Rockefeller
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,209
- 2,243
Huo sio ubaguzi ni ushamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msasani hiyoHii code imenyongorotwa nmeshindwa kuifungua
Msasani hiyo[emoji38][emoji38][emoji38]Hii code imenyongorotwa nmeshindwa kuifungua
Kule seascape huwa nakula kwa 15-20k so nilidhani bei ni hizohizo.Hukupewa menu yao ukaona na bei?Au uliitisha tuu weitaaaa leta prawns choma [emoji1787]
kuna sehemu nilikula ikaja bili kama yako mbona ilikuja polic kuamua na sikupa hela waliotaka.Siku moja nilikula hapo plate ya msosi kwa elfu 40 nikasema sitarudi tena
Mie nilikunywa maji ya jero kwa 3500 sema nilienjoi kinouma wanaija,wazungu,chooni kusafi kinyama,umekaa bahari upo nayo karibu mno. Mie sikuona huo ubaguzi labda saiviSiku moja nilikula hapo plate ya msosi kwa elfu 40 nikasema sitarudi tena
Namaanisha zilikuwa chache sana kwa bei ya elfu 40Sasa nyingine ukawaachia wao? Au hukuzipenda? Ungebeba tu siyo dhambi. We unaletea prawns unakula kibitozi unakula chache?
Prawns hapa mjini huwa bei hazizidi 20k. Wale wameoverprice tu. Niliagiza kwa uzoefu.Kwanini usiulize bei? au ulitaka kuonekana haujali vitu vidogo?
ubaguz hauwez kuisha south africa kutokana na history ya maisha yao tkea hapo zaman.
kuwen wavumiliv tafuten pesa wakuu muish kwa washua kule ubaguz upo % chache sn kutokn kila m2 yupo bize na yake
Pale bahari na ile view ni nzuri, nadhani unalipia hicho pia. Ubaguzi hata mimi sikuuona.Mie nilikunywa maji ya jero kwa 3500 sema nilienjoi kinouma wanaija,wazungu,chooni kusafi kinyama,umekaa bahari upo nayo karibu mno. Mie sikuona huo ubaguzi labda saivi
Prawns wachache na wako overpricedSijakuelewa una Manisha uliwekewa prawn wengi ila wewe ukala chache ama uliwekewa prown kidogo ambao hawaendani na bill uliyoletewa
Wewe mwanaume unapenda kulipiwa?Ungempigia papa Francis akulipie
Nilipoona Cape Town nikajua ni huko bondeni,Musa Hassan nahisi ni soko la la samaki mitaa ya MsasaniMussa Hassan ndio nani Zungu?
😁😁😁 kenge weeehNimecheka
Hii ndo Ile unaandika essay kuuubwa halafu inapigwa mstari
"Kibagudhi", mkuu una kithembe?Pameripotiwa matukio kadhaa ya kibagudhi yanayoendelea pale Cape Town Fish Market na mbaya zaidi wanaobagua watanzania ni watanzania juu ya ngozi nyeupe , kama msipo dhibiti hii hali basi haya matukio yataenda yakihama sehem zingine !! Ama tutafikia kugawanywa na mtaani upande wa ngozi nyeupe upande wabongo !!
Karambezi wana view nzuri sana kuliko Ctfm! Pamoja na customer care nzuri zaidi ya ctfm.. yani Dar Karambezi naona wako bora zaidi... sea view ya ctfm iko normal kama slipway sema tu vile vioo...counter yao ndio iko [emoji95]Pale bahari na ile view ni nzuri, nadhani unalipia hicho pia. Ubaguzi hata mimi sikuuona.
Siku moja nilikula hapo plate ya msosi kwa elfu 40 nikasema sitarudi tena
Halafu kinaenda kutengeneza mavi sawasawa na ya aliyekula kande la jero.Siku moja nilikula hapo plate ya msosi kwa elfu 40 nikasema sitarudi tena