Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh! Du! haya buana.Hiyo hivo tu unameza na maji
mwisho wa dunia.sijui lini tanzania itakuwa free from michepuko
sasa sisi tusio na michepuko ndo kusema wetu nao hawaliwi?!😕
usasili...henu iandike kwa kiingereza huenda nitaielewa!kumbe mme kutoka kutotoka it is not direct proportion (mathematics language) na mke kuchepuka!!!😕Wewe unaweza usiwe na mchepuko lakini mwenzako akawa nao.
Hizi habari za kwamba wanawake hawatoki nje ya ndoa kabla ya waume zao ni usasili mtupu.
usasili...henu iandike kwa kiingereza huenda nitaielewa!kumbe mme kutoka kutotoka it is not direct proportion (mathematics language) na mke kuchepuka!!!😕
Kisukuma!Hujui usasili ni nini hadi utake nikuandikie kwa Kiingereza?
Lugha yako ya kwanza ni Kiswahili au Kiingereza?
Ha ha ha boko nawe unaliwa eeh... The kilimanjaroKuna wimbo uleee.....boko wala wenzio boko nawe unaliwa eh
Teh kwamba inatakiwa tuwe tunasema "wanawake mnaokula wame za watu nanyi wame zenu wataliwa"Hivi hao wake za watu huwa wanagegedwa tu bila wao kutaka kugegedwa au?
Wenyewe huwa hawataki kuliwa na wanaume wasio waume zao?
Manake mnavyoandikaga ni kama vile wao huwa wapo 'available for the taking' muda wote tu.
Hakuna wake ambao hupenda/ hutaka kuliwa nje ya ndoa zao?
Polygamy wamekutana na polyandry ni checheTunda sio kwa ajili ya wanaume pekee. Wanafikiri wameumbiwa wao. Yeye aende kuzunguka huko duniani wewe ubaki kumsubiri tu. Akirudi asipokukuta anakasirika.
Kama ni mwanaume hujatulia usitafute visingizio sijui polygamy sijui nini. Utaliwa tu.