Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Kweli, hapo nakuelewa mkuu. Heshima kitu cha muhimu sana duniani. Pia ninachotambua ni kuwa yule mwanadada amesema kuwa sio kweli, picha yake imetumika vibaya pasi yake kuwa na ufahamu. Anadai, hiyo fununu aliiskia kutoka kwa rafikiye, na wala hajui hayo mambo kabisa. So ni propaganda tu za wazee wa 'behind the scenes'.Kosoa lakini acha kutukana. Kusema Rais wa nchi amelala na mwanamke nje ya ndoa pasipo kuwa na "concrete evidence" hayo ni matusi mazito sana kwa yeye mwenyewe, familia yake pamoja na Tanzania kwa ujumla.
Communication Regulatory Authority ya Tanzania inafungia hii website soon. Iendelee kubaki huko huko Kenya na sio huku Tanzania.Kweli, hapo nakuelewa mkuu. Heshima kitu cha muhimu sana duniani. Pia ninachotambua ni kuwa yule mwanadada amesema kuwa sio kweli, picha yake imetumika vibaya pasi yake kuwa na ufahamu. Anadai, hiyo fununu aliiskia kutoka kwa rafikiye, na wala hajui hayo mambo kabisa. So ni propaganda tu za wazee wa 'behind the scenes'.
Sisifii cyber bullying mkuu, tunaongelea kuhusu kusema ukweli, kama kitu ni kibaya, kinasemwa na kama ni kizuri, vivyo hivyo. Mambo ya cyber bullying sio mazuri kabisa na hiyo story ya huyo dada, ni allegations not real, so mwenye kuonewa hapo sana ni huyo dada coz hata hajui jambo lolote kuhusu tuhuma hizo!Kwa hiyo unasifia matusi ya kwenye mitandao (Cyberbullying)? Are you serious?
Mkuu, kwa hiyo mke na watoto wa Magufuli hawajaonewa na hii habari?mwenye kuonewa hapo sana ni huyo dada coz hata hajui jambo lolote kuhusu tuhuma hizo!
Hayo ni maamuzi yenyu, hatuwezi ingilia. Kila mtu atabeba mzigo wake, so it's up to the Tz government to do what it feels right according to your constitution.Communication Regulatory Authority ya Tanzania inafungia hii website soon. Iendelee kubaki huko huko Kenya na sio huku Tanzania.
Kibaya na kizuri kisemwe kukiwa na "concrete evidence" nje ya hapo huo ni udhalilishaji tuSisifii cyber bullying mkuu, tunaongelea kuhusu kusema ukweli, kama kitu ni kibaya, kinasemwa na kama ni kizuri, vivyo hivyo.
Nimesema kwa upande wa KE, na pia kwa upande wa Tz, hata familia ya hayati najua wameumizwa kwa hilo, sio story ndogo ila ndivyo ilivyo, and life must go on.Mkuu, kwa hiyo mke na watoto wa Magufuli hawajaonewa na hii habari?
Tanzania inataka urafiki na undugu wenye manufaa kutoka Kenya, and not the other way round.Hayo ni maamuzi yenyu, hatuwezi ingilia. Kila mtu atabeba mzigo wake, so it's up to the Tz government to do what it feels right according to your constitution.
Tuendelee kupendana na kuheshimiana kama majirani wema.Nimesema kwa upande wa KE, na pia kwa upande wa Tz, hata familia ya hayati najua wameumizwa kwa hilo, sio story ndogo ila ndivyo ilivyo, and life must go on.
Dah.Njoo CCM wewe
I get it, na nafkiri unafahamu sheria zetu zilivyo tight kuhusu media kujiachia mambo mengine, ndio maana recently unaona kuna media stations and some personalities too, wanakula ban ama suspension kwa makosa kadha wa kadha. So hatujalala kwa hayo, serikali iko na macho na maskio kila kona ya nchi.Tanzania inataka urafiki na undugu wenye manufaa kutoka Kenya, and not the other way round.
Rais wa awamu ya 5'Magufuli ni Maarufu', huyo Magufuli yupo mkoa gani?
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kama kweli mnafanya hivyo ni vemaI get it, na nafkiri unafahamu sheria zetu zilivyo tight kuhusu media kujiachia mambo mengine, ndio maana recently unaona kuna media stations and some personalities too, wanakula ban ama suspension kwa makosa kadha wa kadha. So hatujalala kwa hayo, serikali iko na macho na maskio kila kona ya nchi.
Gazeti lina beef na Rais MagufuliGazeti bila shaka linayo bifu na wakikuyu - why kikuyu lady na siyo kenyan lady?
Na unapaswa kujua kwamba, huu udhalilishaji ama Cyberbullying upo duniani kote, ni kitu kinasumbua serikali, ata jamii nyingi tu. Kuna watu "keyboard warriors" wanaofanya yao mafichoni, kuathiri wengine, na ni vigumu kuwapata sababu labda ni wabobezi wa maswala ya IT sana na pia huwa kawaida sio wananchi, wengine wanafanya yao nje ya nchi, ila mkimtafuta mnaona yuko ndani. Technology imekuwa complicated sana hadi inawakoroga serikali zenyewe.Kibaya na kizuri kisemwe kukiwa na "concrete evidence" nje ya hapo huo ni udhalilishaji tu
Hizi ndizo websites zinazotakiwa kufungiwa na TCRAAnayetakiwa kulalamika tayari keshapaza sauti hivyo Ni jukumu lake kufikishana na gazeti atakapotaka
Huo mtandao uliomdhalilisha Rais Magufuli wakija kuchapisha classified military documents Kenya itaacha kuufungia?Na unapaswa kujua kwamba, huu udhalilishaji ama Cyberbullying upo duniani kote, ni kitu kinasumbua serikali, ata jamii nyingi tu. Kuna watu "keyboard warriors" wanaofanya yao mafichoni, kuathiri wengine, na ni vigumu kuwapata sababu labda ni wabobezi wa maswala ya IT sana na pia huwa kawaida sio wananchi, wengine wanafanya yao nje ya nchi, ila mkimtafuta mnaona yuko ndani. Technology imekuwa complicated sana hadi inawakoroga serikali zenyewe.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣🤣 🤣 🤣 🤣 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umesoma habari ukaelewa? Au ndiyo hizi elimu za kuunga-unga-unga-unga-unga-unga-unga-unga-unga 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Kwa nini tuache, kama tukiwawahi sawa, tunafunga kila kitu, lakini kama ni mfano wa wale jamaa wa Russia, my friend hata serikali za ughaibuni wanatokwa kijasho pale, sembuse serikali zetu za third world?Huo mtandao uliomdhalilisha Rais Magufuli wakija kuchapisha classified military documents Kenya itaacha kuufungia?
Baada ya kuona Rais wa nchi yangu anadhalilishwa kwenye internet (kumbuka internet imefanya dunia nzima kuwa kama kijiji) ulitaka mimi nifanyeje mkuu? Ulitaka nikae kimya? Au ulitaka nilete malalamiko yangu mbele ya umma wa watanzania bila kuweka ushahidi wa kutosha?Mleta mada ni miongoni mwa wanaoeneza hiyo Ishu yenye mwonekano wa kumdhalilisha Hayati Rais wa awamu ya tano .
Kuleta humu hiyo taarifa na mpaka kipande cha hilo gazeti ni kueneza hiyo taarifa.