Ubaguzi washika kasi ndani ya kanisa la Roma kama wa Afrika tufanye nini?

Ubaguzi washika kasi ndani ya kanisa la Roma kama wa Afrika tufanye nini?

koboG

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2016
Posts
2,763
Reaction score
5,167
Hapa ni video clip mbili zikionesha ubaguzi wa wazi kabsa kwa wenzetu ngozi nyeusi.




NB: Mimi Sina dini maana dini tuliletewa tu.

♥️I love this becose we African are practicing other religions retuals. Christianity us not for us. Black man wake up.

 
Haiwezekani kumaliza ubaguzi wa rangi hapa Duniani

Utamaliza kwa maneno tu kinafiki lakini moyoni bado utakuwepo na haukuanza jana au leo

MFANO: Chukua watoto watatu yaani wa kihindi, kizungu na kiafrika...wapeleke porini huko waishi pamoja...baaadae yule wa kihindi na wa kizungu watakuwa pamoja muda wote na kumtenga yule Mweusi

Ubaguzi upo kwenye damu
 
Sawa tuliletewa dini, kwani kanisa katoliki kwa ukuu wake duniani ina maana halina mafundisho ya kupinga ubaguzi katika mahubiri yake ikiwa Mungu hana ubaguzi?
 
Hapa ni video clip mbili zikionesha ubaguzi wa wazi kabsa kwa wenzetu ngozi nyeusi
View attachment 2777018


NB: Mimi Sina dini maana dini tuliletewa tu.

♥️I love this becose we African are practicing other religions retuals. Christianity us not for us. Black man wake up
Ni kumfuata tu Yesu kristo ,tuachane kabisa na haya madhehebu ya kikristo yana ujinga mwingi sana
 
Hapa ni video clip mbili zikionesha ubaguzi wa wazi kabsa kwa wenzetu ngozi nyeusi
View attachment 2777018


NB: Mimi Sina dini maana dini tuliletewa tu.

♥️I love this becose we African are practicing other religions retuals. Christianity us not for us. Black man wake up
Tukanushe na hii tumezidi kuwa mazuzu
 
Sawa tuliletewa dini, kwani kanisa katoliki kwa ukuu wake duniani ina maana halina mafundisho ya kupinga ubaguzi katika mahubiri yake ikiwa Mungu hana ubaguzi?
Watakua hawana wangekua nayo viongozi wajuu namna hiyo wasinge fanya hivo
 
Nakubali ila kwa viongozi wetu wa madhebu tunaamini wanajielewa hayo mambo yangefanywa walau na watu baki ila sio watu ambao wanatuhubiria upendo na mshikamano
Haiwezekani kumaliza ubaguzi wa rangi hapa Duniani

Utamaliza kwa maneno tu kinafiki lakini moyoni bado utakuwepo na haukuanza jana au leo...
 
Nakubali ila kwa viongozi wetu wa madhebu tunaamini wanajielewa hayo mambo yangefanywa walau na watu baki ila sio watu ambao wanatuhubiria upendo na mshikamano
Huo upendo unamezwa na Ubaguzi wa rangi
 
Hizi ni Propaganda ten za Makusudi kabsa za Kuendelea kuonyesha Rangi Nyeusi ni Rang Duni kitu ambacho sio kweli,

Huu mwezi tangu umeanza ni Habari za Ubaguz tu kuanzia kwa Osimhen na Napoli, yule mtoto kweny mashindano Ireland na Leo tunaona Hii,

Kiufupi wazungu wanasambaza hiz video makusudi had kwenye vyombo vyao vya habari Ikiwemo BBC,Aljazeera na CNN sio kwa lengo la kupinga Ubaguzi bali ni kufanya Ngozi nyeusi iendelee kujiona ni Duni.

Kiufupi Video hizi Zipuuzwe maan Ubaguz hata Mfanye nini hauwez kuisha Duniani Maan uliletwa na Muumba mwenyewe ndomaan had akatenga Mabara ili Weusi wakae kivyao na Weupe kivyao ni vile tu watu hawaelewi Wanaendelea kujichanganya Na hiyo Rangi nyeupe yenye Laana.

Ila hatutakiw hat Kuoana nao hao Weupe maan Damu yetu ni Safi na Yao ndo Laana.
 
Hizi ni Propaganda ten za Makusudi kabsa za Kuendelea kuonyesha Rangi Nyeusi ni Rang Duni kitu ambacho sio kweli,

Huu mwezi tangu umeanza ni Habari za Ubaguz tu kuanzia kwa Osimhen na Napoli, yule mtoto kweny mashindano Ireland na Leo tunaona Hii,

Kiufupi wazungu wanasambaza hiz video makusudi had kwenye vyombo vyao vya habari Ikiwemo BBC,Aljazeera na CNN sio kwa lengo la kupinga Ubaguzi bali ni kufanya Ngozi nyeusi iendelee kujiona ni Duni.

Kiufupi Video hizi Zipuuzwe maan Ubaguz hata Mfanye nini hauwez kuisha Duniani Maan uliletwa na Muumba mwenyewe ndomaan had akatenga Mabara ili Weusi wakae kivyao na Weupe kivyao ni vile tu watu hawaelewi Wanaendelea kujichanganya Na hiyo Rangi nyeupe yenye Laana.

Ila hatutakiw hat Kuoana nao hao Weupe maan Damu yetu ni Safi na Yao ndo Laana.
Tunahitaji ushahidi mezani kuwa sisi weupe damu yetu ina laana
 
Hakuna ubaguzi hapo, mnapenda kuplay victimhood tu. Papa kaheshimu tamaduni za jamaa za kusalimiana bila kubusiana.

Mizungu kuna muda inapongezana kwa kupigana vibao matako, refer wanamichezo, ipo siku utalia kwanini wewe hujashikwa tako wakati kwao ni kawaida huku Africa ni mwiko.

I'm not a catholic, hii ni commonsense tu which is not common anymore.
 
Back
Top Bottom