Ubalozi wa Iran umeshambuliwa Damascus kiongozi wa revolutionary Guard Corps amefariki

Ubalozi wa Iran umeshambuliwa Damascus kiongozi wa revolutionary Guard Corps amefariki

Tatizo una akili nzito,nchi nzima ya Israel ni military base ninekwambi,walianzisha wao na wanaiendeleza,yaani jeshi la IDF ni brigade ya us army,mossad ni tawi la CIA,umeelewa!?
Unaongea kama waimba taarabu akina mzee yusufu....jibu swali uliloulizwa acha porojo
 
Telegram Accounts linked to the Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC) are claiming that Significant Activity is ongoing at Long-Range Missile Sites across Iran and that, “The Zero Hour for an Attack on Israel is near.”
 
Magaidi wakijaa kwenye Nyumba moja unawashushia tofali la moto.
 
Anaitwa nani huyo top CIA director????
Maana aliyetoa oder ni Trump kama amri jeshi mkuu.
Tupe jina la huyo director??
Mzee sasa Trump ndio huwa anaexecute yeye missions za cia 🤣 kaulize yule walimdungua kwenye jet Afghan alikuwa anaitwa nani.
 
Mzee sasa Trump ndio huwa anaexecute yeye missions za cia 🤣 kaulize yule walimdungua kwenye jet Afghan alikuwa anaitwa nani.
Mkuu angalia swali nililomjibu ndugu yangu kutokana na alichoniambia...!!!
Mambo ya ushabiki mimi sina...
 
Telegram Accounts linked to the Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC) are claiming that Significant Activity is ongoing at Long-Range Missile Sites across Iran and that, “The Zero Hour for an Attack on Israel is near.”
Lini sasa
 
Back
Top Bottom