Ubalozi wakanusha habari za uongo zinazodai kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo

Ubalozi wakanusha habari za uongo zinazodai kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo

Aibu kwa nani,wewe tangu urudi chadema akili zako zumekufyatuka,lissu anakudanganyeni sana,

Kwa taarifa yako ili usiendelee kuumia kwa chuki zako dhidi ya government ya CCM yakupasa utambue kuwa hakuna cha vikwazo wala kaka yake na vukwazo au sijui kukatwa kwa misaada ya hao mabeberu

Jiandae kisaikolojia
Wewe ndiyo una Akili huko CCM? Kama wewe ndiyo una Akili huko CCM wengine watakuaje? Kitengo cha kusema ana chuki na CCM kwa vitendo vyake vya kishamba kishetani kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani imenishangaza mno, Yaani unataka watu wenye Akili timamu wafagilie upumbavu wa CCM kuwabambikia kesi kesi uonevu unyanyasaji mateso na mambo mengi ya hovyo yasiyo na tija kwa Taifa? Unataka watu waukubali ufisadi wenu kwenye miradi yote mikubwa na wizi wa pesa za corona kwa kisingizio cha kipumbavu kuwa ni chuki?
 
Ubalozi wa Tanzani Ubelgiji umekanusha habari za uongo zinazoenezwa mitandaoni kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo.

Ubalozi umeeleza kuwa ni wabunge watano tu kati ya wabunge 71 wa Kamati ya Mambo ya Nje ndiyo walitoa mawazo yao na hakuna azimio lolote lililowekwa dhidi ya Tanzania na Kamati hiyo. Imeelezwa kuwa Mbunge yeyote anaweza kutoa mawazo yake binafsi na na siyo kila wazo binafsi la Mbunge ni azimio la Bunge.

Bunge lote la Ulaya lina wabunge 705 na waliotoa mawazo yao binafsi walikuwa ni wabunge watano (5) tu. S
Sikiliza clip hii

Zaidi soma:


Pambana na hali yako.
 
Sasa mnakata viuno humu vya nini sasa?

Bunge linapokaa kinatoka na azimio, na azimio linatokana na maoni ya watu kama hao uliowanukuu jana hapa. Bunge likishajiridhisha ndio linaweka azimio likiona ni upuuzi linapiga kimya.

Sasa hebu niambie azimio la hilo bunge kutokana na maoni ya wale wabunge ni lipi?
Wewe ni mnufaika wa ufedhuri uonevu wa CCM hata uambiwe nini utaishia kuandika vya ajabu ili mradi polepole akuone umechangia mada wakupe uteuzi, huna unachokijua zaidi ya kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM pekee
 
“Si kweli kwamba umoja wa Ulaya huipa Tanzania tril 1.6 kila mwaka, lakini pia si kweli kuwa fedha hizo zimesitishwa" Hii sentensi inajipinga yenyewe (Oxymoron). Huyu mzee angekausha tu badala ya kubwabwaja ili asipoteze kibarua chake.
 
Robert Amsterdam"Final review of our ICC submission. Filing early next week".
List ya majina yatakayotumwa ICC inatisha...hajaachwa mtu maweee...sisi wanyonge tunamuita BOB...Lissu ni Patriot mtamuita majina yote na bado ”ndoo” za Ulaya mtazijaza
[emoji23][emoji23][emoji23]icc siyo balaza kuu la bawacha
 
Ilani ya CCM ina kurasa 308, Anzeni utekelezaji wake .hatutaki longo longo zenu. Mara misaada,mara mikopo . Nchi hii ni tajiri.
CCM imekuwa ni chama omba omba hakuna mfano Duniani, huomba misaada mpaka Nchi masikini za kiafrika , wameomba msaada Morocco iwajengee uwanja wa soka Dodoma wakati ni Nchi yenye njaa pia
 
“Si kweli kwamba umoja wa Ulaya huipa Tanzania tril 1.6 kila mwaka, lakini pia si kweli kuwa fedha hizo zimesitishwa" Hii sentensi inajipinga yenyewe (Oxymoron). Huyu mzee angekausha tu badala ya kubwabwaja ili asipoteze kibarua chake.
Balozi kaamua kujitoa fahamu kulinda njaa zake hana anachokijua Zaidi
 
Ingependeza na kuaminika zaidi kama hayo yangesemwa na Ubalozi wa Umoja wa Ulaya hapa nchini lakini kutolewa na Balozi wetu, muunga juhudi, nchini kwa mabeberu inatia shaka. Awamu hii ni kukanusha kila kitu!
Beberu kaamua kumkoromea mbuzi jike
 
Huwezi kushinda uchaguzi/au kuongoza nchi kwa kushirikiana na KABURU. Tundu Lisu angekuwa mzalendo wa nchi hii angeunda chama chake safi kabisa ambacho hakina mahusiano na hao Makaburu. Alitakiwa kuwa na chama cha kizalendo na kuzungumza mambo muhimu kwa ukweli na kugusa shida za watu kwa ukweli kabisa watu wangemuelewa kwasababu watu ndio wenye kuhitaji maendeleo na watu ndio wapiga kura.

