Ubalozi wakanusha habari za uongo zinazodai kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo

Ubalozi wakanusha habari za uongo zinazodai kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo

Kwahiyo bunge la ulaya limetoa azimio kwamba litainyima tz mikopo?
Kama ndio kinachopendekezwa na kamati ya Bunge ndio hicho, unategemea nini? Hicho unachokitamani nakipa 1% mpaka hapo unataka nihitimisheje.
 
Muda ni mwalimu mzuri sana, walamba miguu wa Jiwe na vibaraka wake wote subirini mnyooshwe, bunge tumelisikiliza Jana na wametema nyongo kwelikweli kuhusu Tanzania, Jiwe na vibaraka wake hamponi safari hii hata mdhikiri uchi.
 
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Jestus Nyamanga amekanusha taarifa kwamba Bunge la Umoja wa Ulaya limekubaliana kuifutia Tanzania msaada wa Euro Mil. 626, na kuongeza kuwa hakuna majadiliano yoyote yanayoendelea kwa ajili ya kuiwekea Tanzania vikwazo vya kiuchumi.

Habari Leo ( 57 minutes )

Kuna Watu fulani 'Twiti' zao zote tangia Jana hadi Leo zilikuwa ni 'Kushadadia' tu hili la UE na hizi 'Pesa' sasa sijui 'watazifuta' upesi au wataziacha!!
 
Maajabu balozi kawa msemaje wa bunge la umoja wa Ulaya ? Hapa ndio tulipofikishwa na Jiwe .
 
Mbona MATAGA wanalialia!

Hao wazungu wanaulizana wenyewe kwa wenyewe ndani ya bunge lao kuhusu matumizi ya pesa za walipa kodi wao. Huyo balozi ni hamnazo
 
Huyo balozi anakanusha kwani yeye ndio EU, mlizoea kupumbaza wananchi na TBC
 
Jibu ni hili
20201120_114702.jpg
 
Watanzania watu wa ajabu sana. Unaambiwa kuna wingu huko juu mvua inakuja usianike mpunga wewe unasema uongo mvua ipo wapi mbona matone sioni?
 
Mimi nilitarajia unasema bunge la EU limekanusha, kumbe ni ubalozi wa Bongo land ulioko ubeberuni? kuna tofauti gani na kauli za chakubanga?
 
kakanushia wapi huyu balozi mbona twitter wanapotoaga taarifa zao hawajapost tangu tarehe 16?
View attachment 1630337
Sasa wewe Kati ya twiter na kuita Wandishi wa habari wa media tofauti tofauti kipi kikubwa kwako?

Au hujui kuwa twiter hata Kigogo ni mwana habari alieshika Vichwa vya Wahuni Wachache.

Jifunze kutozisujudu sana hizi online platform.
 
Hamna kitu hapo ni propaganda zao.

Wazungu wengi ma-experts na vijikampuni vyao vya ushauri elekezi ndo wamekuwa hard hit.

Symbion ndo bado wanalialia.

JPM ataka watanzania ndo washike hizo tenda na wawe wanazingatiwa kwanza.

Sifahamu wale jamaa wa PWC kama bado wadunda mjini Dar.

Na hio ni "tip of iceberg" kuna Japan na JICA nao wamekuwa hit somehow.

Hivyo ukiona kelele hizi si za bure.
Kweli sii bure sasahivi mabeberu wanahasiwa vibaya mno. Tutawahasi mmoja mmoja. Ukisikia kelele jua hashua zinaminywa
 
Viongozi wa Tanzania wanaamini kabisa kuwa watanzania ni madufu sana! EU wameshaanza kuichokonoa Tanzanzia kama walivyoanza kuichokonoa Zimbabwe enzi zile hadi kufikia kuwaekea vikwanzo. Ofcourse itachukua muda kama ilivyochukua muda nchini Zimbabwe, lakini kama Tanzania haijachukua tahadhari basi itajikuta pabaya.

 
Hiyo misaada ikatwe tu kwani wakati wanadhulumu haki za watu kwa kufanya uhuni kwenye uchaguzi hawakujua kwamba wanasaidiwa.

