Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Tunatesa kwa zamu[emoji1787]Inategemea ntu na ntu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunatesa kwa zamu[emoji1787]Inategemea ntu na ntu
Shida MNA damu ya kikenya nyie mpaka ulipita bahati mbaya mkawa Tanzania. Ila mlistahili muwe Kenya ndo mnafanana nao na ndo mana mnapigiwa kelele. Hivi unajua Kilimanjaro Ilikuwa Kenya sema Kenyatta hakuwa na bandari akaiomba Mombasa Ilikuwa kwa pande ya Tanzania ndo tukafanya exchange wakachukua Mombasa na sie tukaichukua Kilimanjaro.We huoni nchi nzima imesimama kisa hiyo voice note iliyotoka, na hata thread za wachaga huku jamii forum Ni nyingi mnoooo
Cheki record kila mahali mchaga is always ontoppp
Mti wenye matunda lazima urushiwe mawe sanaaaaa na mkiyarusha sisi tunajenga mnabaki mnalialia wakati uwezo wa mahari tu hamna😁
Tunatesa kwa zamu[emoji1787]
Hakuna Cha ntu na ntu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna Cha ntu na ntu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna Uzi ngoja nikutag[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weeh wana akili nyingi hao..unadhani wanachoma visu au wanagongesha ukutani? walaaa utasikia tuu mme kaanguka chooni afu kapalalaiz..au gari alipanda limebinuka kafaa.Eti huua wanaume wao, na Wala hatujawahi kuona kesi zao mahakamani
Ni mawakalaa mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo huwa wanasaidiana na yule mtoa roho?
Sema mods waliufunga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzi gani huo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee anashauri bora kusomea upadri ila si kuoa Machame
Tobaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni mawakalaa mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatari tupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanini mkuu?[emoji1787]Hatari tupu
Kwanza kabisa usiniite mkuu.Kwanini mkuu?[emoji1787]
Naomba utoe sababu za Wewe kusema hivyo
Hivi wapalestina waarabu wanatabia gani kwenye mahusiano? Naomba kueleweshwa kwa nn inawekwa connection na wapalestina?hao wamachame ndo wapalestina
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza kabisa usiniite mkuu.
Pili mie naoa popote tu ilimradi tuwe tumeendana,ni basi tu mzee amenichekesha msimamo wake kwa Wamachame