Ubaya wa kuwa na dhana mbaya kwa Binadamu wenzako

Ubaya wa kuwa na dhana mbaya kwa Binadamu wenzako

Dhami kila mtu anafanya dhambi, lakini kudhihirisha kuwa unafanya madhambi basi hii ni dhambi kubwa zaidi.

Na mtu anatakiwa ajutie na kutubia kwa madhambi aliyoyafanya na sio kuona ni kawaida au kujifakha
Msonjo upo sahihi kabisa ,,,wengi hatuelewi Jambo hili,,kudhihirisha uovu Ni Uovu mkubwa ..Ni kawaida kumkuta kijana anawasimulia wenzake uzinzi aliofanya au anasifia utamu wa pombe aliyokunywa....haifai kabisa📌📌
 
Msonjo upo sahihi kabisa ,,,wengi hatuelewi Jambo hili,,kudhihirisha uovu Ni Uovu mkubwa ..Ni kawaida kumkuta kijana anawasimulia wenzake uzinzi aliofanya au anasifia utamu wa pombe aliyokunywa....haifai kabisa📌📌
Basi watu hupenda kujifakharisha, aah mimi enzi zangu hayo tumefanya sana hakuna jipya, muda huo ni muislamu safi na kanzu yake anavua stara aliyowekewa na allah kisa masifa.
 
Kuna kitu kinaitwa circumstantial evidence
 
Kuna kitu kinaitwa circumstantial evidence
 
Kumbe Mokiti humu ndio kunakujaza matangopori kichwani makala za kina shamoun, halafu unakuja kutaja kuwa ni uislamu.
Screenshot_20221215-110554_Samsung Internet.jpg
 
Hii ndio dhana mbaya ambayo inazungumziwa katika uzi, tosheka na alichokisema, mdhali huna ushahidi na unachokisema, hivyo usipekuepekue mambo.

Dhami kila mtu anafanya dhambi, lakini kudhihirisha kuwa unafanya madhambi basi hii ni dhambi kubwa zaidi.

Na mtu anatakiwa ajutie na kutubia kwa madhambi aliyoyafanya na sio kuona ni kawaida au kujifakharisha.
Umesema kweli mkuu

Asante kwa maneno mazuri
 
Kumbe Mokiti humu ndio kunakujaza matangopori kichwani makala za kina shamoun, halafu unakuja kutaja kuwa ni uislamu.
View attachment 2447511
Wewe ulitakiwa ukiri waislamu mnaandika uongo , maana kila andiko lenu likiwekwa na mtu ambae ni mkristo mnasema ni uongo

Kuna jamaa mmoja nikiweka verse ya Koran nikamwambia ni Hadith , akasema unaokota uongo nilivyo mwambia ni Koran aliogopa kidogo ajinyee
 
Quran ilikuwa inashushwa kutokana na matukio mbali mbali Kwa muda WA miaka 23, na ukiwa na akili ndogo utachukulia Tu ilishushwa Kwa AJILI ya Aisha.

Lakini dhumuni kubwa ni kukemea uzushi ambao unazushwa na wanadamu katika Maisha Yao ya kila siku,kwahiyo Kwa Aisha (r.a) ilikuwa ndio kilele cha fundisho Kwa wanadamu kuwa hakika uzushi na dhana mbaya ni miongoni mwa mambo ambayo hayampendezi Mungu.

Kuna tukio la Zayd bin Harith ambapo yeye moja Kwa moja alitajwa katika Qur'an kwa Jina na Allah,kwahiyo Hilo sio jambo jipya wala geni


Shukrani.
Mpaka hapo inaonekana ni hekaya tuu na utashi wa Muhamad... Mungu anayejua yote hasubiri matukio kutoa muongozo
 
Kwani unamchukuliaje aaisha radhwiyallahu anhaa? unadhani ni wema sepetu huyo sio? huyo ni mama wa waumini na mkweli mno binti wa mkweli mno, mwanachuoni mkubwa wa kike na mwenye elimu zaidi kuliko wanawake wote wa umma huu bila kuwavua wengine.
Watu wengi humu duniani wapo kama yeye acha nongwa
 
Back
Top Bottom