Huyu ni Mpuuziiiiiii tu! Hajui alitendaloKama hauna dini kwanini kuangaika na dini za wengine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni Mpuuziiiiiii tu! Hajui alitendaloKama hauna dini kwanini kuangaika na dini za wengine?
Hapana mkuu.kuna kadinali mweusi toka nigeria nusura awe papa. Huenda ikawa ni suala la muda tu akatokea papa mweusi
Hii imeenda ujumbe umefika sehemu sahihi unaimeza hata kama ni chuchungu vumilia tuWewe ni Mpuuzii hatujuani ila dhamila yako jaitatimia. Ukiona mtu anaendekeza suala jua yeye ni muumini wa suala husika. Mwizi hukamatwa na mwizi mwenyewe
Ubaguzi haujaanza Leo, kumbuka wanafunzi watakatifu wa Yesu jinsi walivyomshangaa Yesu baada ya kumkuta amekaa na msamalia,,,Pia kisa Cha Paulo, ,,,,ninapenda kusisitiza ,imani Yako iwe kwa ajili ya Yesu Kristo,siyo viongozi wa kanisa, kwanza ukichunguza wengi unakuta siyo wito ila ni professional,padre kasomea ,Tena aliaandaliwa mazingira awe padre,the same kwa wachungaji, yes wapo baadhi humo Wana wito na wakasomea, wengine wametengenezwa,hawakuwahi kuwa na choice maana mazingira yalifanya kesho yaoHapa ni video clip mbili zikionesha ubaguzi wa wazi kabsa kwa wenzetu ngozi nyeusi.
View attachment 2777018
NB: Mimi Sina dini maana dini tuliletewa tu.
♥️I love this becose we African are practicing other religions retuals. Christianity us not for us. Black man wake up.
View attachment 2777019
Tasfiri yako Sio we ndo mbaguziKama huuoni basi uwe na Usiku Mwema
Yaani basi tuna bado wnachanga pesa kuwapelekea Vatican.
Kanisa likielekea kufa ndiyo watampa mweusi ili wamlaumu.kuna kadinali mweusi toka nigeria nusura awe papa. Huenda ikawa ni suala la muda tu akatokea papa mweusi
kwani ataliendesha kwa utashi wake binafsi, si ataliendesha kwa code zao?Kanisa likielekea kufa ndiyo watampa mweusi ili wamlaumu.
Kanisa linalokufa unafikiri linaelewa habari za code?kwani ataliendesha kwa utashi wake binafsi, si ataliendesha kwa code zao?
SawaHakuna ulazima kama huwezi kusoma unakausha