cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Twende taratibu, nini maana ya "rijali"Tunahusisha na ugonjwa wa akili kwasababu uwezi kuwa rijali alafu uwe shoga kuna kitu kwenye mindset kili shake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende taratibu, nini maana ya "rijali"Tunahusisha na ugonjwa wa akili kwasababu uwezi kuwa rijali alafu uwe shoga kuna kitu kwenye mindset kili shake.
Kwann isiingie akilini? Hivi rafiki wa shoga anayekaa nae mchana, na huyu jamaa anaye mlala usiku yupi ana afadhari?
UNAFIKI wabongo unawasumbua.
Kabisa ushoga ni roho mtu anataka kutoka ila awezi.Huwezi kuwa shoga bila kuuza nafsi yako Kwa shetani
Mie kuzaliwa kwa kutotamani jinsia yangu haihalalishi wengine kutokua nayo pia. And vice versa.Mmh bado sihafiki yani umezaliwa unataman jinsia yako[emoji37][emoji37]..?
Mfano wewe cocastic ulizaliwa unatamani mwanaume mwenzako?
Huu sasa uongo.Amna wenye afadhali maana ukiwa rafiki yake nawe waweza kuwa shoga.
Kwa akili ya binadamu huwezi mateka anatokaje sasa.Kabisa ushoga ni roho mtu anataka kutoka ila awezi.
Ulifanye je mkuu?Mwanafunzi mmoja shoga wa Secondary ya Ilala alinitongoza na ahadi ya fedha nini nini tatizo?.
Amini .Ukiwa na marafiki 2 mashoga na ww ni shoga wa tatu.Huu sasa uongo.
Kabisa ni maombi ya kukomboa nafsi.Kwa akili ya binadamu huwezi mateka anatokaje sasa.
Kwa nguvu ya Mungu uhitaji dakika tatu kutoka
Kama alitoka aliyekuwa mwnyekiti wa mashoga nchini na akaacha kabisa Leo ni rijali na nguvu zilimrejea ana mke na watoto wawili wa kiume hakuna asiyeweza ikomboa nafsi yake toka kwa shetani akashindwa akitaka.
Wewe ndio unachanganya, yaani mtu ambaye hana hamu kubwa ya ngono atakuwaje na hamu kubwa ya kutembea na wanawake wengi? Ni sawa na useme kunywa bia sio kichocheo cha kulewa sababu sio lazima ukinywa bia ulewe!! Does it make sense? Libido ndogo utatatamani vipi multiple women?Hapohapo mwanaume anaweza kuwa na kiwango kidogo cha testosterone na akàwa na tamaa ya kulala na wanawake wengi. Hivyo homoni haichangii kwa namna yoyote mtu kuwa na tamaa ya kufanya zinaa
Wewe ulisema Estrogen haileti features za kike nimekuletea paper inasema matiti hukuzwa na estrogen levels nyingi kwa wanaume same to sauti kuwa nyembamba na nywele kuacha kuota. So wewe umepotosha maana ulikataa ukasema kama ni viungo vinakuzwa kwa surgery sio hormone.Sasa tuambie ni kwa namna ipi estrogen inachochea mwanaume kuwa shoga.
Kwa sababu ushoga sio maumbile bali ni tabia kama wizi, ubakaji, ulawiti, Ufiraji.
Ndio uelewe sasa, 90% ya wanaume wenye estrogen levels nyingi hudevelop hisia za mapenzi na wanaume wenzao. Ni sawa tu na wanawake wenye testosterone nyingi huwa wana develop hisia kwa wanawake wenzake sababu anakua more of a "mwanaume" kijenetiki kuliko mwanamke.Kwa hiyo wewe ukizaa mtoto wa kiume akafanana sura kama mkeo(mama yake) ndio inapelekea awe shoga?
Duuh kwani mtu akisema magonjwa ya akili au matatizo ya akili wewe unaelewa nini, au unahisi ni hadi mtu aanze kuokota makopo na kula majalalani ndio unaona ana ugonjwa wa akili, kwa taarifa yako hakuna watu wanaoongoza kwa magonjwa ya akili kama mageniusHakuna ugonjwa wa akili hapo Mkuu.
Wapo mashoga ni magenius, matajiri, wagunduzi na madaktari wa kiwango cha juu.
Ushoga ni uchafu na Ushetani tuu
Wewe umedai anayefanya ushoga anaweza fanya na Mama yake au baba yake means ni abnormality!! Ndio nikauliza if that's the case mbona hao 60% wanaolawiti wake zao sijasikia wakilawiti watoto wao au dada zao?Hujasikia Kwa Sababu hujafuatilia.
