Ubakaji, ulawiti, ufiraji na ushoga havina uhusiano wowote na hormonal imbalance

Ubakaji, ulawiti, ufiraji na ushoga havina uhusiano wowote na hormonal imbalance

Mimi naona wanaume wange kaa kikao cha dharura wajadili hili,

Sababu hao mashoga wao ndio wanao waingilia,

Halafu wafanye tathmini ya kuingilia mwanamke kinyume na maumbile maana ukisha zoea mchezo huwo kwa mwanamke siku ukimkosa utafanya na mwanaume mwenzio.

Anayeingilia na anayeingiliwa wote ni mashoga. Shoga si yule tu anayeingiliwa
 
Wewe ndio unachanganya, yaani mtu ambaye hana hamu kubwa ya ngono atakuwaje na hamu kubwa ya kutembea na wanawake wengi? Ni sawa na useme kunywa bia sio kichocheo cha kulewa sababu sio lazima ukinywa bia ulewe!! Does it make sense? Libido ndogo utatatamani vipi multiple women?

Wewe ulisema Estrogen haileti features za kike nimekuletea paper inasema matiti hukuzwa na estrogen levels nyingi kwa wanaume same to sauti kuwa nyembamba na nywele kuacha kuota. So wewe umepotosha maana ulikataa ukasema kama ni viungo vinakuzwa kwa surgery sio hormone.

Wéwe unatatizo la uelewa.
Nimekataa kuwa estrogen haileti ushoga na haisababishi ushoga kwa sababu ushoga ni tabia kama Wizi, ulawiti, ubakaji n.k.
Estrogen inaleta silika ya asili katika umbile la kike lakini sio ushoga.
Zingatia ushoga sio uanamke wala sio ukike.

So Kubali kwanza uliongea uongo.
Hakuna uongo niliouongea sema wewe uelewa wako ni mdogo na ndio maana unakariri hizo tafiti kikasuku.
Ndio uelewe sasa, 90% ya wanaume wenye estrogen levels nyingi hudevelop hisia za mapenzi na wanaume wenzao. Ni sawa tu na wanawake wenye testosterone nyingi huwa wana develop hisia kwa wanawake wenzake sababu anakua more of a "mwanaume" kijenetiki kuliko mwanamke.

Acha uongo, kijenetiki unajua Unazungumzia mambo usiyoyaelewa.
Kiwango cha testosterone au estrogen kuwa nyingi hakumfanyi mtu kuwa na Hisia na mambo ya ushoga hakuna kitu kama hicho.

Haya kwa mfano wale wanaotaka kufira au Kufirwa na wanyama nao utafiti wao unasema testosterone au estrogen zao zipo High?

Yaani kuna Watu akili zenu ni fupi licha ya kuwa mmeenda shule.
Ndio maana ambao hawajaenda shule wanawadharau.
FaizaFoxy akiona mmeenda kusomea ujinga ni halali.

Yaani useme testosterone au estrogen zikizidi mtu anavutiwa na jinsia nyingine na utafiti uchwarwa uliofanywa na mashoga na wewe kwa akili zako ndogo umeingia kingi.


Tafiti hizi hapa

Nimekuwekea mpaka graph kutoka kwenye tafiti kutoka journal yenye credibility kubwa kwa mambo ya sayansi.

View attachment 2878412

Sources zingine credible, hii ni kutoka springer. Inasema katika watu wenye hamu ya kutembea na wanaume wenzao 90% wana hormone chache za testosterone ila wale wanaotamani wanawake pekee wana High testosterone concentration.
Plasma testosterone levels in homosexual men - Archives of Sexual Behavior

Twende kwa facts na data sio maneno maneno.

Hizo tafiti kila siku nazifanya.
Najua mtu au taasisi inaweza kuwa na agenda ya kupromoti jambo fulani na wakafanya utafiti na kudanganya dunia kwa agenda zao

Hivyo sio kila tafiti ni kweli. Tumia akili Budah!
 
Wewe umedai anayefanya ushoga anaweza fanya na Mama yake au baba yake means ni abnormality!! Ndio nikauliza if that's the case mbona hao 60% wanaolawiti wake zao sijasikia wakilawiti watoto wao au dada zao?
Wewe umesema anayemtamani mwanaume mwenzake basi anaweza mtamani na mzazi au mwanaye!! Ndio nikasema ilipaswa takwimu zirandane. Sasa kama 8% pekee ndio ubakaji wa ndugu ina maana sio hoja maana 92 percent nzima ni watu wasio ndugu!! So hoja yako ni ya uongo.

