mweusi asili
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 2,035
- 3,358
Ulete tuusome wenyewe. Hatuhitaji mtusomew
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulete tuusome wenyewe. Hatuhitaji mtusomew
Kama hiyo ndiyo shida, ni vyema ukautafisiri yote kwa kiswahili kwa maana ileile iliyo andikwa kwa ki malkia harafu utuwekee hapa sisi Ambao hatukufika huko kemburiji univasiti.!!!!ELimu ,Elimu ,Elimu ni kitu muhimu sana,Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya kiingereza kwa watu wetu,Lugha ya kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza hivyo tafsiri toka kiingereza kwenda kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo
Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri kiingereza kwenye lugha zao mama halafu baadae kutafasiri kwenda kiswahili
Article 23 kati ya mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF
Article 23 inazungumzia Termination and Duration,Hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba ,Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili ndio kilichoandikwa
Artcle 20 inazungumzia dispute settlement,Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate sheria za kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa kiingereza yafanyike Johanesburg Afrika ya kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi
Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais,Tatizo sio mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya kiingereza
.
Aisee Watanzania aliyeturogaa alituwezaaa,,sijajua kama umepewaa sh ngapii hadii kuandikaa utumbo wako hapaa,watu kama nyiee ni wakukusanyaa na kuwatupaa baharinii mnaojifanyaa kila kitu ni kusifiaa tuu nyiee ni watu wabayaa saana zaidii ya nyokaa,,watu mnaojalii matumbo yenu tyuu shame on you,,,,ELimu ,Elimu ,Elimu ni kitu muhimu sana,Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya kiingereza kwa watu wetu,Lugha ya kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza hivyo tafsiri toka kiingereza kwenda kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo
Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri kiingereza kwenye lugha zao mama halafu baadae kutafasiri kwenda kiswahili
Article 23 kati ya mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF
Article 23 inazungumzia Termination and Duration,Hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba ,Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili ndio kilichoandikwa
Artcle 20 inazungumzia dispute settlement,Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate sheria za kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa kiingereza yafanyike Johanesburg Afrika ya kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi
Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais,Tatizo sio mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya kiingereza
.
tatizo si lugha kama unafikiri hivyo basi wewe ndo unatatizo.huwezi kugeneralize kwamba watz hawajui lugha na ati kiswahili hakijitoshelezi hiyo ni fikra finyu.hizo article ulizozitaja tayari zina matatizo.kwa nn setlement ifanyike nje ya nchi na siyo ndani ya nchi!huko nje ndo tunakopigiwa hiyo mikataba.na kwa nini serikali inaulazimisha huo mkataba?kama kuna tatizo la uendeshaji kwani hawaezi kufanya maboresho mengine badala ya kubinafsisha?historia inaonyesha kwa tz ubinafsishaji unapofanyika huwa hautuachi salama na mifano ipo,TICTS nk.haya makampuni ya waarabu huwa hayalipi wananchi wetu ujira mzuri na hilo liko wazi kabisa.kama wananchi walalamika huyo mradi uachwe kwa sababu bandari ni mali ya watz.kagame aliishatukejeli kuwa angepewa yeye hiyo bandari hata kwa siku tatu tungeona maajabu.aliishatujua watz ni wapigaji tu na hatuna uchungu na hii nchi.ELimu ,Elimu ,Elimu ni kitu muhimu sana,Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya kiingereza kwa watu wetu,Lugha ya kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza hivyo tafsiri toka kiingereza kwenda kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo
Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri kiingereza kwenye lugha zao mama halafu baadae kutafasiri kwenda kiswahili
Article 23 kati ya mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF
Article 23 inazungumzia Termination and Duration,Hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba ,Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili ndio kilichoandikwa
Artcle 20 inazungumzia dispute settlement,Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate sheria za kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa kiingereza yafanyike Johanesburg Afrika ya kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi
Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais,Tatizo sio mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya kiingereza
.
