Mkuu ni la kweli na kwa lugha yao hili hapaView attachment 1341961
Sent using Jamii Forums mobile app
Asubuhi imefika, hii nizaidi ya coronavirus kwa ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ni la kweli na kwa lugha yao hili hapaView attachment 1341961
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo hamuiwezi CCM bila mbeleko ya " msaada wa Marekani"?tutashirikiana na mabeberu kuwanyoosha hawa CCM mafisadi wakubwa hawa.
"Tume ya uchaguzi ikiwa huru, CCM ni wepesi kama karatasi" By Polepole wa zamani.Kwahiyo hamuiwezi CCM bila mbeleko ya " msaada wa Marekani"?
Matamko haya sio bure kuna kitu 2020, CCM watajiingiza mtegoni wenyewe.
Dah.. Ila kinawauma sana ujue....
Jr[emoji769]
Kwahiyo hamuiwezi CCM bila mbeleko ya " msaada wa Marekani"?
Hicho ni kipeperushi tu kama vipeperushi vingine!
Nimekumbuka Kenyatta alipelekwa ICC kwa mambo yalitokea kipindi cha Uchaguzi
Nimekumbuka Kenyatta alipelekwa ICC
hiyo paragraph ya mwisho inawapa pressure MaCCM na vijibwa vyake.
safi sana mabeberu.
Ajabu sana
Sio uongo hatuiwezi. Maana ukifurukuta hivi risasi, ukijigeuza kesi ya uhujumu, mkutano kidogo hata chumbani uchochezi!Kwahiyo hamuiwezi CCM bila mbeleko ya " msaada wa Marekani"?