Huyo balozi kama regime representative lazima aongee tu kijinga hivyo.
 
Tundu Lissu ameingia kwasababu alikuwa ataka kufanya afanyayo Abiy sasa hivi.

Ile tuzo ya Nobel ni kiini macho tu lakini Ayib anatumia na nchi za kibeberu wanaotaka ile Horn of Afrika yenye mafuta na gesi.

Mashirika na makampuni ya kibeberu yapo nyuma ya kampeni zake za kuweka rasilimali za nchi kama ardhi, mashirika ya umma na miundombinu vyote kubinafsisha kwa mabeberu.

Haya mambo yataka upembuzi yakinifu sana ili kuyaelewa.

Tundu Lissu na Abiy Ahmed wote ni vibaraka wa nchi za kibeberu.
Wa tigray ndipo anapotokea QUUEN OF SHEBA aliyezaa na mfalme solomon mtoto aitwaye MENELIK,wanadai pia sanduku la agano la ahadi lipo kwao waliiba toka jerusalem,wamewafanya makabila mengine ya ethiopia watumwa kwa miaka mingi sana hadi mwaka 1931 ilipkomeshwa KWA KIFUPI WA TIGRAY WANAAMINI WAO NI SUPERIOR,Uki refer story ya menelik the first kufia mlima kilimanjaro,waethiopia(tigray)hadi leo wanadai kuna nchi yenye mlima mrefu ipo kusini kwetu(ethiopia)hiyo nchi ina mlima mrefu kaskazini na mto mkubwa kusini(rufiji)ni mali yetu kuna siku tutarudi kuitawala.

refer jamaa walivyojaa kaskazini mwa tanzania kuanzia usa river hadi bomang'ombe walikimbia civil war ya 1916....uliza wachaga story za enzi na enzi kwamba kilemakyaro ni kaburi la mfalme mashuhuri..kuna pete ya mflame selemani pale aliyokufa nayo menelik the first..WA TIGRAY NI WAJIVUNI SANA ila ndiyo warembo,wana akili na wamesoma sana na wana akili konki mnooo..waziri mkuu ni mu omoro.
 
Tundu Lissu ameingia kwasababu alikuwa ataka kufanya afanyayo Abiy sasa hivi.

Ile tuzo ya Nobel ni kiini macho tu lakini Ayib anatumia na nchi za kibeberu wanaotaka ile Horn of Afrika yenye mafuta na gesi.

Mashirika na makampuni ya kibeberu yapo nyuma ya kampeni zake za kuweka rasilimali za nchi kama ardhi, mashirika ya umma na miundombinu vyote kubinafsisha kwa mabeberu.

Haya mambo yataka upembuzi yakinifu sana ili kuyaelewa.

Tundu Lissu na Abiy Ahmed wote ni vibaraka wa nchi za kibeberu.
Wa tigray ndipo anapotokea SHEBA ALIYEZAA NA SOLOMONI MTOTOtwaye MENELIK,wanadai pia sanduku la agano la ahadi lipo kwao waliiba toka jerusalem,wamewafanya makabila mengine ya ethiopia watumwa kwa miaka mingi sana hadi mwaka 1931 ilipkomeshwa KWA KIFUPI WA TIGRAY WANAAMINI WAO NI SUPERIOR,Uki refer story ya menelik the first kufia mlima kilimanjaro,waethiopia(tigray)hadi leo wanadai kuna nchi yenye mlima mrefu ipo kusini kwetu(ethiopia)hiyo nchi ina mlima mrefu kaskazini na mto mkubwa kusini(rufiji)ni mali yetu kuna siku tutarudi kuitawala....refer jamaa walivyojaa kaskazini mwa tanzania kuanzia usa river hadi bomang'ombe walikimbia civil war ya 1916....uliza wachaga story za enzi na enzi kwamba kilemakyaro ni kaburi la mfalme mashuhuri..kuna pete ya mflame selemani pale aliyokufa nayo menelik the first..WA TIGRAY NI WAJIVUNI SANA ila ndiyo warembo,wana akili na wamesoma sana na wana akili konki mnooo..waziri mkuu ni mu omoro.
 
Back
Top Bottom