Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Siku hawa jamaa wakikinukisha sijui itakuwaje ?
Jiwe hajitambui huku wenzake USA wakiendelea kumlia 'timing' ya uhakika taaaratbu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hawa jamaa wakikinukisha sijui itakuwaje ?
Jiwe atakuja kubebwa Kama jenerali Noriega you will see ,time will tell.Siku hawa jamaa wakikinukisha sijui itakuwaje ?
Shida ni kwamba hayo mavi yao huwa tunayaliliaga huku tumepiga magoti. Na ikitokea mwanaharakati kapinga tusipewe mgao wetu wa mavi ya mabeberu, huwa tunamjia juu na kumwambia hana uzalendoWakale mavi uko
HahahaMbinu Mpya za kuiba Hela za wafadhili
View attachment 1473648
Siku hawa jamaa wakikinukisha sijui itakuwaje ?
kama alivokufir* weweAiseee kumbe hata hao waliomvunja mguu walimkosea sana,ilitakiwa wamfi*e kabisa...
🚮🚮Hatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
View attachment 1473622
Na wewe piakama alivokufir* wewe
Ukatae hela ? Chezea pesa weweJuzi nimesikia Matekani wameipa Tanzania USD 7 millions almostb14BIllion Tshs. Nilitegemea Rais Magufuli azikatae maana ni Fedha ya MABEBERU kams anavowaita!Lakini Mzee baba Katia ndani......!!!
Jiwe atakuja kubebwa Kama jenerali Noriega you will see ,time will tell.
Hivi mtu akigonga ulabu mpaka kuporeza fahamu ni kushambuliwa, tena mbaya zaidi alikuwa anaenda kwa kimada wake aliyeteuliwa ubunge viti maalumu kwa sababu anamridhisha kingono. Huyo hakutekwa wala kupigwa, ndiyo maana baada ya ukweli kutoka alikaa kimya. Naarudia tena USA haina moral authority kuhusu hayo. Ukitaka soma soma kuhusu mabo yanayofanywa na serkali ya USA ya mauaji ya ndani na nje kwa wale wanaonekana vipingamizi katika kutekeleza matakwa yao. Sijui kama unamfahamu Lumumba? Au uliwa kumsikia Allende raisi wa Chile. Hebu angalia USA inrevention hizi kunyanganya uhuru... 970–1973: Chile, 1971: Bolivia, 1973: Uruguay, 1974-1991: Ethiopia, 1975-1991: Angola, 1977: Zaire, 1978: Zaire, 1979–1993: Cambodia, 1979–1989: Afghanistan, 1980–1989: Poland,Hatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
View attachment 1473622
Nikuelimishe.. ni Intarahamwe, lakini maneno yako si kweli. Umekosa umekosa.Hii Serikali ya CCM ni ma HINTALAMWE wa Tanzania, hawaoni shida yeyote kumwaga damu za watu kwaajili ya madaraka. Inasikitisha sana.
Mimi nitajulia wapi usahihi wa majina ya hivyo vikundi vyenu vy KIFEDHULI ninyi CCM?Nikuelimishe.. ni Intarahamwe, lakini maneno yako si kweli. Umekosa umekosa.