mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 901
- 1,742
Pameripotiwa matukio kadhaa ya kibagudhi yanayoendelea pale Cape Town Fish Market na mbaya zaidi wanaobagua watanzania ni watanzania juu ya ngozi nyeupe, kama msipodhibiti hii hali basi haya matukio yataenda yakihama sehemu zingine!!
Ama tutafikia kugawanywa na mtaani upande wa ngozi nyeupe upande wabongo!!
Ama tutafikia kugawanywa na mtaani upande wa ngozi nyeupe upande wabongo!!