Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Unaongea kama waimba taarabu akina mzee yusufu....jibu swali uliloulizwa acha porojoTatizo una akili nzito,nchi nzima ya Israel ni military base ninekwambi,walianzisha wao na wanaiendeleza,yaani jeshi la IDF ni brigade ya us army,mossad ni tawi la CIA,umeelewa!?
Yaaani badala ya kujibu swali unaleta porojo kama mgambo wa HezbollahMamaako ana porojo!?
Si umesema nisilete porojo la mtoto wa like,mamaako mtoto wa kike,he ana porojoYaaani badala ya kujibu swali unaleta porojo kama mgambo wa Hezbollah
Usipende kutafuniwa Kila kitu hizi habari zilisha tapakaa ukigoogle ndo utajua Fake au realWew si ndio mleta habari.....tupe ulipozitoa....tujue kama ni fake news au real one
Mzee sasa Trump ndio huwa anaexecute yeye missions za cia 🤣 kaulize yule walimdungua kwenye jet Afghan alikuwa anaitwa nani.Anaitwa nani huyo top CIA director????
Maana aliyetoa oder ni Trump kama amri jeshi mkuu.
Tupe jina la huyo director??
Mkuu angalia swali nililomjibu ndugu yangu kutokana na alichoniambia...!!!Mzee sasa Trump ndio huwa anaexecute yeye missions za cia 🤣 kaulize yule walimdungua kwenye jet Afghan alikuwa anaitwa nani.
Google ndio nini mkuu???Usipende kutafuniwa Kila kitu hizi habari zilisha tapakaa ukigoogle ndo utajua Fake au real
Ushatoka nje ya mada 🤣🤣🤣🤣Si umesema nisilete porojo la mtoto wa like,mamaako mtoto wa kike,he ana porojo
Lini sasaTelegram Accounts linked to the Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC) are claiming that Significant Activity is ongoing at Long-Range Missile Sites across Iran and that, “The Zero Hour for an Attack on Israel is near.”