Ubaya wa kuwa na dhana mbaya kwa Binadamu wenzako

Ubaya wa kuwa na dhana mbaya kwa Binadamu wenzako

Unajisikiaje unapopita njiani ukakutana na banati zimefunika mwili wote... Hakika Ni raha tupu japo humjui...huku Pm ningekutumia picha za Wema sepetu akiwa kwenye Niqab ,,ningekula vihela vyako mpk basi
Hahah eti banati.
 
Unajisikiaje unapopita njiani ukakutana na banati zimefunika mwili wote... Hakika Ni raha tupu japo humjui...huku Pm ningekutumia picha za Wema sepetu akiwa kwenye Niqab ,,ningekula vihela vyako mpk basi
Dah ttzo hatujuani ndo mna unasema ivo mm pesa yangu ni yangu mkuu
Kuitoa saivi labda niwape wadogo zangu lkn sio kuhonga
 
Muhammad ataka kumuacha mke
alitaka kumuacha mke kisa kawa mnene mpaka mke kaamua kutoa zamu yake ya ngono kwa Aisha katoto cha 9yrs

Mmoja wa wake wengi wa Muhammad (alikuwa na angalau wake tisa wakati mmoja, ingawa Qur'an 4: 3 inasema Waislamu ni wake wanne mwisho) alikuwa mwanamke aitwaye Sauda bint Zama'ah. Kama mzee Sauda, aliwahi kuwa mnene kupindukia sana, na Muhammad aliamua kumsaliti. Akiogopa kuwa ameachwa katika uzee wake, Sauda alipanga mpango. Alijua kwamba Aisha alikuwa mke wa Muhammad, na kwamba Muhammad angependa kutumia muda zaidi na Aisha. Kwa hivyo Sauda alimwambia Muhammad kuwa, kama angeweza kumuweka kama mke wake na kuto kumuacha, atampa usiku wa ngono kwa Aisha. Hivyo, Muhammad angeweza kutumia mara mbili kwa muda mrefu na Aisha. Muhammad alikuwa na furaha na utaratibu, na pia Allah, ambaye alifunua Surah 4, mstari wa 128:
 
Muhammad ataka kumuacha mke
alitaka kumuacha mke kisa kawa mnene mpaka mke kaamua kutoa zamu yake ya ngono kwa Aisha katoto cha 9yrs

Mmoja wa wake wengi wa Muhammad (alikuwa na angalau wake tisa wakati mmoja, ingawa Qur'an 4: 3 inasema Waislamu ni wake wanne mwisho) alikuwa mwanamke aitwaye Sauda bint Zama'ah. Kama mzee Sauda, aliwahi kuwa mnene kupindukia sana, na Muhammad aliamua kumsaliti. Akiogopa kuwa ameachwa katika uzee wake, Sauda alipanga mpango. Alijua kwamba Aisha alikuwa mke wa Muhammad, na kwamba Muhammad angependa kutumia muda zaidi na Aisha. Kwa hivyo Sauda alimwambia Muhammad kuwa, kama angeweza kumuweka kama mke wake na kuto kumuacha, atampa usiku wa ngono kwa Aisha. Hivyo, Muhammad angeweza kutumia mara mbili kwa muda mrefu na Aisha. Muhammad alikuwa na furaha na utaratibu, na pia Allah, ambaye alifunua Surah 4, mstari wa 128:
Huyu mtu naomba mumpuuze kichwa yake haipo vizur
 
Muhammad ataka kumuacha mke
alitaka kumuacha mke kisa kawa mnene mpaka mke kaamua kutoa zamu yake ya ngono kwa Aisha katoto cha 9yrs

Mmoja wa wake wengi wa Muhammad (alikuwa na angalau wake tisa wakati mmoja, ingawa Qur'an 4: 3 inasema Waislamu ni wake wanne mwisho) alikuwa mwanamke aitwaye Sauda bint Zama'ah. Kama mzee Sauda, aliwahi kuwa mnene kupindukia sana, na Muhammad aliamua kumsaliti. Akiogopa kuwa ameachwa katika uzee wake, Sauda alipanga mpango. Alijua kwamba Aisha alikuwa mke wa Muhammad, na kwamba Muhammad angependa kutumia muda zaidi na Aisha. Kwa hivyo Sauda alimwambia Muhammad kuwa, kama angeweza kumuweka kama mke wake na kuto kumuacha, atampa usiku wa ngono kwa Aisha. Hivyo, Muhammad angeweza kutumia mara mbili kwa muda mrefu na Aisha. Muhammad alikuwa na furaha na utaratibu, na pia Allah, ambaye alifunua Surah 4, mstari wa 128:
Hawa watu mtoa mada mngekuwa mnawaignore ili wasione hizi mada wakaleta haya matusi yao.
 
wewe umejuaje kama kuna uzi wenye hilo jina kama sio kupita kusoma mabaharia wanavyotiririka kule

Anyway mimi sio mtukufu na nakili ni mtenda madhambi inafika hatua nakili kabisa nimepotea
Hii ndio dhana mbaya ambayo inazungumziwa katika uzi, tosheka na alichokisema, mdhali huna ushahidi na unachokisema, hivyo usipekuepekue mambo.

Dhami kila mtu anafanya dhambi, lakini kudhihirisha kuwa unafanya madhambi basi hii ni dhambi kubwa zaidi.

Na mtu anatakiwa ajutie na kutubia kwa madhambi aliyoyafanya na sio kuona ni kawaida au kujifakharisha.
 
wewe umejuaje kama kuna uzi wenye hilo jina kama sio kupita kusoma mabaharia wanavyotiririka kule

Anyway mimi sio mtukufu na nakili ni mtenda madhambi inafika hatua nakili kabisa nimepotea
Tumekubaliana hamna kudhaniana kwenye ubaya... Halafu haifai kudhihirisha uovu ,,na ukitenda uovu Ni juu Yako kutubia kwa Allah ...lililosahihi Ni juu yetu Mimi na wewe kutubia makosa yetu... Lkn haifai kutangaza uovu wetu kwa namna yoyote ile....
 
Back
Top Bottom