uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Israeli angamiza magaidi yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Their names......and identitySio alikufa mtu wakufa watu na wengine walipata vilema vya maisha
Waarabu na waislamu bhana hamkosi visingizio kila wayahudi wakiwazidi kete.....military base kubwa za USA ni Saudia na Jordan na UAE.....au mzee wa kuswekwa hujui hilo????Angepaachia Kama Hana issue napo,angeitosa Israel ambayo ni military base yake kule middle east
Tangu lini......Syria kila siku makamanda wa Iran wanauliwa na mossad mbona hajibu???Sasa israeli nae amekosa pa kushambulia mpaka aende ubalozini? Akijibiwa atulie asipige kelele maana muajemi huwa hapitishi saa 24 bila kujibu mapigo
Usiwe unafuatilia habari za upande mmoja mkuu.Tangu lini......Syria kila siku makamanda wa Iran wanauliwa na mossad mbona hajibu???
😂🤣🤣🤣
Anaitwa nani huyo top CIA director????Hahaha iranian means business walifyeka top cia director iranian desk aliyetoa oda na kusimamia hit ya kassim soleiman tokea hapo hiyo desk ikafutwa wale ni jino kwa jino hit kwa hit huaa hawanaga kusamehe.
Tupe wewe hizo habari....na utupe vyanzo vyako....!!!Usiwe unafuatilia habari za upande mmoja mkuu.
Kashafanyiwa mkuuNetanyahu ajiandae kufanyiwa ile oparesheni yake ya ngiri kwa panga
Tangu..lini....???Kisasi cha Iran kinajulikana. Tayari wameshatoa notes UN kuwa wana haki ya kulipa kisasi. Tusubiri ndani ya saa 24 tutapata majibu yake huwa Iran hawachelewi sana kujibu
Pro arab,s....naona umecatch feelings...kisa jamaa anawafeel wayahudi na sio waarabu 🤣🤣
Google themTheir names......and identity
Ingia googleLeta majina yao.......hapa.
Acha maneno mengi
Nikiangalia jengo pembeni ya ubalozi lilikopigwa bomu hata sielewi, ni kama jengo limechimbuliwa kutoka ardhini afu ni hilo tu. Ya pembeni yapo vizuriIsrael haipendi kutumia cruise missiles sababu ina air dominance hapo Syria, hakuna air defense system ya kuzuia Israel isirushe ndege zake. Hata hao makamanda wa Iran wanajua kabisa Israel hufanya mashambulizi ya anga na lazima walichukua tahadhari kama kuiambia Syria iongeze nguvu kwenye ulinzi wa anga pamoja na kwamba walikuja kwa siri.
Hapa Israel haikuwa na haja kutumia JDAM kits za Marekani, Israel wenyewe wanazo smart munitions za kutegemewa zaidi kuliko kutegemea MK bombs za zamani za Marekani zilizofungwa kits.
Probably Israel watakuwa walitumia fighter jets za kawaida ila zenye guided bombs hasa SPICE family kutoka Rafael Defense. Mfano bomu la Spice 250 ER linaenda mpaka kilomita 100 na linaweza piga shabaha ndani ya mita 3 zilizohitajika, ukilenga sebule ukakosakosa utapata dinning room ni yaleyale tu sababu bomu lina blast radius kubwa nyumba nzima itabomokaView attachment 2951163View attachment 2951164View attachment 2951165
Hata hivyo Israel inayo option ya kupiga Damascus ikiwa ndani ya mipaka yake ila haifanyi hivyo ili kuwa more accurate na kuepuka collateral damage. Na hakuna ulazima sababu Syria haina uwezo kuzuia shambulizi la Israel. Na ikibidi sana, F-35 stealth fighters zitatumika kuingia anga la Syria bila bugudha.
Najua hichi ulichoongea ndio Level yako ya kufikir sikulaumu uko brainwashedHapo tu anapambana na kajikundi kasicho jitosheleza kwa silaha wala chakula Hamas shughuli nyingi za uchumi kupitia bandari zimelala na uchumi kuporomoka.
Huyo Israel mpaka mafuta na bidhaa nyingi anauziwa ndio atake kupigana vita na Iran kwa asilimia vitu vingi vya toka ndani mwake.
Unafikiri vita ni mchezo wa kuigiza ? Atulie apambane na Hamas apate mateka wake anaotafuta hadi leo kwenye kaeneo size ya ka wilaya huko Iran sio league yake nchi yake itafirisika kwa kila kitu
Acha utoto....mkuu.Google them
Yaani....unatudanganya na hauna ushahidiIngia google
Unajua Mimi dini gani mkuu au wewe ndo mdini?Yaani....unatudanganya na hauna ushahidi
..🤣🤣🤣🤣 kweli udini mzigo
Wanapiga kwenye base ya jengo. Mabomu yana fuse tofauti na mlipuko tofauti kulingana na mahitajiNikiangalia jengo pembeni ya ubalozi lilikopigwa bomu hata sielewi, ni kama jengo limechimbuliwa kutoka ardhini afu ni hilo tu. Ya pembeni yapo vizuri
🤣🤣🤣 mkuu umepaniki mzee wa google???Unajua Mimi dini gani mkuu au wewe ndo mdini
Nmepaniki nini mkuu🤣🤣🤣 mkuu umepaniki mzee wa google???