Ubaya wa kuwa na dhana mbaya kwa Binadamu wenzako

Ubaya wa kuwa na dhana mbaya kwa Binadamu wenzako

Vizuri umekiri mapepo ni waislamu
Bali wapo wakristo na wapagani pia.

"Na hakika kuna katika sisi waislamu, na kuna kati yetu wanaoacha haki, basi yule aliyejisalimisha hao ndio waliotafuta uongofu."

72:14
 
Hakika watu wote tungefuata kanuni za Mungu dunia isingekua hapa ilipo maana hata kwenye ukristo Mungu kwenye amri zake akataa tusiseme uongo na tusishuhudie uongo lakini sisi binadamu sasa ni wazushi wa mambo ya uongo hatari, Eeeh Mungu atusamehe kwa ujinga huu.
 
Hakika watu wote tungefuata kanuni za Mungu dunia isingekua hapa ilipo maana hata kwenye ukristo Mungu kwenye amri zake akataa tusiseme uongo na tusishuhudie uongo lakini sisi binadamu sasa ni wazushi wa mambo ya uongo hatari, Eeeh Mungu atusamehe kwa ujinga huu.
Ni uzushi gani umeuona kwa hao watu Mis nao, ?
Uweke hapa tuusome.
 
Ni uzushi gani umeuona kwa hao watu Mis nao, ?
Uweke hapa tuusome.
Bila shaka hujanielewa mleta uzi katoa mfano vile watu walimzushia huyo mwanamama,na akasema kwenye uislam kusema jambo ambalo Huna uhakika nalo ni vibaya, nami nikajaribu kueleza hata kwenye ukristo tunafundishwa tusiseme uongo wala kushuhudia uongo hivyo watu tumekengeuka tumeacha kufanya maagizo ya as Mungu na binadamu tumekuwa wazushi wa maneno.

Mtu akisikia jambo atalikomalia kana kwamba Ana uhakika nalo, ndo maana akatolea mfano wa jiwe ni jinsi gani watu walivyozusha kua jamaa anapoteza watu kwenye viroba lakini ukiuliza wanaozungumza bila shaka hata wao hawana uhakika ila ni ule uzushi wa watu tu.
 
Bila shaka hujanielewa mleta uzi katoa mfano vile watu walimzushia huyo mwanamama,na akasema kwenye uislam kusema jambo ambalo Huna uhakika nalo ni vibaya, nami nikajaribu kueleza hata kwenye ukristo tunafundishwa tusiseme uongo wala kushuhudia uongo hivyo watu tumekengeuka tumeacha kufanya maagizo ya as Mungu na binadamu tumekuwa wazushi wa maneno.

Mtu akisikia jambo atalikomalia kana kwamba Ana uhakika nalo, ndo maana akatolea mfano wa jiwe ni jinsi gani watu walivyozusha kua jamaa anapoteza watu kwenye viroba lakini ukiuliza wanaozungumza bila shaka hata wao hawana uhakika ila ni ule uzushi wa watu tu.
Hivi mtu maarufu kama Aisha, mke bora wa Nabii.
Unaweza kuamini kuwa alisahauliwa kwenye msafara ?

Yaani dereva wake anaondoa gari la farasi wakati Malkia hayupo.

Hadi mtume aingie shaka

Inaingia akilini kweli ?

Ukisikia habari kwenye huo upande uwe mwangalifu sana.

Kuna fixtures za kutosha.
 
Hivi mtu maarufu kama Aisha, mke bora wa Nabii.
Unaweza kuamini kuwa alisahauliwa kwenye msafara ?

Yaani dereva wake anaondoa gari la farasi wakati Malkia hayupo.

Hadi mtume aingie shaka

Inaingia akilini kweli ?

Ukisikia habari kwenye huo upande uwe mwangalifu sana.

Kuna fixtures za kutosha.
Siko hapa kubishana mkuu, hii story ya Aisha ndo mara ya kwanza kusoma hapa mimi ni mkristo why nibishe then nipate nini? Nafikiri mimi nimejifunza jambo hapa liwe la uongo ama ukweli tunarudi pale pale tusizushe vitu tusivyokua na uhakika navyo mwisho.
 
