Ubalozi wa Marekani: Mbowe ameshambuliwa kikatili, wakumbushia pia shambulio la Tundu Lissu huku kukiwa hakuna hatua zilizochukuliwa

Ubalozi wa Marekani: Mbowe ameshambuliwa kikatili, wakumbushia pia shambulio la Tundu Lissu huku kukiwa hakuna hatua zilizochukuliwa

Ndugu uzalendo umekujaa mpaka unapitiliza
Mbowe mchaga ameanza kunywa bia tangu mtoto bia za jana tu ndio zimvunje mguu.
Ukiwa unaropoka weka na yaakiba.
Hii kitu haijawahi kumuacha mtu salama [emoji23][emoji1787][emoji2960]
IMG-20200609-WA0015.jpg
 
Usa hana haki ya kunyoshea Tanzania mkono nchiambayo maaskari wanaua Wananchi wake barabarani ndio inanyoshea Tanzania mkono
Wapeleke upumbafu kwao


Mbowe aache maisha ya kihuni yeye ni kiongozi
kataa na misaada yao basi
 
Endelea kuwaamini hao mabeberu!

Kati ya mabeberu na wanaojulikana wenye wasiojulikana pana haja ya kuhoji wa kumwamini hapo? Kwani mwenye macho huambiwa tazama?
 
Mnyama anaekula nyama siku zote haliwi nyama ila wala majani kama wew mchelemchele ndo tunawalaga au na wewe ni msuKUMA?
 
Hatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
View attachment 1473622
Mabeberu hao wamemuua George Floyd kinyama halafu wanajifanya kumtengenezea mazingira ya kuvamiwa na kushambuliwa mtu mlevi alodondoka mwenyewe kwenye ngazi na kuumia kifundo cha mguu
 
Kwani askari waliofanya mauaji Marekani hawajafikishwa mahakamani?Vipi askari aliyempiga risasi Akwilina mbona anapeta tu.Mkitaka msifuatwefuatwe acheni kuwategemea kwa lolote!
Polisi wanauwa sana tu huko Marekani ni kawaida.
 
June 9, 2020
Dar es Salaam, Tanzania

Statement of Concern about Attack Against Freeman Mbowe
The Embassy of the United States of America is shocked and appalled by the brutal and unprovoked June 9 attack on Member of Parliament and Chadema party Chairman Freeman Mbowe. The Embassy calls for an immediate, thorough, and impartial investigation, and for the rapid apprehension and prosecution of this assault’s perpetrators.

The Embassy notes that this senseless attack on an opposition leader is only the latest in a long series of disturbing acts of violence and harassment perpetrated against members of the opposition. The Embassy notes as well that one of those heinous acts, the September 7, 2017, attempted murder of Member of Parliament and opposition leader Tundu Lissu remains unsolved and again urges the identification, apprehension, and prosecution of those responsible.

The Embassy offers its sympathy to Member of Parliament Mbowe and his family at this difficult hour and wishes him a complete and speedy recovery.

Source : Statement of Concern about Attack Against Freeman Mbowe | U.S. Embassy in Tanzania

They should finish the problem of racism in USA first before they venture to minor issues.
 
Kuna makabila mengine hayapo duniani kwa lengo la kutawala, kuongoza na kushika nyadhifa za juu kiutendaji Mfano ni kabila na kiongozi wa mhimili wa bunge na mhimili mkuu, na ndio mana hata katika uumbajj mungu Alliumba wanyama kama pundamilia, swala na nyumbu wakawa wengi kuliko Chui na Simba lakini akawapa nguvu na ufalme hao wachache ili wawatawale wengi vivyo hivyo hawa watani zangu wasuKUMA na wagogo is more like ya kundi la wanyama walioumbwa wengi sana huko mbugani yalifanyika makosa somewhere kukabidhi ufamle kwa Pundamilia na nyumbu
Unamaanisha hata wasukuma tunaompinga JPM na Ndugayi nasi ni wanyama ??

Unapopinga uovu wa mtu fulani usihusisshe kabila lake unataka kusema wasukuma na wagogo wote ni wanufaika wa huu udhalimu wa JPM.

Be reasonable.
 
Kweli waafrika ni wapumbavu Sana!! Yanayotokea Marekani hamyawekei uzi ila ya ki Africa mnayawekea mikazo ambayo hao hao wanaoua Waafrika kwao wanawaunga mkono vichwa vinajaa , we have long ways to go!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo ukatili wa marekani unahalalisha ccm kufanya ukatili pia ?

Even you are a sadist be reasonable instead.
 
Back
Top Bottom