Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Endeleeni kuficha ila uzuri wa hili gonjwa linawatafuta hao hao wanao dharau ndio linapiga
Wapuuzi tu hao, waende wakahangaikie Nchi yao kwanza.
Hao raia wao hakuna aliyewalazimisha waishi Tanzania, wakitaka waende kuishi Kenya ambako kila kukicha kuna matakwimu yasioeleweka.