Siko hapa kubishana mkuu, hii story ya Aisha ndo mara ya kwanza kusoma hapa mimi ni mkristo why nibishe then nipate nini? Nafikiri mimi nimejifunza jambo hapa liwe la uongo ama ukweli tunarudi pale pale tusizushe vitu tusivyokua na uhakika navyo mwisho.
Sawa.
Ila kumbuka kila binadamu ana madhaifu yake.
Sasa mtu akiona mtu mwingine hana udhaifu basi ni hiari yake.
 
Siko hapa kubishana mkuu, hii story ya Aisha ndo mara ya kwanza kusoma hapa mimi ni mkristo why nibishe then nipate nini? Nafikiri mimi nimejifunza jambo hapa liwe la uongo ama ukweli tunarudi pale pale tusizushe vitu tusivyokua na uhakika navyo mwisho.
Ngoja nikupe hints kidogo , muislamu akikueleza jambo anatumia uongo mtakatifu unaitwa takiya na wameruhusiwa na mungu wao Allah

Kisa Cha katoto Aisha ni kweli alipigwa machine na kilimuumiza Sana Muhammad lakini kwa sababu alikiwa anapenda watoto yani pedophile aliamua kutunga Sheria kwamba mtu mmoja hawezi kuwa Shahid kwenye ugoni ili aweze kumuokoa Aisha na scandal ya uzinzi maana ilikuwa aibu kubwa

Muhammad akasema mtu mmoja hawezi kuwa Shahid kwenye ugoni mpaka wawe wa 4 na wote washuhudie mkuyati ukipenya kama Kuna hata mmoja hajaona mkuyati ukipenya Kati ya wa 4 huo sio ugoni

Soma maneno ya Muhammad anasema kama unataka kumshika muombe mke wako na mgoni waendelee wewe ukatafuta watu wa 4
  • Hadith That Sa'd b. 'Ubadah said to the Messenger of Allah (ﷺ) : What do you think if I find with my wife a man ; should I give him some time until I bring four witnesses ?" He said: "Yes". Sunan Abi Dawud 4533 ,
Che mittoga
 
Siko hapa kubishana mkuu, hii story ya Aisha ndo mara ya kwanza kusoma hapa mimi ni mkristo why nibishe then nipate nini? Nafikiri mimi nimejifunza jambo hapa liwe la uongo ama ukweli tunarudi pale pale tusizushe vitu tusivyokua na uhakika navyo mwisho.
Binafsi nimependa jinsi ulivyo jipambanua.
 
Siko hapa kubishana mkuu, hii story ya Aisha ndo mara ya kwanza kusoma hapa mimi ni mkristo why nibishe then nipate nini? Nafikiri mimi nimejifunza jambo hapa liwe la uongo ama ukweli tunarudi pale pale tusizushe vitu tusivyokua na uhakika navyo mwisho.
Dah umempiga za uso uyo chalii apo
Nampa pole kwa niaba ya wengine
 
Dah umempiga za uso uyo chalii apo
Nampa pole kwa niaba ya wengine
Kampiga nani tena.
Huyo hajui chochote juu ya Uislamu.
Hajui Aya wala hadithi yoyote.
Hata Qurani yenyewe hajawahi kuisoma kama sio kuishika.

Mwambie asome Sura moja kwa ya Qurani kwa kiarabu na kusema maana yake kama ataweza.

Anachukulia mambo kuijumla jumla tu.
 
Kaampiga nani tena.
Huyo hajui chochote juu ya Uislamu.
Hajui Aya wala hadithi yoyote.
Hata Qurani yenyewe hajawahi kuisoma kama sio kuishika.

Mwambie asome Sura moja kwa ya Qurani kwa kiarabu na kusema maana yake kama ataweza.

Anachukulia mambo kuijumla jumla tu.
Punguza hasira kijana

Ww huo Uislamu hauujui usimseme mwenzako tu

Sitaki ubishani
 
Back
Top Bottom