Ubalozi wakanusha habari za uongo zinazodai kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo

Huyo Mr Mzungu hawezi chochote cha maana, achilia mbali kuanzisha chama cha siasa. Anachoweza tu ni kutukana, kukashifu, kuzusha, kusema uongo na kupinga kila hatua ya ustawi & maendeleo ya nchi yetu. Halafu ni mwepesi sana kulialia kama kifaranga.
 
wewe ni kenge jamii ya nyani
 
Mimi kuna mambo namSupport Jiwe na mengine simSupport.Mfano namSupport jinsi alivyoDeal na corona baada ya kujiona hana ubavu akamuachia Mungu.
SimSupport kwenye wizi wa kura na jinsi anavyominya upinzani!
 
Huyo balozi ni muongo, na Pia ni kilaza! Eti anathubutu kubeza maoni ya wabunge 5?! Tena wa kamati ya mambo ya nje? Eti kuwa siyo bunge lote, hajui kuwa bunge lote husikiliza hizo kamati? Ama anadhani ni bunge la Ndugai?
kwa wenzetu, wengi hupewa, wachache husikilizwa. hao wabunge watano hoja zao zinaweza kuwa mwiba kwetu.
 
wewe ni kenge jamii ya nyani
Mbona? Au hoja za wale wabunge watano zimekukoroga? Hebu subiri waongee wote 705 labda utarukwa na akili kabisa! Shangwe zinakwenda kukata Kama stimu ya bangi!
 
JamiiForums members and public at large dont miss out on this important meeting at the EU HQ
19 November 2020
Brusssels, Belgium

45 minutes were assigned for the EU Parliament Committee on Foreign Affairs discussion on Tanzania
Full 45 minutes of delibaration by the EU foreign affairs council , dub the most important agenda of the day, agenda number eight scrutinizing in detail what is going in Tanzania, a country that is under the leadership of John Pombe Joseph Magufuli . Focusing on geopolitics of Tanzania, security problems in the south of Tanzania, Tanzania preference towards Splendid isolation from international community, Democracy, human rights, 'one' party parliament in Dodoma, Members of Opposition MPs boycotting to be sworn-in and donor funded projects in Tanzania etc.
source : Lafit Amars
 
Wewe ndiye unajichanganya. Kuanzia mwanzo ukisoma ajenda za kikao kile ilikuwa ni kikao tu cha kubadilishana mawazo na siyo kikao cha maamuzi. Balozi amewakomesha wazandiki na watengenezaji wa uongo.
 
Una akili za kutumwa tumwa tu. Mbowe kawafanya mazezeta.
 
Huyo Mr Mzungu hawezi chochote cha maana, achilia mbali kuanzisha chama cha siasa. Anachoweza tu ni kutukana, kukashifu, kuzusha, kusema uongo na kupinga kila hatua ya ustawi & maendeleo ya nchi yetu. Halafu ni mwepesi sana kulialia kama kifaranga.
Tundu Lisu na wafuasi wake ni vituko ndani ya nchi mpaka nje ya nchi.
 
Acha uongo we jamaa...

Tuwekee chanzo cha hi taarifa yako.
Msome uzuri Abiy tangu akiwa jasusi wa kijeshi hadi kuishi na kufanya kazi Rwanda mpaka kuaminika na mabeberu kucheza michezo yao michafu.

Halafu, mimi pia usinisome juujuu na kwa wasiwasi.

Nisome uzuri khasa.
 
Yaani sikutegemea kama tunaweza kuwa waoga kiasi hiki sasa kwanini tulichakachua uchaguzi kama tunaogopa hivi... Ukimsikiliza huyu Muwakilishi wetu utaona anajikanganya mwenyewe kwanza anadai eti ni wabunge watano (5) kati ya 71 waliochangia kuhusu hayo mambo ya aibu tuliyoionyesha dunia .Hivi kwani pale mjengoni Dodoma kabla ya Wabunge wa CCM hawajapitisha jambo lao kwani huwa ni wabunge wangapi wanachangia zaidi ya Msukuma,Kibajaji, Mkamia, Nape na Hamis. arafu baadae hoja ikapitishwa na wabunge wengine zaidi ya 300 kwa kishindo?. Pili kumbuka katika kamati ya bunge la EU aliyetoa tamko hilo ni (Ndugai) wa Kamati yao (Mwenyekiti)kwa hiyo uzito wa tamko lake ni kubwa saana.
 
Wabunge wengine "see-tea-knee" na kitu waliobaki wameipiga chini hiyo kitu yenu. Msilazimishe.
 
Tanzania hakuna shida ya chakula labda kama mtu ahitaji kwashakoo mwenyewe.

Wazungu wana hiyo kitu kwa sababu ya mazingira ya kuwa na tamaduni ya choyo na ubaguzi.

Kwa asili, wazungu hawatupendi sisi waafrika na nashangaa sana watu hapa wanapowasogelea karibu kabisa kwenye eneo la tukio hawa wazungu na kujipendekeza huku na huko.

Wanachofanya ni kutafuta watu wao maalum wa kuwatumia kama Tundu Lissu na wengine ili kutaka kutimiza malengo yao ya kuendelea kuturudisha nyuma.

Ipo video itafute youtube yaelezea jinsi wazungu wanavyojadili kwamba Afrika ni lazima iendelee kuwa nyuma kimaendeleo ili kuendelea kulifaidisha bara ya Ulaya.

Itafute hiyo video uitazame, ukipata muda.
 
Wabunge wengine "see-tea-knee" na kitu waliobaki wameipiga chini hiyo kitu yenu. Msilazimishe.
Kitu ya akina nani kama siyo yenu ...kwani si wanawazungumzia nyie kwa uchafuzi mloufanya October 28. Hii imeshaweka rekodi dunia nzima na haitokaa ifutike wezi nyie
 
Kitu ya akina nani kama siyo yenu ...kwani si wanawazungumzia nyie kwa uchafuzi mloufanya October 28. Hii imeshaweka rekodi dunia nzima na haitokaa ifutike wezi nyie
Wezi ni akina Mr Mzungu ambao si wazalendo hata kidogo, wanataka kuchuuza na kugawa rasilimali za Watanzania kwa mabeberu wao. Hii sijawahi kuona popote. Historia itamkumbuka vibaya sana huyo kibaraka na kuwadai wa Bob.
 
Narudia tena na tena, badala ya ndoto yenu ya viongozi wa Serikali ya CCM na Vyombo vyake ati kupekekwa ICC, ndoto hizo zitakuwa kweli kwa CHADEMA kutoweka kwenye siasa nchini. Kwani kama kesi ICC itafunguliwa, basi mjue wazi kuwa viongozi wa CHADEMA ndio watakuwa washitakiwa kwa mauaji na utekaji unaondelea nchini. Mbowe anajua hilo na viongozi wenzake pia wanawajua washirika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…