Kama walawiti ni 60% then ilipaswa kuwa ubakaji kati ya ndugu uwe pia 60% ili hoja yako iwe kweli. So umedanganya
Ndio maana nasema ni non sense, kisa unapenda makalio ndio utakula hata kama ni dada yako? Hivi hii pumba unayoongea upo serious? So it means wanaume wote Tanzania wanatamani dada zao wenye makalio kisa tu asilimia kubwa ya wanaume wanapenda makalio?

Ndio nakuambia kuwa, wewe kama ni shoga au mtoto wako ni shoga jua anauwezo wa kukupa au unauwezo wa kumfanya.
Utakataa lakini ndio ukweli huo

Ushoga ni abnormalities kwani ulikuwa hujui jambo hilo?

Alafu unaposema ilipaswa ungetakiwa uwaambie sasa hao waliofanya huo utafiti ambayo assessment Yao ilikuwa wanaobakwa wafanya uchunguzi ndani ya huo familia waone kama hawatapata majibu yaleyale.
Baba mwenye uwezo wa kubaka nashindwa kumbaka mtoto wake.
Hiyo ipo wazi sema wewe unakataa ubishi.

Sasa nini kimzuiie asibake mtoto wake wakati huohuo ni Mbakaji?

Ndio maana unaambiwa mtu akibaka sio kwa sababu aliyebakwa kamtega bali mbakaji ndiye anatatizo
B
 
MTAZAMO kwamba huyu ni ndugu yangu so huwezi tengeneza hisia ndio maana hata dada yangu angepita na mtandio siwezi dinda automatically. Same to mama yako mzazi maana mtazamo wako ni kwamba ni ndugu yako so hisia automatically zinajiset kuwa ni off limits.

So nachosema ni kwamba kila tamanio ni specific, anayebaka vitoto vidogo hawezi pia tamani kubaka wakubwa zake maana tamanio ni specific. Na ndio maana 60% ya wanaume wa Tanzania wanakula Tigo za wake zao ila huwezi niambia hao 60% ukiwaambia wale tigo ya wanaume wenzao watakubali!! No way.

So usifungamanishe mambo

Unaona unavyoshindwa kujenga hoja.
Kama mtu anauwezo wa kujizuia asimbake mtoto wake basi anauwezo wa kujizuia asibake watoto wa Watu wengine.
Na kama anauwezo wa kubaka watoto wa wengine logical anauwezo wa kubaka Watoto wake.

Anayebaka watoto wadogo atafanya hivyo kwa sababu yeye ni mbakaji aliyekatika mazingira ya kubaka watoto wadogo na hiyo haimaanishi hawezi kubaka Watu wazima.
Labda anaogopa hana nguvu za kutosha.

Mbakaji ni mbakaji tuu.

Ni sawa useme kuwa mwizi hawezi kuiba nyumbani kwao au kumuibia Mama yake au baba yake. Wewe utakuwa huna akili za kufikiria vizuri.

Elewa kuwa uchafu au uharibifu hauna limits.
Ndio maana hata kwenye ndoa Mama akiona binti amekuwa malaya anamtimua nyumbani kwa sababu anaweza kutoka na mumewe(babaake).

Shetani, uovu au uhalifu hauna mipaka Mkuu acha kuongea mambo usiyoyaelewa
 
Tatizo wabongo ni ujuaji usio na mipaka, wanadhani ushoga ni sawa na wizi, au ujambazi, au kisa ni tamaa.

Wajuvi wa mambo, tunaamua kukaa kmyaa kuwaacha wao waendelee kupotoka.

Kwa uelewa wako ushoga ni nini?

Ushoga ni tabia ambayo inahusu malezi.
Wewe mwenyewe uliandika na kukiri.
Hakuna mtu aliyezaliwa shoga, mbakaji, mfiraji n.k.
Hizo ni hulka na tabia ambazo mtu hujifunza, hufunzwa huku duniani
 
Punishment will not solve any problems because sexual orientation is a natural and inherent aspect of who someone is.

Ndio nikakuambia punishment NI kwaajili ya mwili hasa waliovuka mipaka na kudhihirisha silika zao(asili) kupitia matendo ya miili yao
 
Haya mambo bhana kila mtu anaweza kuongea lake tu kadiri anavyojisikia, kwa sababu wengi huwa wanaongozwa na mihemko na hisia tu na si uhalisia, lakini mwisho wa siku haijalishi kila mtu anafikiria nini au anaongea bado haibadili hali halisi na ukweli utabaki pale pale tu

Kuna watu ambao wamezaliwa wanajikuta tu wanavutiwa na watu wa jinsia yao hata kabla hawajaanza kufanya hiyo michezo, na hata tukisema ni suala la malezi bado halina uhalisia kwa sababu unakuta kuna mtu kwao wamezaliwa sita, ila ni yeye tu au wawili tu ndio wana hayo mambo wengine wako sawa hawana matatizo

Hapo malezi yanaingiaje kwamba hao watoto wanakuwa wamelelewa tofauti au, sawa haya mambo yanachukiza ila hilo halifanya kila mtu aropoke lolote tu analojisikia kuhusu watu wa aina hiyo eti mradi tu na yeye aonekane anachukizwa, ni vyema tungeacha ujuaji tukasikiliza wataalam waliosomea hayo mambo na wanaoelewa hali halisi wanasemaje

Hata kwenye familia wapo Watu wanazaliwa wanatamaa ya udokozi, umalaya, n.k.
Ndio maana zipo taratibu za kuwaweka sawa.

