Unadanganya kwa faida ya nani??Na pakistani akajibu mapigo alafu iran akaomba yaishe
Aliyeomba yaishe ni Pakistan sio Iran.
Usitufanye huwa tunafuatilia habari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadanganya kwa faida ya nani??Na pakistani akajibu mapigo alafu iran akaomba yaishe
Nenda kakariri juzuu kila siku nakuambiaUnadanganya kwa faida ya nani??
Aliyeomba yaishe ni Pakistan sio Iran.
Usitufanye huwa tunafuatilia habari.
Hao tisa waliouawa wamo wa asili ya Pakistan.![]()
Pakistani retaliatory strikes in Iran kill at least 9, raising tensions along border
The airstrikes follow Iran’s attack Tuesday on Pakistani soil, raising tensions between nuclear-armed Islamabad and Tehran.apnews.com
Watu tisa waliuliwa alafu unasema hakuna aliyeuliwa
Ohoo basi ni ignore.Nenda kakariri juzuu kila siku nakuambia
Naomba usiniquote tena sibishanagi na vilaza
Huwezi nipangia habari ipi ya kuleta au wewe ndo mmiliki wa jamiiforumOhoo basi ni ignore.
Ila usilete habari za uongo
KILAZA ni wewe unaedanganya habari.
Kama hautaki niku quote bofya ignore kitu simple
ILA USIDHANI NITAKUACHA UKILETA HABARI ZA UONGO NEVER NARUDIA NEVER
PIA HAUNA ELIMU WALA AKILI ZA KUNIPATA mie ni msomi zaidi yako.
Jamaa wanapiga mpaka huko ndani. Hawaangalii wapi na wapi.BREAKING: The Iranian consulate in Damascus has been "destroyed", according to the Syrian state news agency.
Further reports claim that a senior commander in the Iranian Revolutionary Guard Corps has been killed but the ambassador survived
Israeli imeshafanya yake
Wanakufuata popote ulipoJamaa wanapiga mpaka huko ndani. Hawaangalii wapi na wapi.
Basi usilalamike tukikusahihisha.Huwezi nipangia habari ipi ya kuleta au wewe ndo mmiliki wa jamiiforum
Wewe ni kilaza usomi wa kukariri juzuu
Wewe ni takataka tu
Sahihi kabisa.Iran atalipa tu,huwa hakai na deni
Kobaz bhana mlivyoishambulia Israel kwa kushtukiza huku mkimsifu allah wenu kwa shambulizi la kushtukiza mlitegemea nini?Acha ujinga wewe huwezi shambulia ubalozi kama unajitambua unaweza zalisha vita visivyo vya lazima unless uwe mwendawazimu.
INAUMIZA SANA... SASA TUTAJIFICHA WAPI?Wanakufuata popote ulipo
Ayatollah hatoki nje ya Iran wala kusafiri hovyo.Ayatolah mwenyewe atupiwe Kombora yeye ndio yuko nyuma ya Houthi Hezbola na Hamas.
Usitumie nguvu kubwa mpaka una-bold yaani inaonekana unaamin kwenye nguvu kuliko akili neno lako sio sheria wekataa unahaki hiyo kutokukubaliana ni jambo la kawaida kwenye maishaBasi usilalamike tukikusahihisha.
Kijana huna elimu kunizidi tukana ila wadhani nitakasirika na wadhani itabadilisha kuwa wewe unaleta habari za uongo??
Ikikuuma ni block.
UNADHANI WEWE UNAFAHAMU KULIKO HAO JAMAA. MAANA YAKE WAMEAMUA LIWALO NA LIWE.Acha ujinga wewe huwezi shambulia ubalozi kama unajitambua unaweza zalisha vita visivyo vya lazima unless uwe mwendawazimu.
Ku bold ni maamuzi tu wala si utumiaji wa nguvu.Usitumie nguvu kubwa mpaka una-bold yaani inaonekana unaamin kwenye nguvu kuliko akili neno lako sio sheria wekataa unahaki hiyo kutokukubaliana ni jambo la kawaida kwenye maisha
Ila usitumie nguvu mpaka una-bold focus kwenye maisha yako hakuna tuzo yeyote unayopewa furaha yako nikukubalie unasafari ndefu sana kifikra
Anatafutiwa Msichana mdogo mzuuri mpaka Ayatolah anachanganyikiwa.Ayatollah hatoki nje ya Iran wala kusafiri hovyo.
Inaniumaa kivip mimbona hata sikujui niumie kwa mtu anayetumia jina bandiaKu bold ni maamuzi tu wala si utumiaji wa nguvu.
We kama inakuuma kusahihishwa ignore mzee.
Kwani wewe kuleta habari za uongo unapewa tuzo pia??
Israel kafelije Gaza walati kila siku mataifa makubwa wanaiomba isiivamie Gaza kumaliza kabisa zile battalion 5 za Hamas zilizobaki.Military base kubwa ya kwanza Israel,ya pili misri,tatu Korea kusini..au huoni silaha zinavyopelekwa kwa taifa teule!?..mpaka bunge linafanya sessions za kupeleka silaha, Israel kafeli malengo Gaza kaenda kupiga ubalozi,pure frustration
hongera kwake kwa kuingia mji wa mabikra 72Wanalia tu mida hii... Faiza foxy anatenda msiba wa kamanda... kalale pema peponi kamanda onyo kwa waliobakiaView attachment 2951073View attachment 2951072