wauru, wakibosho why wamachame tu, in every general rule there is an exception ila wamachame wanaongoza tangu enzi wajirekebishe. Tz ina 120 tribes na wamachame is a mere sub tribe ya wachagga, why them always! Ukweli upo wajirekebisheNdo nakuuliza dadako akiolewa uchagan Sasa hiv akazaa mtoto wa kike utampa hizo tuhuma? Afu ukisema always means matukio yapo kila siku au ?