Ubaguzi wa rangi Tanzania ndani ya Cape town fish market

Ubaguzi wa rangi Tanzania ndani ya Cape town fish market

Hizi hotel za beach kama huna uzoefu nazo unaweza hisi unabaguliwa...meza nyingi hasa zinazotazama baharini huwa zinakuwa reserved tayari..unaweza tolewa kwenye kiti akapewa mzungu au mhindi ukadhani umebaguliwa...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hii naona ni tatizo.. hata mm nmewahi nyanyuliwa Hapo Capetown kumbe ilikua jugger Meister friday kumbe meza ziko reserved .. nikatoka kiroho safi... watu wengi hawaelewi hizi itifaki za migahawa ya msasani[emoji23]
 
Hapo sio size yako tu mkuu,we nenda kwa selebonge hao utakula kwa buku 10 tu na changu mzima jumla 20.
Kuna Lobster Grilled mitaa hiyo nna hamu nae sana ila bei ni 150k plate mitaa hiyo.
Mwaka wa 10 huu napanga napangua ila tumbo langu tukidiscuss hatufikii muafaka kwamba linahitaji msosi wa bei hiyo.
Lenyewe linakataa,
Naishia kulijaza vitu ingine tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana, tunafanana kabisa mkuu. Huyo lobster namtamani ila bei inaniua, nshapewa offer for my 3birthday bana kufika njiani ni Kaseyma tu hapana tukale tu chips vumbi, siwezi roho ingeniuma mwaka mzima cjui ni umasikini [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nadhani wahindi wamechangia maana wanapaka sijui vitu gani wanatoa harufu fulani.[emoji23]

Nitajaribu siku hapo rooftop fishmonger. Papparoti panajaa watoto hivyo napaona panawafaa wao.
[emoji23][emoji23]jamani


Papparoti labda ya mliman ila Masaki kwakweli sidhani labda ma slayqueen
 
Mie nilikunywa maji ya jero kwa 3500 sema nilienjoi kinouma wanaija,wazungu,chooni kusafi kinyama,umekaa bahari upo nayo karibu mno. Mie sikuona huo ubaguzi labda saivi
Hivi wanaija Bongo nao ni ''mali adimu''? Wengine tukienda sehemu tukikuta hawa watu tunaona kama tumekosea sehemu ya kwenda.
 
Nilienda kula lunch hapo na binti yangu mdogo, chips kavu kidogo, beef fillet bili ilikuja 65000 hapo ni kwa sahani moja halafu mbaya zaidi sikushiba, walaah nilipiga yowe la moyoni 130k ilinitoka kwa uchungu. Nilishajizoelea Mamboz Mwanza nakula kwa 15000 na ninashiba

Sent using Jamii Forums mobile app
Sehemu nyingine ni maalum kwa watu maalum. Bongo kuna watu kujikweza hata kwa vitu ambavyo hawakupaswa
 
Hizi hotel za beach kama huna uzoefu nazo unaweza hisi unabaguliwa...meza nyingi hasa zinazotazama baharini huwa zinakuwa reserved tayari..unaweza tolewa kwenye kiti akapewa mzungu au mhindi ukadhani umebaguliwa...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Meza ikiwa reserved huwa wanaweka kibao au kunakuwa na utaratibu wa mteja kujulishwa.
 
Hii naona ni tatizo.. hata mm nmewahi nyanyuliwa Hapo Capetown kumbe ilikua jugger Meister friday kumbe meza ziko reserved .. nikatoka kiroho safi... watu wengi hawaelewi hizi itifaki za migahawa ya msasani[emoji23]
Hukuelezwa mwanzoni? Kama hawakukupa taarifa kabla basi ni makosa yao.
 
-Ukienda sokoni halafu mnunuzi unaletewa dharau, ondoka usirudi tena.
-Ukienda dukani kwa ajili ya huduma na wahudumu hawana habari nawe, ondoka. Usirudi tena.
-Umeenda baa kupiga chombo halafu muhudumu anakuzingua, jidai unapokea simu. Ondoka usirudi tena.
NB: Baada ya hapo, nenda sehemu zenye kuheshimu wateja. Fedha ni zako. Na umeenda mwenyewe kupata huduma. Wasikusumbue achana nao.
Ngumbaru una akili sana wewe, japo kisheria ubaguzi wowote hautakiwi kuwepo kwenye utoaji huduma.
 
Mwehu mpuuzi sana weye!And,take it unto your accounts,it catches you without your awareness!Yanakukuta tu.Asili inakuongoza unwillingly!
Ila mazee vitu kama hivi vinaonyesha jinsi gani waafrika bado hatujakomaa akili. Ubaguzi ungefanywa na ngozi nyeupe ningesema sawa, ila ngozi nyeusi dhidi ya nyeusi. Kuna kazi sana nchi hiii
 
Nilienda kula lunch hapo na binti yangu mdogo, chips kavu kidogo, beef fillet bili ilikuja 65000 hapo ni kwa sahani moja halafu mbaya zaidi sikushiba, walaah nilipiga yowe la moyoni 130k ilinitoka kwa uchungu. Nilishajizoelea Mamboz Mwanza nakula kwa 15000 na ninashiba

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehemu zingine unajua acha nikajitanue
Nilikwenda sehemu na mshikaji wangu tulikula 3 course meal
Tena kwa heshima alikuja Chef mwenyewe na tukampa order yetu bill ilikuwa ni kubwa lakini tulishiba haswaa

Usijali ukiamua kula raha pesa sio kitu wakati mwingine
 
Kuna sehemu zingine unajua acha nikajitanue
Nilikwenda sehemu na mshikaji wangu tulikula 3 course meal
Tena kwa heshima alikuja Chef mwenyewe na tukampa order yetu bill ilikuwa ni kubwa lakini tulishiba haswaa

Usijali ukiamua kula raha pesa sio kitu wakati mwingine
Iliwahi kutokea pia na boyfriend wangu tulienda Tilapia Hotel Mwanza, nikaagiza juice glas ndogo sana 5000 haikuwa na shida. Meza ya jirani walikuja waarabu familia nzima nikashangaa karibia wote wanakunywa vikahawa tuvikombe tudogo tuu dada mmoja ndio alishare sahani ya chips kavu na mwenzie nikawaza chips kidogo hivyo wanashare.

Basi ikaja Menu kuangalia Lasaalale zile chips kavu kidogo ni 8000 bei za nyama na samaki khaaa nikamwambia am sorry najua wewe ndio utalipa ila jua kwamba tutatumia hela nyingi halafu tusishibe tukanywa kuice na kuondoka.
Kuna hotel nyingine hata kama ni kwa ajili ya watu maalaumu angalau waqe reasonable haji hela kubwa ila mlaji ashibe au aridhike atlist.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku moja nilikula hapo plate ya msosi kwa elfu 40 nikasema sitarudi tena
Yaani mnaacha samaki hasa kama hawa na wali au ugali kwa chini ya 15.000, unaenda kula wale wadudu wenye masharubu kwa 40,000

1666451168287-png.2394796

1666451229821.png

1666451277941.png
 

Attachments

  • 1666451168287.png
    1666451168287.png
    34.9 KB · Views: 41
Back
Top Bottom