Ubaya wa kuwa na dhana mbaya kwa Binadamu wenzako

Allaha akuhifadhi kaka, wallah nafaidika na elimu
 
Allah akuhifadhi, msichoke tu maswali yangu kwan badi napambana nami kuipata elimu
 
Nurain Ni jina alilopewa Saidna Othman (radhiaLLAHU Anhu )kutokana na kupata watoto wawili ,,Hassan na Husein ndio akamuita Nuru mbili (Nurain) I stand to be corrected. Allah a'alam
Hassan na husein ni watoto wa Ali bin abi twalibu na fatma bint rasul llah ,Othaman ameitwa dhu nurain nikutokana na kuwaowa bint wawili wa mtume kwa nyakati tofauti
 
Hassan na husein ni watoto wa Ali bin abi twalibu na fatma bint rasul llah ,Othaman ameitwa dhu nurain nikutokana na kuwaowa bint wawili wa mtume kwa nyakati tofauti
Nje ya mada ndugu naomba unikumbushe kisa Cha Ummu Salama (radhiaLLAHU Anhu) baada ya kufiwa na mumeo na jinsi alivyokuja kuolewa na mtume....@Nyoka ..mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…