Ubaguzi wa rangi Tanzania ndani ya Cape town fish market

Ubaguzi wa rangi Tanzania ndani ya Cape town fish market

-Ukienda sokoni halafu mnunuzi analeta dharau,ondoka usirudi tena.
-Ukienda dukani kwa ajili ya huduma na wahudumu hawana habari nawe,ondoka.Usirudi tena.
-Umeenda baa kupiga chombo halafu muhudumu anakuzingua,jidai unapokea simu.Ondoka usirudi tena.
NB:Baada ya hapo,nenda sehemu zenye kuheshimu wateja.Fedha ni zako.Na umeenda mwenyewe kupata huduma.Wasikusumbue achana nao.
ndio kanuni yangu hiyo
 
-Ukienda sokoni halafu mnunuzi analeta dharau,ondoka usirudi tena.
-Ukienda dukani kwa ajili ya huduma na wahudumu hawana habari nawe,ondoka.Usirudi tena.
-Umeenda baa kupiga chombo halafu muhudumu anakuzingua,jidai unapokea simu.Ondoka usirudi tena.
NB:Baada ya hapo,nenda sehemu zenye kuheshimu wateja.Fedha ni zako.Na umeenda mwenyewe kupata huduma.Wasikusumbue achana nao.
Ndio zangu hizi
 
-Ukienda sokoni halafu mnunuzi analeta dharau,ondoka usirudi tena.
-Ukienda dukani kwa ajili ya huduma na wahudumu hawana habari nawe,ondoka.Usirudi tena.
-Umeenda baa kupiga chombo halafu muhudumu anakuzingua,jidai unapokea simu.Ondoka usirudi tena.
NB:Baada ya hapo,nenda sehemu zenye kuheshimu wateja.Fedha ni zako.Na umeenda mwenyewe kupata huduma.Wasikusumbue achana nao.
Hizi ndo formula zangu kasoro ya simu. Wala hazihitaji mambo mengi.
 
Pameripotiwa matukio kadhaa ya kibagudhi yanayoendelea pale Cape Town Fish Market na mbaya zaidi wanaobagua watanzania ni watanzania juu ya ngozi nyeupe , kama msipo dhibiti hii hali basi haya matukio yataenda yakihama sehem zingine !! Ama tutafikia kugawanywa na mtaani upande wa ngozi nyeupe upande wabongo !!
Em fafanua vizuri tukuelewe. Ubaguzi Upo vipi pale
 
Pole mkuu hii black/white...ila kama ulivyojibiwa hapo juu, hit them on their pockets, chukua pesa yako na nenda katumie watakao thamini uwepo wako, na hii sio rocket science, otherwise kama unapenda menu yao ifuate ilikoasisiwa,mother city!!!
 
Nilikula prawns chache kwenye kisahani halafu bili ikaja hiyo. Nililipa tu ili pasitokee ugomvi.😂
Sasa nyingine ukawaachia wao? Au hukuzipenda? Ungebeba tu siyo dhambi. We unaletea prawns unakula kibitozi unakula chache?
 
Pameripotiwa matukio kadhaa ya kibagudhi yanayoendelea pale Cape Town Fish Market na mbaya zaidi wanaobagua watanzania ni watanzania juu ya ngozi nyeupe , kama msipo dhibiti hii hali basi haya matukio yataenda yakihama sehem zingine !! Ama tutafikia kugawanywa na mtaani upande wa ngozi nyeupe upande wabongo !!
Hujatoa matukio, mimi ni mweusi na huwa ninaenda pale huduma napata sawa sawa na wengine watu wa race zote, kwani ulikuwa mweusi peke yako hapo?

Au ulilikuwa unataka ushobokewe kama unavyoshobokewa na wahudumu wa kitambaa cheupe
 
Back
Top Bottom