Basi kama ni hivi hakutakuja kuwa na EAC imara ni kudanganyana tu kwa maana sheria zao na zetu ni tofauti kabisa.Kenya kuna uhuru wa vyombo vya habari, sio kwetu sisi makondoo wa siasa za kijamaa.
Tulia na uache mbwembwe.Hilo gazeti should print a detract. Wachapishe tangazo la kuomba radhi pia waondoe hiyo content mara moja mkuu...
Basi kama ni hivi hakutakuja kuwa na EAC imara ni kudanganyana tu kwa maana sheria zao na zetu ni tofauti kabisa.
Wangejua ni utani wasingeandika katika "Mainstream Media" bali wangeacha huko huko walipookota.yaani ubalozi wetu upoteze muda kwa kitu cha kitoto kama icho? utani tu unataka tuharibiane hadi ushirikano wa kimataifa kwa utani wa kabinti kadogo tu? acha ujinga.
Sawa bossTulia na uache mbwembwe.
Jifunze mijadala ya staha isiyo na matusiacha ujinga.
Hakuna uhuru usio na mipakaKenya wako huru kwenye vyombo vya habari, hili unaloona ni mada kwa hawa makondoo wa Tanzania, huko ni jambo la kawaida sana.
sasa kama binti ameongea ulitaka wafanye nini? wanyamaze? kwani kama kweli je? kwa mwanaume kama marehemu kufanya ngono ni kitu cha ajabu? ulikuwa naye maeneo yote?....binafsi mtu akija akanambia kuwa nimemzalisha sioni shida kwasababu nina watoto nje ya ndoa hadi sasa, na nimeshacheat sana tu sio kitu cha ajabu, mimi sio malaika, anything can be true. si bora Mungu kanipa na mkuyenge ya kunjunju, kuliko ningekuwa hanisi...Wangejua ni utani wasingeandika katika "Mainstream Media" bali wangeacha huko huko walipookota.
Mchelea mwana...
Nonsensesasa kama binti ameongea ulitaka wafanye nini? wanyamaze? kwani kama kweli je? kwa mwanaume kama marehemu kufanya ngono ni kitu cha ajabu? ulikuwa naye maeneo yote?....binafsi mtu akija akanambia kuwa nimemzalisha sioni shida kwasababu nina watoto nje ya ndoa hadi sasa, na nimeshacheat sana tu sio kitu cha ajabu, mimi sio malaika, anything can be true. si bora Mungu kanipa na mkuyenge ya kunjunju, kuliko ningekuwa hanisi...
Hakuna uhuru usio na mipaka
Nenda basi ukaishi huko Kenya.Hizo porojo za uhuru usio na mipaka waambie hawa makondoo wa Tanzania, sio kwa hao wakenya wanaojitambua.
Kuandikana ni vizuri, lakini kumuandika Rais wa nchi rafiki kwa mabaya sio jambo zuri hata kidogo.Habar za magufuli zinauza sana kenya ndo maana wanatafuta namna yoyote ile kumwandika
Unataka kusema Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete ilikua kitu isiyo na matunda? #sukumagang mna laana! Au sore, unamaanisha hilo ‘tunda’ la mwendazake la Kikikuyu?!!😂 Nimekupata Mangi, mti ulikua na matunda ule!Mti wenye matunda
Nenda basi ukaishi huko Kenya.
Mwenyewe hajulikani!
Kama mwenyewe hajulikani, who collects those revenues? Ni nani anaidhinisha hayo matangazo?At the end of the day the advertisements on the sites are seen by many people and the revenue is higher.
Sana sana huwa google ndio huchukua fedha za advertisers. Same way they do kwa zile video za YouTube. Baadaye wanatoa kiasi fulani kwa wenye content. Hii site ulifungwa na serikali around 2012. Then mwenyewe akaifungua using another domain from abroad, must be the USA. Serikali ya Kenya haiwezi kufunga websites outside their jurisdiction.Kama mwenyewe hajulikani, who collects those revenues? Ni nani anaidhinisha hayo matangazo?
Kama Kenya inaweza kuwa na website ambayo mtu anaweza kuitumia katika kufanya uchochezi bila kujulikana basi Kenya sio n
Ndugu, wafaa ujue pia google huchukua information about your likes from what you search from all the apps in your phone. Am assuming that you use Android phones. Some phones have been alleged to listen to users. So all this information google analyses and uses the same to give targeted advertisements based on your interests.Kama mwenyewe hajulikani, who collects those revenues? Ni nani anaidhinisha hayo matangazo?
Kama Kenya inaweza kuwa na website ambayo mtu anaweza kuitumia katika kufanya uchochezi bila kujulikana basi Kenya sio nchi salama.