Ubinafsishwaji Bandari tatizo la Watanzania ni lugha ya Kingereza, Mkataba upo sawa

Ubinafsishwaji Bandari tatizo la Watanzania ni lugha ya Kingereza, Mkataba upo sawa

ELimu ,Elimu ,Elimu ni kitu muhimu sana,Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya kiingereza kwa watu wetu,Lugha ya kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza hivyo tafsiri toka kiingereza kwenda kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo


Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri kiingereza kwenye lugha zao mama halafu baadae kutafasiri kwenda kiswahili

Article 23 kati ya mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF

Article 23 inazungumzia Termination and Duration,Hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba ,Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili ndio kilichoandikwa

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement,Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate sheria za kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa kiingereza yafanyike Johanesburg Afrika ya kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais,Tatizo sio mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya kiingereza
.
Kwamba hapa ni uongo?
 
ELimu ,Elimu ,Elimu ni kitu muhimu sana,Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya kiingereza kwa watu wetu,Lugha ya kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza hivyo tafsiri toka kiingereza kwenda kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo


Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri kiingereza kwenye lugha zao mama halafu baadae kutafasiri kwenda kiswahili

Article 23 kati ya mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF

Article 23 inazungumzia Termination and Duration,Hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba ,Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili ndio kilichoandikwa

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement,Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate sheria za kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa kiingereza yafanyike Johanesburg Afrika ya kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais,Tatizo sio mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya kiingereza
.
Kwa wewe uliyeuelewa , mkataba unaisha lini?
 
ELimu ,Elimu ,Elimu ni kitu muhimu sana,Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya kiingereza kwa watu wetu,Lugha ya kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza hivyo tafsiri toka kiingereza kwenda kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo


Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri kiingereza kwenye lugha zao mama halafu baadae kutafasiri kwenda kiswahili

Article 23 kati ya mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF

Article 23 inazungumzia Termination and Duration,Hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba ,Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili ndio kilichoandikwa

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement,Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate sheria za kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa kiingereza yafanyike Johanesburg Afrika ya kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais,Tatizo sio mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya kiingereza
.
So kwa Wakati mmoja wa Tanzania wote wameshindwa elewa kingereza??
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Mbwa MKUBWA wewe
 
ELimu ,Elimu ,Elimu ni kitu muhimu sana,Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya kiingereza kwa watu wetu,Lugha ya kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza hivyo tafsiri toka kiingereza kwenda kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo


Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri kiingereza kwenye lugha zao mama halafu baadae kutafasiri kwenda kiswahili

Article 23 kati ya mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF

Article 23 inazungumzia Termination and Duration,Hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba ,Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili ndio kilichoandikwa

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement,Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate sheria za kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa kiingereza yafanyike Johanesburg Afrika ya kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais,Tatizo sio mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya kiingereza
.
Mpaka umeweza kuandika hapa ni kwamba huo mkataba unao. Utupie hapa na sisi tuusome ili tujiridhishe na unachokisema
 
Hakuna ubaya kuwapa wawekezaji wa nje. Sisi tumeshindwa tunapuyanga; wizi, huduma mbovu, na hujma ndiyo tunaweza vema pale bandarini. Kwa hili nasimama na rais.
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Lione kwanza linatetea ukoloni haya ndo masaliti namba Moja,kabinafsishe familia yako
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
kwamba lugha ya kingereza unaijua wewe na mamako pekeenu, ungejua kuwa kingereza sisi wengine ni kama naongea kisukuma au kinyaturu hata usinge sema huo ujinga wako.
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Mkuu hebu twambie ambapo unaona watanzania hawajaelewa lugha na wewe umeelewa! Sasa ni kipengele hiki tuu?
 
swali ninalojiuliza, kwahiyo tukiwapa waarabu port ya dsm, hatutakiwi kujenga tena bandari ya bagamoyo? kwani bandari ya dsm ni kubwa vya kutosha? au hao jamaa wamekuja kutuzuia sisi kujenga mradi wa bagamoyo ambao ungepunguza sana mizigo inayopitia dubai? nimemwelewa sana Yeriko Nyerere kwenye andiko lake.
 
Kuna siku nusu ya Tanzania watakaa chini na kuanza kukumbuka maneno ya yule mzee wa chato teyari yule dada Alie kuwa akimpinga na kumtukana Leo kashatoa respect kuhusu swala la bandari.
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Duration inasema ni WA miaka MINGAPI msomi?
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Wewe ni jínga kabisa,hapa ndio umeandika nini?, pathetic,wewe endelea kupigia debe ulaji wako
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Kwamba mkataba unavunjwa kwa makubaliano ya pande mbili!!!? Hivi wewe una akili?

Upande mmoja (DPW) usipokubali Mkataba utaweza kuvunjwa?

We mzanzibar pori nenda kale urojo huko; hicho ndio mnaweza
 
Back
Top Bottom