Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #141
Mimi naona wanaume wange kaa kikao cha dharura wajadili hili,
Sababu hao mashoga wao ndio wanao waingilia,
Halafu wafanye tathmini ya kuingilia mwanamke kinyume na maumbile maana ukisha zoea mchezo huwo kwa mwanamke siku ukimkosa utafanya na mwanaume mwenzio.
Wewe ndio unachanganya, yaani mtu ambaye hana hamu kubwa ya ngono atakuwaje na hamu kubwa ya kutembea na wanawake wengi? Ni sawa na useme kunywa bia sio kichocheo cha kulewa sababu sio lazima ukinywa bia ulewe!! Does it make sense? Libido ndogo utatatamani vipi multiple women?
Wewe ulisema Estrogen haileti features za kike nimekuletea paper inasema matiti hukuzwa na estrogen levels nyingi kwa wanaume same to sauti kuwa nyembamba na nywele kuacha kuota. So wewe umepotosha maana ulikataa ukasema kama ni viungo vinakuzwa kwa surgery sio hormone.
Hakuna uongo niliouongea sema wewe uelewa wako ni mdogo na ndio maana unakariri hizo tafiti kikasuku.So Kubali kwanza uliongea uongo.
Ndio uelewe sasa, 90% ya wanaume wenye estrogen levels nyingi hudevelop hisia za mapenzi na wanaume wenzao. Ni sawa tu na wanawake wenye testosterone nyingi huwa wana develop hisia kwa wanawake wenzake sababu anakua more of a "mwanaume" kijenetiki kuliko mwanamke.
Tafiti hizi hapa
Nimekuwekea mpaka graph kutoka kwenye tafiti kutoka journal yenye credibility kubwa kwa mambo ya sayansi.
View attachment 2878412
Sources zingine credible, hii ni kutoka springer. Inasema katika watu wenye hamu ya kutembea na wanaume wenzao 90% wana hormone chache za testosterone ila wale wanaotamani wanawake pekee wana High testosterone concentration.
Plasma testosterone levels in homosexual men - Archives of Sexual Behavior
Twende kwa facts na data sio maneno maneno.
Wewe umedai anayefanya ushoga anaweza fanya na Mama yake au baba yake means ni abnormality!! Ndio nikauliza if that's the case mbona hao 60% wanaolawiti wake zao sijasikia wakilawiti watoto wao au dada zao?
Wewe umesema anayemtamani mwanaume mwenzake basi anaweza mtamani na mzazi au mwanaye!! Ndio nikasema ilipaswa takwimu zirandane. Sasa kama 8% pekee ndio ubakaji wa ndugu ina maana sio hoja maana 92 percent nzima ni watu wasio ndugu!! So hoja yako ni ya uongo.
Kama walawiti ni 60% then ilipaswa kuwa ubakaji kati ya ndugu uwe pia 60% ili hoja yako iwe kweli. So umedanganya
Ndio maana nasema ni non sense, kisa unapenda makalio ndio utakula hata kama ni dada yako? Hivi hii pumba unayoongea upo serious? So it means wanaume wote Tanzania wanatamani dada zao wenye makalio kisa tu asilimia kubwa ya wanaume wanapenda makalio?
MTAZAMO kwamba huyu ni ndugu yangu so huwezi tengeneza hisia ndio maana hata dada yangu angepita na mtandio siwezi dinda automatically. Same to mama yako mzazi maana mtazamo wako ni kwamba ni ndugu yako so hisia automatically zinajiset kuwa ni off limits.
So nachosema ni kwamba kila tamanio ni specific, anayebaka vitoto vidogo hawezi pia tamani kubaka wakubwa zake maana tamanio ni specific. Na ndio maana 60% ya wanaume wa Tanzania wanakula Tigo za wake zao ila huwezi niambia hao 60% ukiwaambia wale tigo ya wanaume wenzao watakubali!! No way.
So usifungamanishe mambo
Tatizo wabongo ni ujuaji usio na mipaka, wanadhani ushoga ni sawa na wizi, au ujambazi, au kisa ni tamaa.
Wajuvi wa mambo, tunaamua kukaa kmyaa kuwaacha wao waendelee kupotoka.
Punishment will not solve any problems because sexual orientation is a natural and inherent aspect of who someone is.
