Ubaguzi wa rangi Tanzania ndani ya Cape town fish market

Ubaguzi wa rangi Tanzania ndani ya Cape town fish market

Pameripotiwa matukio kadhaa ya kibagudhi yanayoendelea pale Cape Town Fish Market na mbaya zaidi wanaobagua watanzania ni watanzania juu ya ngozi nyeupe , kama msipo dhibiti hii hali basi haya matukio yataenda yakihama sehem zingine !! Ama tutafikia kugawanywa na mtaani upande wa ngozi nyeupe upande wabongo !!
Fafanua umefanyiwa ubaguzi gani ili vyombo husika vifahamu...umebaguliwaje?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Karambezi wana view nzuri sana kuliko Ctfm! Pamoja na customer care nzuri zaidi ya ctfm.. yani Dar Karambezi naona wako bora zaidi... sea view ya ctfm iko normal kama slipway sema tu vile vioo...counter yao ndio iko [emoji95]
Pia Ctfm haijuchi ila wahudumu bado sana
Karambezi pako busy sana sipapendi hasa wikiendi. Slipway sijawahi kupapenda sijui kwanini. Capetown pako overpriced sana.
 
Hapo sio size yako tu mkuu,we nenda kwa selebonge hao utakula kwa buku 10 tu na changu mzima jumla 20.
Kuna Lobster Grilled mitaa hiyo nna hamu nae sana ila bei ni 150k plate mitaa hiyo.
Mwaka wa 10 huu napanga napangua ila tumbo langu tukidiscuss hatufikii muafaka kwamba linahitaji msosi wa bei hiyo.
Lenyewe linakataa,
Naishia kulijaza vitu ingine tu.
 
Pale bahari na ile view ni nzuri, nadhani unalipia hicho pia. Ubaguzi hata mimi sikuuona.
Nadhani amechanganya ubaguzi na dharau. Kuna wahudumu pale wanadharau sana.

Tulisha wahi kuagiza desert ya cheese cake na matunda, kumbe hawana, wakaleta cake na ice cream ambayo pia imeyeyuka ukizingatia ilikuwa usiku.

Kuuliza mbona icecream; wakaanza kupiga blabla. Kula cake sio.

Tukaikataa cake, wakataka tulipie. Maneno waliyokula hawatasahau.

Mwisho nikahitaji aitwe bosi wao , mzungu; alivyofika nikamwamvie aonje alafu aniambie kama tulichoagiza ndio hicho.

Mwisgo was siku sikulipa na bia za offer nikaletewa kama an appology
 
Hizi hotel za beach kama huna uzoefu nazo unaweza hisi unabaguliwa...meza nyingi hasa zinazotazama baharini huwa zinakuwa reserved tayari..unaweza tolewa kwenye kiti akapewa mzungu au mhindi ukadhani umebaguliwa...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unataka kusema mleta maada alitolewa kwenye meza?
 
Biashara sio huduma ya jamii hapo sio hospital wala Shule za kata

Apo ni sehemu mtu kaweka pesa zake akitarajia kupata faidi suala kubwa apo wanaangalia maslai nan anamaslai makubwa nan anamaslai madogo

Mzungu na Muindi wanalipa na kutoa pesa nzuri ww mtanzania unaleta uenyeji
Akuna ubaguzi iyo ni biashara na faida ndio kitu wanaangalia
 
Lile eneo linamilikiwa na mzungu na biashara ipo vipi nao wanatoa kafara kama wakinga na wachaga?
 
Karambezi pako busy sana sipapendi hasa wikiendi. Slipway sijawahi kupapenda sijui kwanini. Capetown pako overpriced sana.
Slpway hupapendi kwasababu ya ile free , na wahindi wanajaa mno.
Nenda Rooftop Fish monger pako vizuri sana huduma zao ziko & affordable

Vitu za bei Papparoti bwanaa[emoji23]
Btw mimi navutiwa sana na Rooftop restaurants
 
Slpway hupapendi kwasababu ya ile free , na wahindi wanajaa mno.
Nenda Rooftop Fish monger pako vizuri sana huduma zao ziko & affordable

Vitu za bei Papparoti bwanaa[emoji23]
Btw mimi navutiwa sana na Rooftop restaurants
Nadhani wahindi wamechangia maana wanapaka sijui vitu gani wanatoa harufu fulani.😂

Nitajaribu siku hapo rooftop fishmonger. Papparoti panajaa watoto hivyo napaona panawafaa wao.
 
Back
Top Bottom