Ila kwa hesabu zake za ajabu za kutetea mambo ya kishenzi yaliojaa ukaburukaburu, kuweka rehani rasilimali za Taifa kwa Makaburu ili kupewa misaada yenye masharti ya ajabu ni kujidanganya yeye na roho yake.

Watanzania sio wajinga kama mnavyodhani, kuna elimu ndogo,kati na kubwa. Watanzania wengi wanajitambua na wanauwezo wa kuelewa hata pale kiongozi anapozungumza sio mpaka waende darasani.
Watanzania wenye Akili timamu hawafagilii kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji uovu mateso kwa wapinzani, CCM imeupora ushindi halali wa wapinzani kwa kusaidiwa na NECCCM Tumeccm wakurugenziccm na Polisiccm kwa njia haramu za kishetani ni Mtanzania yupi mwenye Akili timamu anakubali huo upumbavu?
 
Robert Amsterdam"Final review of our ICC submission. Filing early next week".
List ya majina yatakayotumwa ICC inatisha...hajaachwa mtu maweee...sisi wanyonge tunamuita BOB...Lissu ni Patriot mtamuita majina yote na bado ”ndoo” za Ulaya mtazijaza
Kwisha kazi yenu nyie makamamda uchwara na huyo mzungu wenu.
 
Watanzania wenye Akili timamu hawafagilii kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji uovu mateso kwa wapinzani, CCM imeupora ushindi halali wa wapinzani kwa kusaidiwa na NECCCM Tumeccm wakurugenziccm na Polisiccm kwa njia haramu za kishetani ni Mtanzania yupi mwenye Akili timamu anakubali huo upumbavu?
Ha ha ha minyoo bhana. Dah I miss u bro, you are most welcome.
 
Huyo balozi wa Ubelgiji siyo mzalendo hata kidogo. Kwanini anaendelea kulilia pesa za mabeberu? Mnadanganya wananchi eti wanalazimishiwa ushoga na mabeberu.

Halafu anasema “hatupokei msaada kila mwaka”, na hapo hapo anasema “msaada haujasitishwa”
Wana ndimi nyingi hawa!

Mi nilijua hizo ni pesa za mashoga hatuzitaki
 
Ubalozi wa Tanzani Ubelgiji umekanusha habari za uongo zinazoenezwa mitandaoni kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania misaada na kuiwekea vikwazo.

Ubalozi umeeleza kuwa ni wabunge watano tu kati ya wabunge 71 wa Kamati ya Mambo ya Nje ndiyo walitoa mawazo yao na hakuna azimio lolote lililowekwa dhidi ya Tanzania na Kamati hiyo. Imeelezwa kuwa Mbunge yeyote anaweza kutoa mawazo yake binafsi na na siyo kila wazo binafsi la Mbunge ni azimio la Bunge.

Bunge lote la Ulaya lina wabunge 705 na waliotoa mawazo yao binafsi walikuwa ni wabunge watano (5) tu. S
Sikiliza clip hii

Zaidi soma:


Kwanza twambie hao watano tu walioijadili nchi yetu ya kusadikika na Uchaguzi wa 28/10/2020 wamesema nini? Pili, hoja kwamba ni wabunge watano tu haina tija, kwa sababu kwenye kikao hata hoja ya mtu mmoja tu inatosha kusikilizwa na kufanyiwa kazi. Kwenye kikao siyo lazima wajumbe wote waseme kuhusu hoja fulani, maana watakuwa wanarudia rudia kile kile, labda kama kuna ubishana hapo wengi wataongea, lakini hoja ikiwa na mashiko mjumbe mmoja tu anatosha. Hivyo kama hoja kuhusu nchi yetu ya kusadikika na uchafuzi wa 28/10/2020 imesemwa na wajumbe watano, basi hao ni wengi sana! Na kama hakuna mjumbe aliyekuwa na mawazo tofauti na hao watano maana yake hiyo hoja imekubaliwa na kupokelewa na wajumbe wote, kinachofuata ni azimio tu kwenye kikao kinachofuata. Cha kufanya sasa ni Tanzania kutoa maelezo ya kina kwa kilichofanyika ili kukiwahi hicho kikao cha maamuzi kitakachofuata. Tukikaa na kuamini hiki cha huyu nyumba kumi ambaye anaonekana hajaiva kidiplomasia itakula kwetu. Tujue wazi kwamba dunia kwa sasa ina picha mbaya sana kuhusu nchi yetu na utawala wake hauna mwangwi mzuri duniani. Hivi bado hatuelewi hili?