Sasa hapo huoni utofauti? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unachekesha kweli wee,
Haya mambo bhana kila mtu anaweza kuongea lake tu kadiri anavyojisikia, kwa sababu wengi huwa wanaongozwa na mihemko na hisia tu na si uhalisia, lakini mwisho wa siku haijalishi kila mtu anafikiria nini au anaongea bado haibadili hali halisi na ukweli utabaki pale pale tu
Kuna watu ambao wamezaliwa wanajikuta tu wanavutiwa na watu wa jinsia yao hata kabla hawajaanza kufanya hiyo michezo, na hata tukisema ni suala la malezi bado halina uhalisia kwa sababu unakuta kuna mtu kwao wamezaliwa sita, ila ni yeye tu au wawili tu ndio wana hayo mambo wengine wako sawa hawana matatizo
Hapo malezi yanaingiaje kwamba hao watoto wanakuwa wamelelewa tofauti au, sawa haya mambo yanachukiza ila hilo halifanya kila mtu aropoke lolote tu analojisikia kuhusu watu wa aina hiyo eti mradi tu na yeye aonekane anachukizwa, ni vyema tungeacha ujuaji tukasikiliza wataalam waliosomea hayo mambo na wanaoelewa hali halisi wanasemaje
Sija kupinga,Anayeingilia na anayeingiliwa wote ni mashoga. Shoga si yule tu anayeingiliwa
.kwa uelewa wako unaweza kujikuta unavutiwa na kijana au binti yako akufire au umfire au mfirane, au umsage au akusage au msagane?Paragraph ya 2 imemaliza kila kitu, ila watu hawatakii ukweli na kuukubali.
Uongoo.Amini .Ukiwa na marafiki 2 mashoga na ww ni shoga wa tatu.
Wapo mashoga wenye uwezo wa kufanya mapenzi na mwanamke, na sio hivyo tyuuh hadi kuzalisha pia.Mwanaume mwenye uwezo wa kufanya mapenzi na mwanamke.
Hawataki kusikia kabisa hili.Mimi naona wanaume wange kaa kikao cha dharura wajadili hili,
Sababu hao mashoga wao ndio wanao waingilia,
Halafu wafanye tathmini ya kuingilia mwanamke kinyume na maumbile maana ukisha zoea mchezo huwo kwa mwanamke siku ukimkosa utafanya na mwanaume mwenzio.
Siafiki hili, kuhusu hisia kuto controlika ni uongo, maana Inakua ni maamuzi ya mtu.Wangalie tu jinsi wanavyobehave.
Kuna jamaa kitaa alikua mtu humble sana kabla ya kua punga.
Alipouvagaa ushoga akawa kijana wa hovyo kabisa, hizo hisia zake zilikua zinampeleka puta kishenzi, akawa anawaingilia au kushawish watoto wamuingilie.
Na sio yeye tu mifano ni mingi, hizo hisia zao zinaaribu utendaji wa akili zao kwa kiasi fulani maana ni hazicontroliki.
Wewe ndio unachanganya, yaani mtu ambaye hana hamu kubwa ya ngono atakuwaje na hamu kubwa ya kutembea na wanawake wengi? Ni sawa na useme kunywa bia sio kichocheo cha kulewa sababu sio lazima ukinywa bia ulewe!! Does it make sense? Libido ndogo utatatamani vipi multiple women?
Wewe ulisema Estrogen haileti features za kike nimekuletea paper inasema matiti hukuzwa na estrogen levels nyingi kwa wanaume same to sauti kuwa nyembamba na nywele kuacha kuota. So wewe umepotosha maana ulikataa ukasema kama ni viungo vinakuzwa kwa surgery sio hormone.
So Kubali kwanza uliongea uongo.
Ndio uelewe sasa, 90% ya wanaume wenye estrogen levels nyingi hudevelop hisia za mapenzi na wanaume wenzao. Ni sawa tu na wanawake wenye testosterone nyingi huwa wana develop hisia kwa wanawake wenzake sababu anakua more of a "mwanaume" kijenetiki kuliko mwanamke.
Tafiti hizi hapa
Nimekuwekea mpaka graph kutoka kwenye tafiti kutoka journal yenye credibility kubwa kwa mambo ya sayansi.
View attachment 2878412
Sources zingine credible, hii ni kutoka springer. Inasema katika watu wenye hamu ya kutembea na wanaume wenzao 90% wana hormone chache za testosterone ila wale wanaotamani wanawake pekee wana High testosterone concentration.
Plasma testosterone levels in homosexual men - Archives of Sexual Behavior
Twende kwa facts na data sio maneno maneno.
Hawataki kusikia kabisa hili.
UNAFIKI unawasumbua.
Wee mtibelii, mie nilishaacha kuzungumzia haya masuala, maana watu huwa hawana logic, wanakua na mhemko na hasira,Kwa uelewa wako ushoga ni nini?
Ushoga ni tabia ambayo inahusu malezi.
Wewe mwenyewe uliandika na kukiri.
Hakuna mtu aliyezaliwa shoga, mbakaji, mfiraji n.k.
Hizo ni hulka na tabia ambazo mtu hujifunza, hufunzwa huku duniani
Siafiki hili, kuhusu hisia kuto controlika ni uongo, maana Inakua ni maamuzi ya mtu.
Hebu eleza kabla ya kuwa Gay alikua vipi, na baadae akawaje?