Unajua kuna wakati na wao walikua kama sisi kiteknolojia?Watu masikini wa kutupwa mnataka kujilinganisha na wafadhili wenu?
Ni Bora wafanyeje ili wasifikwe na hiyo Corona?Sijui unaandika haya ukiwa wapi, inawezekana umejifungia ndani hujui chochote kinachotokea mtaa wa pili, kwa taarifa yako mkiendekeza hizi taarabu Corona itapokuja kupiga hapo sebuleni kwako ndio utapata akili, now unaisikia kwa majirani ndio maana unaleta utani, na usiombe iwatembelee ndani kwasababu haiondoki na mmoja.
Kina nani waendelee? Una uhakika au umejitungia uwongo wako huko kichwani na kujiaminisha!?Mimi kwakuwa naheshimu maaagizo ya wataalam,navaa barakoa,naheshimu social distance, nanawa mikono, natumia sanitizer pale inapo bidi.
Nyie endeleeni kupuyanga kwa kudanganywa
Beberu kageuka malaika mamaeee wakati yeye ndiye ka tengeneza hili Dude.Hebu watupumzishe! Wameshindwa kuzuia vifo100 vya kupigwa risasi kila siku halafu hapa wanataka kutuongopea wanajali uhai wetuwetu.
Tuko zetu busy na kazi huku tukichukua tahadhari na kumwomba Mungu sana.
Wewe ni kichaa unayetakiwa kuvishwa nguo huku ukiwaita wale wazima wanaokusitiri vichaaMimi siyo kichaa kama nyinyi
Watupumzishe!Beberu kageuka malaika mamaeee wakati yeye ndiye ka tengeneza hili Dude
Beberu sio wa kuamini ata siku moja eti shetani hajawahi kuwa na hurumaWatupumzishe!!!!!!
Wacha tufanye taratibu zinavyoagiza huku tukimwomba Mungu
Tusisahau malimao, Tangawizi, pilipili na kupiga nyungu
Ukimwona anakusahihisha sana kwamba unakosea inabidi ujiangalieBeberu sio wa kuamini ata siku moja eti shetani hajawahi kuwa na huruma
100% wao ndio wana husika na hili duduUkimwona anakusahihisha sana kwamba unakosea inabidi ujiangalie
Beberu anatupenda 🤔Kumekucha [emoji26]
waandikie barua. malalamishi huku jf hawata yaona.Hebu watupumzishe! Wameshindwa kuzuia vifo100 vya kupigwa risasi kila siku halafu hapa wanataka kutuongopea wanajali uhai wetuwetu.
Tuko zetu busy na kazi huku tukichukua tahadhari na kumwomba Mungu sana.
mbona matokeo yapo online na wana update daily? ww ndio hufuatiliiWaanze kutupatia matokeo ya chanjo kule Marekani tujue je wale waliopatiwa maambukizi kwao yamekoma?
Angalia CNN wanasema case zina shuka katika speed ya kuridhisha sasa sijui ni katika kumuhadaa Trump au vipi?Waanze kutupatia matokeo ya chanjo kule Marekani tujue je wale waliopatiwa maambukizi kwao yamekoma?
Hawaaminiki kwangu kama wasivyotuamini sie.... corona yao, vyombo vyao, teknolojia yao, wataalam wa kwao na wanaamua taarifa zao zipi zifikie walimwenguAngalia CNN wanasema case zina shuka katika speed ya kuridhisha sasa sijui ni katika kumuhadaa Trump au vipi?
Hahaha Kikwetu tunasema Kimfaacho mtu chaketell american embassy that most of majority Tanzanians have no intention to go to Americav because America is not heaven