Bahati mbaya sana ni kwamba tumempata waziri wa mambo ya nje mwenye propaganda badala ya Diplomasia. Huyu hatofautiani kabisa na Polex2. Waziri mwenyewe hana uhalali wa kuwa waziri maana ameteuliwa kinyume na katiba. Ameteuliwa kabla ya waziri mkuu, na uteuzi wa waziri mkuu unathibitishwa na kiapo ndipo mtu awe waziri mkuu na baada ya hapo katiba inamtaka akae na mkuu wa kaya waunde baraza la mawaziri. Kitu hiki hakikufanyika. Ni aibu ya mwaka. Tunakuwa na waziri wa mambo ya nje mwenye kazi ya kumpamba mfalme kwa maneno biriani na kachori. Kwa namna hii kuirudisha nchi yetu kwenye asili na utamaduni wake ni kazi nzito!
 
Kwanza twambie hao watano tu walioijadili nchi yetu ya kusadikika na Uchaguzi wa 28/10/2020 wamesema nini? Pili, hoja kwamba ni wabunge watano tu haina tija, kwa sababu kwenye kikao hata hoja ya mtu mmoja tu inatosha kusikilizwa na kufanyiwa kazi. Kwenye kikao siyo lazima wajumbe wote waseme kuhusu hoja fulani, maana watakuwa wanarudia rudia kile kile, labda kama kuna ubishana hapo wengi wataongea, lakini hoja ikiwa na mashiko mjumbe mmoja tu anatosha. Hivyo kama hoja kuhusu nchi yetu ya kusadikika na uchafuzi wa 28/10/2020 imesemwa na wajumbe watano, basi hao ni wengi sana! Na kama hakuna mjumbe aliyekuwa na mawazo tofauti na hao watano maana yake hiyo hoja imekubaliwa na kupokelewa na wajumbe wote, kinachofuata ni azimio tu kwenye kikao kinachofuata. Cha kufanya sasa ni Tanzania kutoa maelezo ya kina kwa kilichofanyika ili kukiwahi hicho kikao cha maamuzi kitakachofuata. Tukikaa na kuamini hiki cha huyu nyumba kumi ambaye anaonekana hajaiva kidiplomasia itakula kwetu. Tujue wazi kwamba dunia kwa sasa ina picha mbaya sana kuhusu nchi yetu na utawala wake hauna mwangwi mzuri duniani. Hivi bado hatuelewi hili?


Bahati mbaya sana ni kwamba tumempata waziri wa mambo ya nje mwenye propaganda badala ya Diplomasia. Huyu hatofautiani kabisa na Polex2. Waziri mwenyewe hana uhalali wa kuwa waziri maana ameteuliwa kinyume na katiba. Ameteuliwa kabla ya waziri mkuu, na uteuzi wa waziri mkuu unathibitishwa na kiapo ndipo mtu awe waziri mkuu na baada ya hapo katiba inamtaka akae na mkuu wa kaya waunde baraza la mawaziri. Kitu hiki hakikufanyika. Ni aibu ya mwaka. Tunakuwa na waziri wa mambo ya nje mwenye kazi ya kumpamba mfalme kwa maneno biriani na kachori. Kwa namna hii kuirudisha nchi yetu kwenye asili na utamaduni wake ni kazi nzito!
Wabunge hao 5 ni miongoni mwa wachache wengine wenye hasira dhidi ya JPM kwa kufumua mipango yao batili ya upigaji na unyonyaji Tanzania. Ndiyo maana hata suala la uchaguzi wetu wa uhuru na amani wameshindwa waingilie wapi. Hawa ni bayana wamewehuka kwa sababu tu makampuni yao uchwara & mipango yao ya kuleta machafuko kupita kibaraka wao Mr Mzungu vimefagiliwa mbali.
 
Back
Top Bottom