Ubalozi wa Iran umeshambuliwa Damascus kiongozi wa revolutionary Guard Corps amefariki

Ubalozi wa Iran umeshambuliwa Damascus kiongozi wa revolutionary Guard Corps amefariki

Diplomacy ya nini kwa magaidi, Israel haipigi vichochoroni inapiga ubalozini kwa jeuri kubwa kabisa ili usije sema ni bahati mbaya. Hapo haitoomba msamaha wala kudai yaishe, itatoa sababu za kufanya shambulizi hilo.

Iran ni babalao tunaomba ajibu, kisha ajibiwe tena. Au aanzishe vita kabisa ili mzizi wa fitna ukatwe. Sio kila siku mikwara na kutuma magaidi.
Kuupiga ubalozi nafikiri Iran anaambiwa aje uwanja wa vita.
 
Waarabu na waislamu bhana hamkosi visingizio kila wayahudi wakiwazidi kete.....military base kubwa za USA ni Saudia na Jordan na UAE.....au mzee wa kuswekwa hujui hilo????
Military base kubwa ya kwanza Israel,ya pili misri,tatu Korea kusini..au huoni silaha zinavyopelekwa kwa taifa teule!?..mpaka bunge linafanya sessions za kupeleka silaha, Israel kafeli malengo Gaza kaenda kupiga ubalozi,pure frustration
 
Naaam kipondo kimesha shushwa apo ubalozini na hizo ni Salaaam tu kuelekea Tehran
Kama kawaida Iran mzee wa mipasho na kubwata bwata atakuja na shairi la kukemea na mikwara mizito hakuna la maana atakalo lifanya maana anajua akiji changanya tu imekula kwake mazima
 
Israel haipendi kutumia cruise missiles sababu ina air dominance hapo Syria, hakuna air defense system ya kuzuia Israel isirushe ndege zake. Hata hao makamanda wa Iran wanajua kabisa Israel hufanya mashambulizi ya anga na lazima walichukua tahadhari kama kuiambia Syria iongeze nguvu kwenye ulinzi wa anga pamoja na kwamba walikuja kwa siri.

Hapa Israel haikuwa na haja kutumia JDAM kits za Marekani, Israel wenyewe wanazo smart munitions za kutegemewa zaidi kuliko kutegemea MK bombs za zamani za Marekani zilizofungwa kits.
Probably Israel watakuwa walitumia fighter jets za kawaida ila zenye guided bombs hasa SPICE family kutoka Rafael Defense. Mfano bomu la Spice 250 ER linaenda mpaka kilomita 100 na linaweza piga shabaha ndani ya mita 3 zilizohitajika, ukilenga sebule ukakosakosa utapata dinning room ni yaleyale tu sababu bomu lina blast radius kubwa nyumba nzima itabomokaView attachment 2951163View attachment 2951164View attachment 2951165

Hata hivyo Israel inayo option ya kupiga Damascus ikiwa ndani ya mipaka yake ila haifanyi hivyo ili kuwa more accurate na kuepuka collateral damage. Na hakuna ulazima sababu Syria haina uwezo kuzuia shambulizi la Israel. Na ikibidi sana, F-35 stealth fighters zitatumika kuingia anga la Syria bila bugudha.
Hongera mkuu
Napenda Sana uchambuzi wako
Una uelewa mkubwa Sana wa kijeshi
 
Back
Top Bottom