baby zu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,816
- 4,770
Na wala hatujutii kusilimuHuyo jamaa ana chuki Sana na uislamu ,,,amemeza matango yenye sumu Sana Kwhy muache atukane ila wenzake wanaiona haki na kusilimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wala hatujutii kusilimuHuyo jamaa ana chuki Sana na uislamu ,,,amemeza matango yenye sumu Sana Kwhy muache atukane ila wenzake wanaiona haki na kusilimu
Kwani ulikuwa upande wa pili ukhty?Na wala hatujutii kusilimu
Ulikuwepo wkt anaumba dunia na ukajua mipango yake?Mpaka hapo inaonekana ni hekaya tuu na utashi wa Muhamad... Mungu anayejua yote hasubiri matukio kutoa muongozo
NaamKwani ulikuwa upande wa pili ukhty?
Katoto ka miaka 9 ndio ka mama ka waislamu 😂😂😂😂😂😂Kwani unamchukuliaje aaisha radhwiyallahu anhaa? unadhani ni wema sepetu huyo sio? huyo ni mama wa waumini na mkweli mno binti wa mkweli mno, mwanachuoni mkubwa wa kike na mwenye elimu zaidi kuliko wanawake wote wa umma huu bila kuwavua wengine.
Muhammad alichofanya alicopy biblia akishirikiana na warak na wakristo wengine na verse alizotunga yeye ni za kujitetea na zingine za mkuyati wakeUlikuwepo wkt anaumba dunia na ukajua mipango yake?
Mashaallah hakika Allah amekufanyia wepesi SanaNaam
Aamin alhmdulillah hakika hakuna neema ya Allah ya kuikadhibishaMashaallah hakika Allah amekufanyia wepesi Sana
Hongera Sana Kwa kuiona nuru ukhty
Ukiangalia hapo jamaa amefanya google translate kutoka kwenye kiinglish kuja kwenye kiswahili, eti usiku wa ngono hahaha.Kuna uzi fulani alikuwa akimchota kafiri mwenzie kuwa huwa anatafsiri hizi nusus mwenyewe kutoka kwenye kiarabu.
Kumbe jamaa hata kiarabu hajui.
Kwamba aligota kwenye miaka 9 tu mpaka leo ana miaka 9 sio?.Katoto ka miaka 9 ndio ka mama ka waislamu 😂😂😂😂😂😂
Hako katoto kalikoma kuwa mke baada ya Muhammad kulishwa sumu akafa , Muhammad kavuta katoto ndio kana balehe kana miaka 18Kwamba aligota kwenye miaka 9 tu mpaka leo ana miaka 9 sio?.
Jikiteni kwenye maandiko yenu , je mmetuandikia uongo au kweli ?Ukiangalia hapo jamaa amefanya google translate kutoka kwenye kiinglish kuja kwenye kiswahili, eti usiku wa ngono hahaha.
Mungu wa wakristo ni Roho na sio mwili, Mungu hazaliwi ,hapigwi na wala hafiMungu wa kweli ni mmoja tu hakuna Mungu mwingine
Ivi Mungu anazaliwa?anapigwa?anakufa? Ivi kweli uyi ni Mungu au ni stori tu
Kma ww ni Msomi tafakari sanaa kuhusu hili jambo
Nakuignore.Hako katoto kalikoma kuwa mke baada ya Muhammad kulishwa sumu akafa , Muhammad kavuta katoto ndio kana balehe kana miaka 18
Na hakajazaa na muhammad
Sio suluhisho , bisha hoja kwa hoja , wengi wenu waislamu mkiwekewa ukweli wa maandiko yenu mnayofichwa mnakuwa na makasirikoNakuignore.
Sifahamu watu wanajiridhishaje kukielewa hicho kitabu.Mungu wa wakristo ni Roho na sio mwili, Mungu hazaliwi ,hapigwi na wala hafi
Shida inakuja muislamu unapoleta nature ya mungu wako Allah ambae ni physical creature kuwa kama Jehovah ambae ni spirit
Sifahamu watu wanajiridhishaje kukielewa hicho kitabu.
Nimekisoma sana na kuona kama kinajikita kwenye kuwazuga watu tu.
Kuna maneno hata hayajulikani ni ya lugha gani na yana maana gani,
na hata qurani ikitafsiriwa kwa lugha yoyote ile, haya andikwi kwa hiyo lugha, yanabaki hivyo hivyo.
mifano michache
2:1 Alif Lam Mim
3:1 Aliif Laam Miim
7:1 ALIF LAM MYM 'SAAD
12:1 Alif Lam Raa
19:1 Kaf Ha Ya S'aad
26:1 T'aa Siin Miim
27:1 T'aa Sin
28:1 T'A SIN MIM
40:1 H'a, Mim
Wengi wanasema haya maneno yameandikwa kwa lugha za Kijini, na ni Mashehe pekee waliosoma lugha za Kijini ndio wanaelewa maana yake.
Wengine wamefichwa.
Neema ya Kristo iwafikie, ili waijue kweli nayo kweli itawaweka huru.
Ni Kwanini Koran ina Aya za mapepo?
ziko wapi?.Ni Kwanini Koran ina Aya za mapepo?
Surah ya mapepo au majiniziko wapi?.