Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sipo mchache Sana japo nakiri kuzembea kukaa kwenye majlis kwa sasa lkn alhamdullllah huwez kunikuta kwenye Uzi wa kula tunda kimasihara ha ha aaaAta ww Nurain waweza kujifunza ni suala la maamuzi tu
Hahaha nimecheka kwa sauti.Sipo mchache Sana japo nakiri kuzembea kukaa kwenye majlis kwa sasa lkn alhamdullllah huwez kunikuta kwenye Uzi wa kula tunda kimasihara ha ha aaa
Sipo mchache Sana japo nakiri kuzembea kukaa kwenye majlis kwa sasa lkn alhamdullllah huwez kunikuta kwenye Uzi wa kula tunda kimasihara ha ha aaa
HakikaSasa chukua haya ya kwenye mitandao ya kijamii na maisha ya mtaani hali Ni mbaya Sana tunaishi kwa romours kuanzia asubuhi mpk usiku..
Allaha akuhifadhi kaka, wallah nafaidika na elimuHakika katika kumtaka Allah pasina kutoa sauti inajuzu Sana na ni Jambo linalo pendeza zaidi.
Tuangalie dalili ifuatayo kutoka katika Qur'an
Allah (Subhanahu wataala) anasema kumwambia Mtume wake (swallallahu Alaih Wasallam) : "Na mtaje Mola wako Moyoni mwako Kwa unyenyekevu na khofu Bila kupiga makelele katika kauli ( na mtaje Mola wako) asubuhi na jioni!na wala usiwe miongoni mwa wenye kughafilika."
[Al Aaraf : 205]
Naam nashukuru kwa kuniita hapa, ama kuhusu dhana ni bora kujiepusha nayo kabisa kwasababu nyingi katika dhana ni wasiwasi kutoka kwa shetani na ni uchochezi wake, ila sisi umma wa mtume muhammad swala na salaam ziwe juu yake tumesamehewa muda wa kuwa hatujatamka ni kitu kimepita tu katika fikra.
Kuhusu adhkaar hili jambo pana muongozo kutoka kwa mola wetu mtukufu allah tabaaraka wa ta'alaa hivyo nitakunukulia hapa chini maneno yake na uyaingize katika utekelezaji kwa kujengea msingi swali lako.
Anasema allah tabaaraka wa ta'alaa
"Na mtaje mola wako katika nafsi yako kwa unyenyekevu na khofu, na bila ya kupiga kelele kwa kauli {mtaje} asubuhi na jioni, wala usiwe miongoni wa walioghafilika."
7:205
Hivyo utakachofanya ni kuchezesha midomo kwa unyenyekevu kwa sauti ya kunong'ona pasi na kuinyanyua au kuificha sana kwani allah si kiziwi wala hayuko mbali bali yuko karibu mno na ni msikivu mwenye kujua.
Hivyo wanawachuoni wakagawanya daraja za adhkaar kwa moyo, ulimi na moyo pamoja na ulimi basi hii ya mwisho ndio namna bora zaidi pale utakapomtaja mola wako kwa sauti ya chini kwa ulimi wako kisha ukahudhurisha moyo kwa tafakuri na mazingatio.
Wallahu a'alam.
Hhhhhhhh saivi naelekea darsaSipo mchache Sana japo nakiri kuzembea kukaa kwenye majlis kwa sasa lkn alhamdullllah huwez kunikuta kwenye Uzi wa kula tunda kimasihara ha ha aaa
Natamani nije kupata mke kma nyie wanopenda diniSipo mchache Sana japo nakiri kuzembea kukaa kwenye majlis kwa sasa lkn alhamdullllah huwez kunikuta kwenye Uzi wa kula tunda kimasihara ha ha aaa
aamyn atuhifadhi sote mama, usijali tutazidi kusaidiana miongozo ya hapa na pale sote ni wahitajia mno.Allah akuhifadhi, msichoke tu maswali yangu kwan badi napambana nami kuipata elimu
Hahahaha mkuu, sio umequote vibaya kweli.Natamani nije kupata mke kma nyie wanopenda dini
Akupende zaidi Yule aliyekufanya unipende kwa Ajili yakeMa shaa allah , ni.ekupenda kwa ajili ya Allah
SubhanaLLAH Mimi na ndugu yangu Kazakh destroyer Ni wanaumeNatamani nije kupata mke kma nyie wanopenda dini
Hassan na husein ni watoto wa Ali bin abi twalibu na fatma bint rasul llah ,Othaman ameitwa dhu nurain nikutokana na kuwaowa bint wawili wa mtume kwa nyakati tofautiNurain Ni jina alilopewa Saidna Othman (radhiaLLAHU Anhu )kutokana na kupata watoto wawili ,,Hassan na Husein ndio akamuita Nuru mbili (Nurain) I stand to be corrected. Allah a'alam
Shukran Sana Ndugu Allah akuhifadhi ,,,Hassan na husein ni watoto wa Ali bin abi twalibu na fatma bint rasul llah ,Othaman ameitwa dhu nurain nikutokana na kuwaowa bint wawili wa mtume kwa nyakati tofauti
Nje ya mada ndugu naomba unikumbushe kisa Cha Ummu Salama (radhiaLLAHU Anhu) baada ya kufiwa na mumeo na jinsi alivyokuja kuolewa na mtume....@Nyoka ..mzeeHassan na husein ni watoto wa Ali bin abi twalibu na fatma bint rasul llah ,Othaman ameitwa dhu nurain nikutokana na kuwaowa bint wawili wa mtume kwa nyakati tofauti
SubhanaLLAH Mimi na ndugu yangu Kazakh destroyer Ni wanaume
Hata Mimi Nilifikir ni madamKaaa mi nsmajua we mwanamke🤣
Yan hadi nshamwambia nampenda sema tu ni kwa ajili ya allah la sivyo ningetengua kauli japo ningejua ni mwanaume nisingesemaHata Mimi Nilifikir ni madam
Ila hatujui Tu hizi avatar zinasaidia Sana kutambuana jinsia lkn nje ya hapo I'd nyingine ni mtihani sana
Usijali madam, kubwa Nia yako ilijulikana kwahiyo hakijaharibika kituYan hadi nshamwambia nampenda sema tu ni kwa ajili ya allah la sivyo ningetengua kauli japo ningejua ni mwanaume nisingesema