Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ya Tezi dume nnNetanyahu Yuko kitandani amefanyiwa upasuaji. Huyo aliyemuachia Hana simile, mpaka netanyahu akipona Al Asad wa Syria atakua ameisoma namba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya Tezi dume nnNetanyahu Yuko kitandani amefanyiwa upasuaji. Huyo aliyemuachia Hana simile, mpaka netanyahu akipona Al Asad wa Syria atakua ameisoma namba.
"Iran attacks Israeli ‘spy HQ’ in Iraq" Iran attacks Israeli ‘spy HQ’ in IraqTaja majina ya hao majenerali
"Iran attacks Israeli ‘spy HQ’ in Iraq" Iran attacks Israeli ‘spy HQ’ in IraqHii ni mara ya ngapi wanauwawa makamanda wa Iran na hawalipi
Hernia.Ya Tezi dume nn
Huelewi, Pakistan kapiga wabalochistan waliopo Iran, Balochistan wanataka kujitenga, wakati Iran kapiga maslahi ya Israel na USA ndani ya PakistanUmehamisha tena magoli mwanzon uliwatuhumu israel sahivi umeamia kwa balochstan
We ni muongo sana iran naye alisema amewapiga wa-balochstan wanaoishi pakistan acha uongoHuelewi, Pakistan kapiga wabalochistan waliopo Iran, Balochistan wanataka kujitenga, wakati Iran kapiga maslahi ya Israel na USA ndani ya Pakistan
Wanataka kunifanya ya R Kelly nkawazooom mapemaaaaaHernia.
Pdidy nimepata taarifa umetorokea visiwa Fulani na dege lako la kifahari, kumbe bado unachungulia JF.
We ni muongo sana iran naye alisema amewapiga wa-balochstan wanaoishi pakistan acha uongo
Mwanzo ulisema hakuna mtu aliyeuliwa kwenye shambulio la pakistan iran sahivi tena umekuja na uongo mwingine
Huu Ukubwa mnaompa Iran 😂😂😂Huelewi, Pakistan kapiga wabalochistan waliopo Iran, Balochistan wanataka kujitenga, wakati Iran kapiga maslahi ya Israel na USA ndani ya Pakistan
Wabalichistan wanatumika kwa kuwa wanataka kujitenga na wapo pande zote mbili, Iran asingekua mwamba USA angekua kishamvamia kitambo,maana Israel kishashawishi Sana USA aingie vitani na Iran,Iran anauza silaha Russia,huwezi mu-undermineHuu Ukubwa mnaompa Iran 😂😂😂
Iran alipiga hapohapo Balochistan, Pakistan akajibu maeneo hayohayo.
Wataalamu husema kuwa RTS yaani irudi kwa aliyetumaIntelijensia ya waizraeli ni kubwa Sana. Sasa wanajifungia ubalozini wanarusha mabomu wanafikiri hawaonekani?
Unaenda kupiga ubalozi!!!..poor diplomacy,umekosa pa kupigaIntelijensia ya waizraeli ni kubwa Sana. Sasa wanajifungia ubalozini wanarusha mabomu wanafikiri hawaonekani?
Diplomacy ya nini kwa magaidi, Israel haipigi vichochoroni inapiga ubalozini kwa jeuri kubwa kabisa ili usije sema ni bahati mbaya. Hapo haitoomba msamaha wala kudai yaishe, itatoa sababu za kufanya shambulizi hilo.Unaenda kupiga ubalozi!!!..poor diplomacy,umekosa pa kupiga
Hiyo ni mbinu ya kivita kubadilisha makamanda hasa kukiwa na vita ya muda mrefu Netanyahu kaongoza vita toka October 7 kuhakikisha kwanza Hamas wanatoka Eneo la Israel walilovamia Akaongoza vita kusukuma Hamas hadi Ramalah mpakani na Misri kazi kubwa kafanya kijeshi anatakiwa apokewe na makamanda wapya apumzike apishe damu mpya sio kuwa lazima anaumwa tezi dume ni tact tu ya kijeshi ya kumpa mapumziko kuwa pole kwa kazi kubwa tunakupokea kuanzia umeishia uwe na mapumziko mema.Wanapeana mikono ya kila la heri aendaye vitani na aendaye mapumzikoNetanyahu Yuko kitandani amefanyiwa upasuaji. Huyo aliyemuachia Hana simile, mpaka netanyahu akipona Al Asad wa Syria atakua ameisoma namba.