Ww ndio hewa kabisa kiingereza chenyewe hukijuiELimu ,Elimu ,Elimu ni kitu muhimu sana,Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya kiingereza kwa watu wetu,Lugha ya kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza hivyo tafsiri toka kiingereza kwenda kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo
Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri kiingereza kwenye lugha zao mama halafu baadae kutafasiri kwenda kiswahili
Article 23 kati ya mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF
Article 23 inazungumzia Termination and Duration,Hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba ,Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili ndio kilichoandikwa
Artcle 20 inazungumzia dispute settlement,Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate sheria za kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa kiingereza yafanyike Johanesburg Afrika ya kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi
Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais,Tatizo sio mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya kiingereza
.
Hata hawa pia?ELimu ,Elimu ,Elimu ni kitu muhimu sana,Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya kiingereza kwa watu wetu,Lugha ya kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza hivyo tafsiri toka kiingereza kwenda kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo
Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri kiingereza kwenye lugha zao mama halafu baadae kutafasiri kwenda kiswahili
Article 23 kati ya mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF
Article 23 inazungumzia Termination and Duration,Hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba ,Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili ndio kilichoandikwa
Artcle 20 inazungumzia dispute settlement,Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate sheria za kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa kiingereza yafanyike Johanesburg Afrika ya kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi
Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais,Tatizo sio mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya kiingereza
.
Hakuna mkataba usioweza kuvunjwa, ila sio kila contract breach ni ya kuvunja mkataba.Kuvunjika kwa mkataba maana yake ni matokeo ya kutofautina hivyo hakuna makubaliano. Kama hukuna makubaliano inawezekana vipi tena makubaliano ya pande mbili ndio yauvunje huu mkataba???
Ingetakiwa iwe hivi mkataba utavunjika kwa sababu ya kutokubaliana kwa pande mbili. Baada ya hapo zianishwe sababu za kushindwa kukubaliana kama vile mkandarasi kushindwa kufikia ufanisi wa utendaji nk nk nk.
Mkataba unakuwa je na kipengele eti mali za mkandarasi hazitataifishwa, Mambo ya ajabu sana haya kama kunafidia anatakiwa alipe na akashindwa unafanya nini ukikatazwa kutaifisha mali??? Kama ni kweli kuna hivi vipengele ndani ya huu mkataaba basi walio uandaa walikuwa ni watu wasiojali maslahi mapana ya nchi/Watanganyika.
Walikuwa na mitazamo na zile akili za kudharau, wakisema hivi vitu vya machogo haituhusu kutilia maanani na umakini kihivyo. Tuna uchungu gani hata hivyo zaidi ya maslahi yetu binafsi.
Sawa hatujui kiingereza, ila hayo makubaliano ya pande mbili, je pande mmoja akiyagomea itakuwaje!?ELimu ,Elimu ,Elimu ni kitu muhimu sana,Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya kiingereza kwa watu wetu,Lugha ya kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza hivyo tafsiri toka kiingereza kwenda kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo
Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri kiingereza kwenye lugha zao mama halafu baadae kutafasiri kwenda kiswahili
Article 23 kati ya mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF
Article 23 inazungumzia Termination and Duration,Hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba ,Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili ndio kilichoandikwa
Artcle 20 inazungumzia dispute settlement,Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate sheria za kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa kiingereza yafanyike Johanesburg Afrika ya kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi
Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais,Tatizo sio mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya kiingereza
.
We Jamaa Kwa hiyo wale waliochambua na kuelezea mapungufu hawana maana?ELimu ,Elimu ,Elimu ni kitu muhimu sana,Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya kiingereza kwa watu wetu,Lugha ya kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza hivyo tafsiri toka kiingereza kwenda kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo
Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri kiingereza kwenye lugha zao mama halafu baadae kutafasiri kwenda kiswahili
Article 23 kati ya mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF
Article 23 inazungumzia Termination and Duration,Hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba ,Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili ndio kilichoandikwa
Artcle 20 inazungumzia dispute settlement,Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate sheria za kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa kiingereza yafanyike Johanesburg Afrika ya kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi
Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais,Tatizo sio mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya kiingereza
.