Ubandue wa wenzio tuuu, wako asibanduliwe? Haipo hiyo!!

Ni dereva wa kibajaji tu
 
Kwenye kitu ambacho sikipendi kwenye maisha kuishi kwa stress aiseee nitagegeda lakini nitakuwa nachukua watoto wangu na kukaaa nao mambo ukienda job unakuwa na mawazo mara mbili huku kazi kule mama watoto hiyo hapana aiseee nitafata principle za kaka yangu mkubwa
 
Inakuaje apo swala sio papuchi kubwa, ila kibamia ndo inakua ishu?!
 
Salt eee huo ndio ukweli na mtombaji stadi hilo halimpi shida.Tomba utombewe
 
Sasa we Evelyne Salt kama jamaa yako anakula wengine we ukiliwa ni sawa?
 
hakuna mkuu ila ukila vya mwenzio wako lazima naye analiwa mahali

Basi mkuu afadhali kula tu kwa kuwa hata ukijivunga mwenzio anaweza kuliwa...!! Ukila naye akiliwa itakuwa ime-balance.
 
hakuna wake wa aina hiyo ambayo wanataka kusexiwa nje ya ndoa bali wanalazimishwa tu
hakuna kitu kamahicho mkuu
 
mshahara wa dhambi ni mauti hivyo inabudi mmurudie muumba wenu acheni dhambi ya zinaa
 
Hata usipokula vya wenzio haikuzuii wa kwako kutoliwa. We ukipata kula tu
 
Kwa kifupi ndoa siyo feasible ama? hizi post zenu za kula na kuliwa huwa zinanipa shida kuelewa umuhimu wa ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…