Ubalozi wa Iran umeshambuliwa Damascus kiongozi wa revolutionary Guard Corps amefariki

Ubalozi wa Iran umeshambuliwa Damascus kiongozi wa revolutionary Guard Corps amefariki


Watu tisa waliuliwa alafu unasema hakuna aliyeuliwa
Hao tisa waliouawa wamo wa asili ya Pakistan.
Boluchistan ni ardhi inayochangiwa kuishi kama unavyoona Kashmir.
Athari iliyotokea Boluchistan sio sawa na iliotokea Pakistan.
Na Boluchistan ni ardhi ya waliojitenga.
Wangepiga sehemu muhimu halafu ungeona kama Iran angetulia.
Na nakusisitiza usitudanganye Pakistan ndiye aliyeomba mazungumzo mgogoro uishe.
 
Nenda kakariri juzuu kila siku nakuambia
Naomba usiniquote tena sibishanagi na vilaza
Ohoo basi ni ignore.
Ila usilete habari za uongo
KILAZA ni wewe unaedanganya habari.
Kama hautaki niku quote bofya ignore kitu simple
ILA USIDHANI NITAKUACHA UKILETA HABARI ZA UONGO NEVER NARUDIA NEVER
PIA HAUNA ELIMU WALA AKILI ZA KUNIPATA mie ni msomi zaidi yako.
 
Ohoo basi ni ignore.
Ila usilete habari za uongo
KILAZA ni wewe unaedanganya habari.
Kama hautaki niku quote bofya ignore kitu simple
ILA USIDHANI NITAKUACHA UKILETA HABARI ZA UONGO NEVER NARUDIA NEVER
PIA HAUNA ELIMU WALA AKILI ZA KUNIPATA mie ni msomi zaidi yako.
Huwezi nipangia habari ipi ya kuleta au wewe ndo mmiliki wa jamiiforum
Wewe ni kilaza usomi wa kukariri juzuu
Wewe ni takataka tu
 
BREAKING: The Iranian consulate in Damascus has been "destroyed", according to the Syrian state news agency.

Further reports claim that a senior commander in the Iranian Revolutionary Guard Corps has been killed but the ambassador survived

Israeli imeshafanya yake
Jamaa wanapiga mpaka huko ndani. Hawaangalii wapi na wapi.
 
Huwezi nipangia habari ipi ya kuleta au wewe ndo mmiliki wa jamiiforum
Wewe ni kilaza usomi wa kukariri juzuu
Wewe ni takataka tu
Basi usilalamike tukikusahihisha.
Kijana huna elimu kunizidi tukana ila wadhani nitakasirika na wadhani itabadilisha kuwa wewe unaleta habari za uongo??
Ikikuuma ni block.
 
Iran atalipa tu,huwa hakai na deni
Sahihi kabisa.
Pia siku hiyo hiyo Israel wameua maafisa wa Hizbollah.
Tutegemee double retaliation kama ile ya kulipua kambi ya Galilee.
Maana Hizbollah nao wameapa kulipiza kisasi
 
Basi usilalamike tukikusahihisha.
Kijana huna elimu kunizidi tukana ila wadhani nitakasirika na wadhani itabadilisha kuwa wewe unaleta habari za uongo??
Ikikuuma ni block.
Usitumie nguvu kubwa mpaka una-bold yaani inaonekana unaamin kwenye nguvu kuliko akili neno lako sio sheria wekataa unahaki hiyo kutokukubaliana ni jambo la kawaida kwenye maisha

Ila usitumie nguvu mpaka una-bold focus kwenye maisha yako hakuna tuzo yeyote unayopewa furaha yako nikukubalie unasafari ndefu sana kifikra
 
Usitumie nguvu kubwa mpaka una-bold yaani inaonekana unaamin kwenye nguvu kuliko akili neno lako sio sheria wekataa unahaki hiyo kutokukubaliana ni jambo la kawaida kwenye maisha

Ila usitumie nguvu mpaka una-bold focus kwenye maisha yako hakuna tuzo yeyote unayopewa furaha yako nikukubalie unasafari ndefu sana kifikra
Ku bold ni maamuzi tu wala si utumiaji wa nguvu.
We kama inakuuma kusahihishwa ignore mzee.
Kwani wewe kuleta habari za uongo unapewa tuzo pia??
 
Ku bold ni maamuzi tu wala si utumiaji wa nguvu.
We kama inakuuma kusahihishwa ignore mzee.
Kwani wewe kuleta habari za uongo unapewa tuzo pia??
Inaniumaa kivip mimbona hata sikujui niumie kwa mtu anayetumia jina bandia
Sio lazima niku-ignore kuanzia leo sitakujibu tena
 
Military base kubwa ya kwanza Israel,ya pili misri,tatu Korea kusini..au huoni silaha zinavyopelekwa kwa taifa teule!?..mpaka bunge linafanya sessions za kupeleka silaha, Israel kafeli malengo Gaza kaenda kupiga ubalozi,pure frustration
Israel kafelije Gaza walati kila siku mataifa makubwa wanaiomba isiivamie Gaza kumaliza kabisa zile battalion 5 za Hamas zilizobaki.

Tangu Israel iichakaze Gaza ushaona Hamas wakirusha tena maelfu ya rockets kama walivyokua wakifanya awali?!
 
Back
Top Bottom