Ubalozi wakanusha habari za uongo zinazodai kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo

Huyo ni mtuhumiwa mtarajiwa wa ICC. File lake lipo pazuri sana na jiandaeni tu na iyo nyundo
 
Kwa iyo kwa akili yako unafikiri walijadili ili iweje??? Hujui kuwa kamati zinapelekaga mapendekezo bungeni kwa ajili ya bunge kufanya maazimio????

Una elimu gani we mtu??? Au unashabikia tu siasa na hujui mifumo ya kisiasa inavyofanya kazi???
Sasa azimio si kinaweza kukataliwa au kukubaliwa?

Na kwa hiyo hizo kamati zilipopeleka mapendekezo hilo bunge limekuja na azimio gani?
 
Sala
Salary kama unawahudu wazungu kiasi hicho hadi kutweza utu wako ni kwa nini usiende ukaolewe nao hao wazungu ili roho yako itulie?

Kila kiumbe humu duniani kina umuhimu wake, hivyo ni wazi pia wazungu wanahitaji uwepo wetu sisi ili nao waweze eidha kututumikisha au kutudhalau kama mnavyopenda, lakinu kwa vile sisi pia tuna akili ni wajibu wetu pia kuonfika kwenye h8zo dharau.

Sasa wewe na Lisu kila siku wazungu wazungu, mwenzako keshatangulia na wewe mfuate huko mkapambane na mabomba ya wazungu ya kutoa maji machafu, mtuache sisi tupambane nao ili tusimame nao wima kutafuta usawa.
 
Sasa azimio si kinaweza kukataliwa au kukubaliwa?

Na kwa hiyo hizo kamati zilipopeleka mapendekezo hilo bunge limekuja na azimio gani?
Kwa iyo unadhani lile bunge ni kama la Ndugai kwamba linaweza kataa maoendekezo konki ya ile kamati??? Subirini sasa muone
 
Mbali na neno Beberu
Huwa tunatumia neno Mabunyenye kuwazungunzia wao
 
Umoja wa mabeberu haujafuta misaada?[emoji23]
Ingawa mnabeza hao wahisani sometimes kuitwa mabeberu lakini naamini mnaelewa uhalisia. Bado tunawahitaji wahisani kupiga hatua lakini upande wa pili misaada yao inaambatana na mambo mengi ambayo yana mlengo wa kibeberu ndio maana kila utachofanya ambacho hawafurahii watakuchapia misaada yao.

Mfano ni Stigler Golge ambayo imepigwa vita mashirika makubwa dunia ya mazingira na hata nchi wanachama kutishia kusitisha baadhi ya misaada! Na wengine kuhujumu tusipate mikopo! Huu ndio kibeberu, hawataki hatua zetu za kudumu za kujitegemea!

Wanataka uendelee kuwategemea. Sasa ni lazima wananchi waeleweshwe hasa kipindi hiki tunapotekeleza miradi mikubwa ambayo haiwafurahi hawa wakubwa. Lakini kwavile tumeamua kila kitu kuwa siasa basi hata lengo la matumizi ya neno mabeberu mtaligeuza! Ila ni neno limetumika toka uhuru tukisaidiwa na marafiki wa kweli.
 
Mbona balozi anaongea kwa hisia sana? Mm nilidhani hayo mamisaada hatuyahitaji tena maana sisi ni dona kantri.

Kama sisi sio dona kantri kwa nn wanasiasa wanatudanganya?
 
Propoganda yako balozi ni failure.

Tambua kuwa;
1. Kamati ndiyo bunge

2. Si rahisi wajumbe wote kupata muda wa kuchangia mada moja.

3. Umeshindwa kutuambia ni wajumbe wangapi kati ya hao 71 wameisemea vizuri Tanzania?

5. Umesema umoja wa ulaya hautoi hizo 1.6t, then unasema hizo pesa umoja wa ulaya wanazitoa na zinaendelea kutolewa.....which is which?

6. Ujatuambia kwanini mlichukua pesa za kupambana na COVID-19 wakati nchi ni free from corona, na mmezifanyia nini hizo pesa?

7. Huku tunaaminiswa kuwa nchi hizo ni MABEBERU wenye nia mbaya nasi, kwanini wewe unasema mna uhusiano nao mzuri?

Mpropoganda huwa hazifanywi hivyo balozi!

Jipange.
 
Kama wakoloni wangekuwa wanaanza kuitawala Afrika wakati huu hapa Tanzania wasingepata upinzani wowote! Haki ya Mungu watu wamejichoka wenyewe kwa mujibu wa michango ya JF
 
Ingependeza na kuaminika zaidi kama hayo yangesemwa na Ubalozi wa Umoja wa Ulaya hapa nchini lakini kutolewa na Balozi wetu, muunga juhudi, nchini kwa mabeberu inatia shaka. Awamu hii ni kukanusha kila kitu!
 
Kamati baada ya kutoa mapendekezo juu ya Tanzania basi kitakachofuata kwa Bunge zima ni kupitsha maazimio juu ya hatma ya nchi yetu. Sasa ndugu Balozi weka akaba ya maneno, hujui azimio litakuja vipi? usije ukajificha chini ya meza baadaye.

Kifupi mmeichafua sana nchi yetu .. tunanekana watu tusio straabika (uncivilized) mbele ya macho ya Jumuia hizi za kimataifa. Kurudisha uaminifu na heshima yetu hii itakuwa ni kazi ngumu mno.
 
Mwambie Mr Mzungu awe na shukrani kwa nchi yake, aache kujimwambafai; vinginevyo ataendelea kushindwa uchaguzi kila msimu wa uchaguzi na kukimbilia kwa Bob Amsterdam.
 

sawa, Muda utanena.
Tumalize mtori nyama zipo chini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…