Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #21
Lengo la udhalilishaji huu analijua mhariri mkuu wa gazeti husikaMbona Nyerere,Mwinyi,Kikwete na Mkapa hawajawahi kusingiziwa,why Magufuli???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lengo la udhalilishaji huu analijua mhariri mkuu wa gazeti husikaMbona Nyerere,Mwinyi,Kikwete na Mkapa hawajawahi kusingiziwa,why Magufuli???
Mti wenye matunda ndio hutupiwa mawe. RIP JPM kamanda wangu.Mti wenye matunda
Acheni kuya aibisha Matunda yalioumbwa na Mwenyezi.Mti wenye matunda
Mambo ya kawaida tu hayohii kawaida bana, acha stress
haujawahi kusingiziwa ushatembea na msichaba fulani mtaani? kazini? kanisani? n.k
utapata stress
Ki afrika kama ni kweli...basi sifa kwa Marehemu, alikuwa na nguvu huku anaumwa moyo??
Mkuu, Rais kuchepuka sio jambo la kawaida, tena likichapishwa kwenye media pasipo kuwa na usahihi wa taarifa. Huu ni udhalilishaji mkuu.Mambo ya kawaida tu hayo
Mbona Clinton alitembea na sekretari wake
Ova
Nilikujibu PM muda mrefu sana mkuu.vp mbna majibu ya intavyuu hujatupa kaka etu?
mhhhKWA SABABU ZIMELALA
Mkuu, inaweza kukemewa pasipo kutaja jina la mhusika. Leo Rais Magufuli kaandikwa hivi, kesho ikija kutokea kwa Rais Mama Samia itakuwaje?Watu wanatafuta likes na kick hao, ukiangaika nao ndio unazidi kuwapa mileage
Inasikitisha sana kwakweli mkuu...Mauzo ya ilo gazeti yameshuka mno kutokana na janga Covid-19,sasa kwa sababu Magufuli ni maarufu wanatumia jina lake kupata mauzo kwa habari za uongo na uzushi
As long as jambo lenyewe limefanyika kenya, inamaana sheria za kenya ndio zinahusika. My point is pamoja na kukwazwa kwetu, jambo hili haliwezi kuwa handled unavyotaka wewe. Ingekua hapa kwetu Dr.Abbass angekua ameshavifungia au kuviamuru viretract... lakini kwa wenzetu serikali haina hayo mamlaka. Mamlaka hayo yapo kwenye media council na mahakama..so serikali ya kenya sana sana itamsikiliza balozi na kumuelekeza cha kufanya kuendana na sheria zao.Mkuu, masuala ya sheria za Kenya na udhalilishaji wa viongozi wetu hauna uhusiano kabisa. Ni lazima tuwe wakali linapokuwa suala zima la kulinda heshima yetu kama taifa. This is nonsense.
Ninavyotaka mimi kivipi sasa?As long as jambo lenyewe limefanyika kenya, inamaana sheria za kenya ndio zinahusika. My point is pamoja na kukwazwa kwetu, jambo hili haliwezi kuwa handled unavyotaka wewe.
Mbona balozi wa Kenya chini Tanzania yupo pia? Anaweza akafikishiwa masikitiko yetu juu ya udhalilishaji huu.serikali ya kenya sana sana itamsikiliza balozi na kumuelekeza cha kufanya kuendana na sheria zao.
Dr. Abbas na watu wa huko Foreign Service wanaweza kufikisha udhalilishaji huu ubalozi wa Kenya hapa Tanzania. Simple...!!!Ingekua hapa kwetu Dr.Abbass angekua ameshavifungia au kuviamuru viretract... lakini kwa wenzetu serikali haina hayo mamlaka. Mamlaka hayo yapo kwenye media council na mahakama
Yes.. balozi wa Kenya anaweza akaitwa Dodoma akafikishiwa masikitiko yetu. Ila ninachokwambia ni kwamba its possible yote hayo yameshafanyika privately..maana diplomacy mara nyingi haiwi public.Mbona balozi wa Kenya chini Tanzania yupo pia? Anaweza akafikishiwa masikitiko yetu juu ya udhalilishaji huu.
Kama wamefanya hili to deter any future occurrence of the same, basi wamefanya jambo sahihiits possible yote hayo yameshafanyika privately..maana diplomacy mara nyingi haiwi public.
Huyo aliyechapisha ni mpuz ametaka kumchafua tu..Mkuu, Rais kuchepuka sio jambo la kawaida, tena likichapishwa kwenye media pasipo kuwa na usahihi wa taarifa. Huu ni udhalilishaji mkuu.