Fuatilia utajua wanaobakwa ni asilimia ngapi na sio ajabu ikawa zaidi ya hiyo asilimia 60%
Wewe umesema anayemtamani mwanaume mwenzake basi anaweza mtamani na mzazi au mwanaye!! Ndio nikasema ilipaswa takwimu zirandane. Sasa kama 8% pekee ndio ubakaji wa ndugu ina maana sio hoja maana 92 percent nzima ni watu wasio ndugu!! So hoja yako ni ya uongo.Sasa hiyo less than 8% sio ubakaji? Hivi unajadili nini hapa?
Ndio maana nasema ni non sense, kisa unapenda makalio ndio utakula hata kama ni dada yako? Hivi hii pumba unayoongea upo serious? So it means wanaume wote Tanzania wanatamani dada zao wenye makalio kisa tu asilimia kubwa ya wanaume wanapenda makalio?Kam unapenda kulala na Wanawake wenye makalio, hiyo ndio fantasy yako na badala ya kulala na mke wako pekee ukatafuta wanawake zaidi. Elewa kuwa kama dadaako naye anamakalio unauwezo wa kulala naye tuu
Mwanaume mwenye uwezo wa kufanya mapenzi na mwanamke.Twende taratibu, nini maana ya "rijali"
MTAZAMO kwamba huyu ni ndugu yangu so huwezi tengeneza hisia ndio maana hata dada yangu angepita na mtandio siwezi dinda automatically. Same to mama yako mzazi maana mtazamo wako ni kwamba ni ndugu yako so hisia automatically zinajiset kuwa ni off limits.Kwa UELEWA wako kitu gani kinakufanya usilale na mama au dada zako? Tuanzie hapa.
Mimi naona wanaume wange kaa kikao cha dharura wajadili hili,Bora hata usemee wee.
huwa nashangaa sana jinsi namna watu wanavyo pinga ushoga ila cha ajabu unazidi kukua na kuongezeka kwa kasi.
Sielewi ni nn.
This is non sense mtu akitaka kulala na mwanaume au mwanamke mwenzake it's purely fantasy, curiosity au mtazamo na sio UHARIBIFU. Same to utafiti wa MEWATA 2016 ulisema katika kila wanawake 3 basi wawili wanaingiliwa kinyume na maumbile hapa Tanzania. Je ina maana hao 2/3 ama 60% ya wanaume wa Tanzania wanaweza waingilia mama zao au dada zao?
Masuala ya kihisia yasihusishwe na ugonjwa, ukichaa, uharibifu n.k
Kama wanaingiliwa hao wanawake ndo wenye mamlaka kushitaki kama wanaona aibu kimpango waoKama 60% wanaingilia kinyume wake zao mbona kesi za ubakaji sijasikia 60% ya wanaobakwa Tanzania hubakwa na watoto au wazazi wao?
Usiongee mambo bila proof, kesi za ubakaji ndani ya familia ni less than 8% hizo 91% ni ubakaji wa strangers!!
Ukitaka kujua unachoongea ni pumba wale paedophile kma Jeffrey Epstein au Philip Meltzeider mbona wamebaka under age watupu pekee na hawakubaka watu wazima wenzao au wazazi wao?? Fantasy huwa ni SPECIFIC ukipenda kulala na wanawake wenye makalio haimaanishi utapenda kulala na dada yako kisa ina makalio!!
What the hell
Ipo hivi,ukiwa freemason kuna level ukifika ni lazima ufanyiwe ushoga,unafanyiwa jambo lolote la kukuumiza au kuudhalilisha utu wako ili uzidi kuwa maarufu hili jambo wao uliita humiliation ritual kufanya jambo ambalo litakuumiza kumfurahisha shetani. Au sadaka ya kujiteketeza au kujimaliza.Mara nyingi Kwa mwanaume ni kuingiliwa ( ushoga ) ili kuimarisha agano.
Watu maarufu wote wamefanya hili kina Jay z,Obama,joe Biden,papa,nk wote wale speaker zipo wazi,kwa sababu wao tayari walishafanyiwa wanakuwa na nguvu kubwa sana ya kuyachochea haya kwenye jamii kwa kutoa pesa nyingi sana kufanikisha hili
Ni sawa na mtu aliyetapeliwa anatamani na wengine watapeliwe ili kufidia uchungu.
Ndo maana unaona wanapigia sana debe ushoga kwa sababu tayari wao ni mashoga