Phobia
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 1,156
- 1,819
Ungempigia papa Francis akulipieNilikuwa na hamu na prawns na sikutegemea bei ivuke elfu 20. Siku hizi lazima niangalie menu kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungempigia papa Francis akulipieNilikuwa na hamu na prawns na sikutegemea bei ivuke elfu 20. Siku hizi lazima niangalie menu kwanza.
ndio kanuni yangu hiyo-Ukienda sokoni halafu mnunuzi analeta dharau,ondoka usirudi tena.
-Ukienda dukani kwa ajili ya huduma na wahudumu hawana habari nawe,ondoka.Usirudi tena.
-Umeenda baa kupiga chombo halafu muhudumu anakuzingua,jidai unapokea simu.Ondoka usirudi tena.
NB:Baada ya hapo,nenda sehemu zenye kuheshimu wateja.Fedha ni zako.Na umeenda mwenyewe kupata huduma.Wasikusumbue achana nao.
Sisi tuliookoka hatuoi wanaume. Mambo hayo tumewaachia nyie waarabu na wapuuzi wa western world.Ulikuwa na mumeo yuda?
duh,hata hy nayo ni code?Hii code imenyongorotwa nmeshindwa kuifungua
Ndio zangu hizi-Ukienda sokoni halafu mnunuzi analeta dharau,ondoka usirudi tena.
-Ukienda dukani kwa ajili ya huduma na wahudumu hawana habari nawe,ondoka.Usirudi tena.
-Umeenda baa kupiga chombo halafu muhudumu anakuzingua,jidai unapokea simu.Ondoka usirudi tena.
NB:Baada ya hapo,nenda sehemu zenye kuheshimu wateja.Fedha ni zako.Na umeenda mwenyewe kupata huduma.Wasikusumbue achana nao.
Sijakuelewa una Manisha uliwekewa prawn wengi ila wewe ukala chache ama uliwekewa prown kidogo ambao hawaendani na bill uliyoletewaNilikula prawns chache kwenye kisahani halafu bili ikaja hiyo. Nililipa tu ili pasitokee ugomvi.😂
Hizi ndo formula zangu kasoro ya simu. Wala hazihitaji mambo mengi.-Ukienda sokoni halafu mnunuzi analeta dharau,ondoka usirudi tena.
-Ukienda dukani kwa ajili ya huduma na wahudumu hawana habari nawe,ondoka.Usirudi tena.
-Umeenda baa kupiga chombo halafu muhudumu anakuzingua,jidai unapokea simu.Ondoka usirudi tena.
NB:Baada ya hapo,nenda sehemu zenye kuheshimu wateja.Fedha ni zako.Na umeenda mwenyewe kupata huduma.Wasikusumbue achana nao.
HahahahahaSisi tuliookoka hatuoi wanaume. Mambo hayo tumewaachia nyie waarabu na wapuuzi wa western world.
Mussa Hassan ndio nani Zungu?duh,hata hy nayo ni code?
Kwanini usiulize bei? au ulitaka kuonekana haujali vitu vidogo?Siku moja nilikula hapo plate ya msosi kwa elfu 40 nikasema sitarudi tena
hahahaha,tamka msasaniMussa Hassan ndio nani Zungu?
Aaah weee kuuumbe mucha hachani = musasani = msasanihahahaha,tamka msasani
Em fafanua vizuri tukuelewe. Ubaguzi Upo vipi palePameripotiwa matukio kadhaa ya kibagudhi yanayoendelea pale Cape Town Fish Market na mbaya zaidi wanaobagua watanzania ni watanzania juu ya ngozi nyeupe , kama msipo dhibiti hii hali basi haya matukio yataenda yakihama sehem zingine !! Ama tutafikia kugawanywa na mtaani upande wa ngozi nyeupe upande wabongo !!
hahahahaha,goodAaah weee kuuumbe mucha hachani = musasani = msasani
Sawa mkuu nifungue code
Sasa nyingine ukawaachia wao? Au hukuzipenda? Ungebeba tu siyo dhambi. We unaletea prawns unakula kibitozi unakula chache?Nilikula prawns chache kwenye kisahani halafu bili ikaja hiyo. Nililipa tu ili pasitokee ugomvi.😂
Hazungumzii south Africaubaguz hauwez kuisha south africa kutokana na history ya maisha yao tkea hapo zaman.
kuwen wavumiliv tafuten pesa wakuu muish kwa washua kule ubaguz upo % chache sn kutokn kila m2 yupo bize na yake
Hujatoa matukio, mimi ni mweusi na huwa ninaenda pale huduma napata sawa sawa na wengine watu wa race zote, kwani ulikuwa mweusi peke yako hapo?Pameripotiwa matukio kadhaa ya kibagudhi yanayoendelea pale Cape Town Fish Market na mbaya zaidi wanaobagua watanzania ni watanzania juu ya ngozi nyeupe , kama msipo dhibiti hii hali basi haya matukio yataenda yakihama sehem zingine !! Ama tutafikia kugawanywa na mtaani upande wa ngozi nyeupe upande wabongo !!
nishakupat mkuuHazungumzii south Africa
Hukupewa menu yao ukaona na bei?Au uliitisha tuu weitaaaa leta prawns choma [emoji1787]Nilikula prawns chache kwenye kisahani halafu bili ikaja hiyo. Nililipa tu ili pasitokee ugomvi.[emoji23]