Hii kitu haijawahi kumuacha mtu salama [emoji23][emoji1787][emoji2960]Ndugu uzalendo umekujaa mpaka unapitiliza
Mbowe mchaga ameanza kunywa bia tangu mtoto bia za jana tu ndio zimvunje mguu.
Ukiwa unaropoka weka na yaakiba.
kataa na misaada yao basiUsa hana haki ya kunyoshea Tanzania mkono nchiambayo maaskari wanaua Wananchi wake barabarani ndio inanyoshea Tanzania mkono
Wapeleke upumbafu kwao
Mbowe aache maisha ya kihuni yeye ni kiongozi
Endelea kuwaamini hao mabeberu!
Mabeberu hao wamemuua George Floyd kinyama halafu wanajifanya kumtengenezea mazingira ya kuvamiwa na kushambuliwa mtu mlevi alodondoka mwenyewe kwenye ngazi na kuumia kifundo cha mguuHatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
View attachment 1473622
Mwambie babako awape massa 24 kama ana ubavu huo.Wakale mavi uko
Bado mwili uko weak baada ya kuugua covid-19Hivi mna uhakika gani kama ni pombe?? Na hizo pombe kwani kaanza kunywa jana??
Polisi wanauwa sana tu huko Marekani ni kawaida.Kwani askari waliofanya mauaji Marekani hawajafikishwa mahakamani?Vipi askari aliyempiga risasi Akwilina mbona anapeta tu.Mkitaka msifuatwefuatwe acheni kuwategemea kwa lolote!
[SUB]Duh! [/SUB]Uwii mbavu zangu Mimi.Hakuna watu wepesi kudanganyika Kama wazungu.Mbowe kawatega wamenasa
Hatari sanaCheck this outView attachment 1473767
June 9, 2020
Dar es Salaam, Tanzania
Statement of Concern about Attack Against Freeman Mbowe
The Embassy of the United States of America is shocked and appalled by the brutal and unprovoked June 9 attack on Member of Parliament and Chadema party Chairman Freeman Mbowe. The Embassy calls for an immediate, thorough, and impartial investigation, and for the rapid apprehension and prosecution of this assault’s perpetrators.
The Embassy notes that this senseless attack on an opposition leader is only the latest in a long series of disturbing acts of violence and harassment perpetrated against members of the opposition. The Embassy notes as well that one of those heinous acts, the September 7, 2017, attempted murder of Member of Parliament and opposition leader Tundu Lissu remains unsolved and again urges the identification, apprehension, and prosecution of those responsible.
The Embassy offers its sympathy to Member of Parliament Mbowe and his family at this difficult hour and wishes him a complete and speedy recovery.
Source : Statement of Concern about Attack Against Freeman Mbowe | U.S. Embassy in Tanzania
Hivii hawa ubalozi na wao wamekua ni watu wa kukurupuka tuuHatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
View attachment 1473622
Unamaanisha hata wasukuma tunaompinga JPM na Ndugayi nasi ni wanyama ??Kuna makabila mengine hayapo duniani kwa lengo la kutawala, kuongoza na kushika nyadhifa za juu kiutendaji Mfano ni kabila na kiongozi wa mhimili wa bunge na mhimili mkuu, na ndio mana hata katika uumbajj mungu Alliumba wanyama kama pundamilia, swala na nyumbu wakawa wengi kuliko Chui na Simba lakini akawapa nguvu na ufalme hao wachache ili wawatawale wengi vivyo hivyo hawa watani zangu wasuKUMA na wagogo is more like ya kundi la wanyama walioumbwa wengi sana huko mbugani yalifanyika makosa somewhere kukabidhi ufamle kwa Pundamilia na nyumbu
Mchango wa wahisani (siyo mikopo) kwenye budget yetu taarifa ziko wazi na siyo siri.Hakuna anayeomba ila kuna kukopa
Wakat wanakata utakua nchi ganiKateni misaada na mikopo na mtumie ushawishi wenu Benki ya Dunia na IMF wakate mikopo mpaka watapokubali kuruhusu ucchunguzi huru wa matukio haya.
Mchango wa wahisani (siyo mikopo) kwenye budget yetu taarifa ziko wazi na siyo siri.
Kwahiyo ukatili wa marekani unahalalisha ccm kufanya ukatili pia ?Kweli waafrika ni wapumbavu Sana!! Yanayotokea Marekani hamyawekei uzi ila ya ki Africa mnayawekea mikazo ambayo hao hao wanaoua Waafrika kwao wanawaunga mkono vichwa vinajaa , we have long ways to go!!
Sent using Jamii Forums mobile app
ukienda kukopa unasemaje - nataka mkopo au naomba mkopo!Hakuna anayeomba ila kuna kukopa
BLACK LIVES MATTERThey should finish the problem of racism in USA first before they venture to minor issues.