Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Teh kwamba inatakiwa tuwe tunasema "wanawake mnaokula wame za watu nanyi wame zenu wataliwa"
Kaboom unachekeshaga sana na harakati zako kama za pimbi ,mara sijui unataka kumtafuna mtoto gani ,jukwaa letu kubwa la wapendwa iliwekwa picha ya papuchi wajuvi wakawa wanasema sijui ni ya Kimambi ,ghafla nakuona umetia timu unauliza kama kweli ya kwakeTeh teh..Uncle mi principle yangu ni ileile..CHEPUKA ILA MI NISIJUE
Sio lazima,Kwahiyo usipokula hutaliwa eti?!
Usile ila watakulia tu!
Teh teh..Uncle kweli nina nyota ya Pimbi..Harakati uwa hazifanikiwi kabisa..Ile Papuchi ilikuwa ina quality nzuri ndo mana nikaamua kuhoji tehKaboom unachekeshaga sana na harakati zako kama za pimbi ,mara sijui unataka kumtafuna mtoto gani ,jukwaa letu kubwa la wapendwa iliwekwa picha ya papuchi wajuvi wakawa wanasema sijui ni ya Kimambi ,ghafla nakuona umetia timu unauliza kama kweli ya kwake
Teh teh! Mkuu ndio maana nilkuita uje uchukue kitu hapa kwa Jasusi Salt maana harakati zako za kuwatafuna zinatishaTeh teh..Uncle kweli nina nyota ya Pimbi..Harakati uwa hazifanikiwi kabisa..Ile Papuchi ilikuwa ina quality nzuri ndo mana nikaamua kuhoji teh
Teh teh..Nashukuru uncle kwa mwalikoTeh teh! Mkuu ndio maana nilkuita uje uchukue kitu hapa kwa Jasusi Salt maana harakati zako za kuwatafuna zinatisha
Hahahaaaaa hatarii mke akichepka kadi nyekundu haina njano wala kuonywa.Teh kwamba inatakiwa tuwe tunasema "wanawake mnaokula wame za watu nanyi wame zenu wataliwa"
Hahaaa nilitaka kusema kitu kama hiki, Eve alikuwa anarushiwa punje za mtama ajiingize kibra mwenyewe, chezea watu na fani zao niniMimi nafikiri the real story ni wewe Eve na huyu jamaa alivyokusimulia mwenzie anatetemeka akiona mtarimbo
je wewe na huyu jamaa mliishia wapi?
hujapanga siku ukajionee mwenyewe huo mtarimbo?
nafikiri hapo ndo kuna story
ilikuwaje kwanza mkasimuliana habari hizo?
  yamekua hayo tena!! 😀 😀 😀 mi nlishuka nikaondoka zangu ye akapakia goma lake, alianza tu kusimlia from no where mwenyewe nikadhani labda kalewaMimi nafikiri the real story ni wewe Eve na huyu jamaa alivyokusimulia mwenzie anatetemeka akiona mtarimbo
je wewe na huyu jamaa mliishia wapi?
hujapanga siku ukajionee mwenyewe huo mtarimbo?
nafikiri hapo ndo kuna story
ilikuwaje kwanza mkasimuliana habari hizo
Ha ha ha hizo punje za staili hiyo hajanipataHahaaa nilitaka kusema kitu kama hiki, Eve alikuwa anarushiwa punje za mtama ajiingize kibra mwenyewe, chezea watu na fani zao nini
Hata usipokula vya wenzio utaliwa tuukila vya wenzio na vyako vinaliwa
inaonekana hii nchi ina watu wanaopenda sexy sana CHAPUTA tz MICHEPUKO tz duuuh kila ntu na ntu.
Hahaaa sijamwelewa zamaulid, hebu nitafisilie tafadhaliHa ha ha boko nawe unaliwa eeh... The kilimanjaro
Inavyonyesha ushaliwa tayari.Ukitaka kula lazma uliwe, wanaokubali waseme ndio wasiokubali waseme sio....
Mwanaume unapokua unagegeda mke wa mwenzio, unamgeuza geuza kama chapati, unamkunja na kumkunjua, jasho linakutiririka unafurahii mwenyewe unadhani wako atabaki salama?? Nop ujue kuna mjanja wako pia kama we ulivo mjanja kwa mwingine mkeo analiwa vizuri tu mastaili yoteee anapewa....hamtaki kusikia ila ndo hiv.
Jana nikakutana na jamaa mmoja ni mwanaume tu wa makamo umri unatosha kupewa shkamoo ni dereva, simu yake inaita wee anapokea anajibu nakuja mama anakata, sekunde tu simu inaita tena anajibu nimekaribia yani zilikuwa ni simu mfululizo mwisho akaona aongee "dah huu mchepuko unasumbua sana nishauambia nakuja hauelewi, huyu mwanamke ana ny*ge hadi zinamwagikia bla bla"
Nikamwambia nenda kampe haki yake jamaa, ndo kuanza story huyu mwanamke nilimuonjesha mara moja yani kaniganda sikutegemea, anataka kila siku nimbandue sijawahi kukutana na mwanamke mwenye ny*ge kama huyu, kisa mashine yangu kubwa mme wake anayo ndogo basi akiishika hadi huwa anatetemeka (ha ha ha wanawake wabaya ndo nini sasa kutangaza silaha ya mme kwa mchepuko).....
Bado nasimuliwa huu mchepuko unaniambia nipaki tu atanipa hela ambazo ningezipata yani huwa nampa dozi vilivo hadi ananipa hela, yani hapo najua kishaloana (baba aliongea yule hadi nikahisi aibu sasa).. .
Nikamuuliza ukisikia nawe kuna jamaa anamshughulikia mkeo hivo utajisikiaje ha ha ha eti "mama angu ntaua mtu" nikajisemea tu Kimoyo moyo nyokooo wewe, we mbona unakula wa mtu nani kakuua..... akatokea mwanamama na dera lake masikini mali ya mwanaume inaenda kutafunwa.
Kavuruge mke wa mwenzio na wako avurugwe!!!!!!
Nimeliwa kwa achali ya embe, nikashushiwa na juice ya passion,....Inavyonyesha ushaliwa tayari.