Kwa mfano wewe ukawa na tamaa au kijana wako akawa na tamaa na wewe baba yake ili umfire au akufire kwa upeo wako ni sahihi?

Yaani tabia mbaya uanze kuipaka paka rangi ndio nini.
 
Mama ameitwa na papa ili kumnshawishi awateue mashoga na wkuwapa nafs watu wa LGBTq wasikilizwe[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]
 
Sisi tuliosoma India tumekutana na haya majaribu
Sasa swali? hawa ni wanawake au wanaume!

1705869533083.png

1705869591299.png
 
Wangalie tu jinsi wanavyobehave.
Kuna jamaa kitaa alikua mtu humble sana kabla ya kua punga.

Alipouvagaa ushoga akawa kijana wa hovyo kabisa, hizo hisia zake zilikua zinampeleka puta kishenzi, akawa anawaingilia au kushawish watoto wamuingilie.
Na sio yeye tu mifano ni mingi, hizo hisia zao zinaaribu utendaji wa akili zao kwa kiasi fulani maana ni hazicontroliki.
Siafiki hili, kuhusu hisia kuto controlika ni uongo, maana Inakua ni maamuzi ya mtu.

Hebu eleza kabla ya kuwa Gay alikua vipi, na baadae akawaje?
 
Wewe ndio unachanganya, yaani mtu ambaye hana hamu kubwa ya ngono atakuwaje na hamu kubwa ya kutembea na wanawake wengi? Ni sawa na useme kunywa bia sio kichocheo cha kulewa sababu sio lazima ukinywa bia ulewe!! Does it make sense? Libido ndogo utatatamani vipi multiple women?
Wewe ulisema Estrogen haileti features za kike nimekuletea paper inasema matiti hukuzwa na estrogen levels nyingi kwa wanaume same to sauti kuwa nyembamba na nywele kuacha kuota. So wewe umepotosha maana ulikataa ukasema kama ni viungo vinakuzwa kwa surgery sio hormone.

So Kubali kwanza uliongea uongo.


Ndio uelewe sasa, 90% ya wanaume wenye estrogen levels nyingi hudevelop hisia za mapenzi na wanaume wenzao. Ni sawa tu na wanawake wenye testosterone nyingi huwa wana develop hisia kwa wanawake wenzake sababu anakua more of a "mwanaume" kijenetiki kuliko mwanamke.

Tafiti hizi hapa

Nimekuwekea mpaka graph kutoka kwenye tafiti kutoka journal yenye credibility kubwa kwa mambo ya sayansi.

View attachment 2878412

Sources zingine credible, hii ni kutoka springer. Inasema katika watu wenye hamu ya kutembea na wanaume wenzao 90% wana hormone chache za testosterone ila wale wanaotamani wanawake pekee wana High testosterone concentration.
Plasma testosterone levels in homosexual men - Archives of Sexual Behavior

Twende kwa facts na data sio maneno maneno.

Alafu hizi nukuu zako zote sio Tafiti bali ni nadharia za Watu walioandika tuu zisizo na ukweli wowote.

Nafikiri kwenye Research hujui kitu kinachoitwa False Research Finding na sbabau zake ni zipi.

Kasome kwanza Research ndio uje hapa na unukuu research huko mitandaoni.
 
Kwa uelewa wako ushoga ni nini?

Ushoga ni tabia ambayo inahusu malezi.
Wewe mwenyewe uliandika na kukiri.
Hakuna mtu aliyezaliwa shoga, mbakaji, mfiraji n.k.
Hizo ni hulka na tabia ambazo mtu hujifunza, hufunzwa huku duniani
Wee mtibelii, mie nilishaacha kuzungumzia haya masuala, maana watu huwa hawana logic, wanakua na mhemko na hasira,

Kwa kifupii nimewaachia nyie muendelee na mnachokijua.
 
Siafiki hili, kuhusu hisia kuto controlika ni uongo, maana Inakua ni maamuzi ya mtu.

Hebu eleza kabla ya kuwa Gay alikua vipi, na baadae akawaje?

Ushoga ni tabia kama tabia zingine.
Inahusu maamuzi na mazoea.
Ishu ni kuwa ni tabia mbaya, chafu, uhalifu na uovu
 
Back
Top Bottom