Ubinafsishwaji Bandari tatizo la Watanzania ni lugha ya Kingereza, Mkataba upo sawa

Ubinafsishwaji Bandari tatizo la Watanzania ni lugha ya Kingereza, Mkataba upo sawa

Kuna watu maisha yao ni kiingerea; wanakula kiingerea, wanakunywa kiingera, wanvuta hewa kiingerea halafu uwaone kuwa wote hawajui maana ya mktaba huo? Tanzania imeshakumbwa na mikataba hii ya kijingwa kwa muda mrefu na ikatutia matatizoni sana, ndiyo maan watu wenye akailia wanaiweka wazi kusudi huko mbeleni tusijealumiana tena. Majuzi tumeambiwa serikali imeripa pesa nyingi sana kukomboa ndege yake ambayo ilishikiliwa kwa sababu mktaba mmoja mbovu ambao haukuwa na tija kwa nchi ulivunjwa.

Mwekzaji hakataliwi bali mkataba ndio una matatizo. Kama serikali haina wansheria wa kuandika mktaba mzurri kwa niaba ya serikali wao ni ku-intial mikataba inayoandikwa kutoka nje basi wawa husishe waonpinga mkataba huo katioka kuuandika upya. Inawezekana kuna watu wameshatafuna fungu na wanaona ugumu wa kulirudisha iwapo mkataba utabadilishwa!
Kipengele gani unaona kina matatizo

Hakuna sehemu wamesema mkataba hauwezi kuuvunja?

Hakuna sehemu wamesema mkataba ni wa milele?

Tatizo lipo wapi?

Article 23 na Artcle 20 zipo very clear

Hao wanaopiga kelele hata wakati wa JPM walipiga kelele kuhusu sheria za kulinda rasilimali za Taifa ambazo zilipita kinguvu na bunge

Leo wamegauka eti ile sheria ni nzuri
 
Tatizo lipo wapi?

Article 23 na Artcle 20 zipo very clear


Hao wanaopiga kelele hata wakati wa JPM walipiga kelele kuhusu sheria za kulinda rasilimali za Taifa ambazo zilipita kinguvu na bunge
Ni kweli, hizo articles ziko clear kabisa, ila maana yake ndiyo mbaya. Kama unakubaliana na maana ya articles hizo basi una mapungufu ya uelewa tafsiri za contractual articles ukiwa kama mtanzania au zinakunufuaisha wewe binafsi na hbuna interest na watanzania wengine.
 
Una maana hao mawakili hao 68 ongeza Mzee Warioba, ongeza Dr, Slaa hata Joseph Butiku hawajui English ?
 
Kwahiyo waTanzania wote ni mazuzu ila nyie wachumia tumbo wachache ndo wenye Akili sana ya kuchambua Mikataba ya Kiingereza siyo?

Msituone wajinga sana, ifikie mahali tuheshimiane na Kama ni Keki ya Hili Taifa wote tuifaidi Huku tukiandaa na Keki ya Vizazi vijavyo navyo waikute Tanzania Bora.
Muulize Prof Assad,Tatizo ni lugha
 
amini mwanetu aandike kama articles zinavosema na co kiswahl chake.. Yn wa tz wote mil 60 tushndwe kujua icho kingereza afu ujue wewe tu?
Hata mimi nimejiuliza,ni madarasa kiasi gani yanahitajika kujua hicho kiingereza kilichoandikwa kwenye huo mkataba.
Halafu cha ajabu huyo mtu anayejigamba kuwa mtaalamu wa lugha anachapia na kuandika "Emirates of Dubai" badala ya Emirate of Dubai[emoji1787]

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Sawa mwalimu wa kiingereza,ukikaribisha mgeni kwako sikunyingine aanze kukupangia ratiba za kutoka aanze kuwa na umiliki wa vitu muhimu ndani awe free kutumia sheria zake anazoziona sawa ,milango yote ni yake milele .
Wewe ni zuzu
 
ELimu, Elimu, Elimu ni kitu muhimu sana. Tanzania tuna tatizo kubwa ya lugha ya Kingereza kwa watu wetu. Lugha ya Kiswahili haina maneno na misamiati iliyojitosheleza, hivyo tafsiri toka Kingereza kwenda Kiswahili mara nyingi kumejaa ukanjanja na uwongo.

Tatizo kubwa kubwa ni watu kutafsiri Kingereza kwenye lugha zao mama, halafu baadae kutafasiri kwenda Kiswahili!

Article 23 kati ya Mkataba wa Emirates of Dubai na Serikali ya Tanzania kuhusu usimamiaji na uendeshaji wa bandari unapotoshwa hapa JF.

Article 23 inazungumzia Termination and Duration, hakuna sehemu yeyote inayosema serikali ya Tanzania au Emirates of Dubai hawaruhusiwi kuvunja mkataba. Mkataba utaweza kuvunjwa kwa makubaliano ya pande zote mbili, ndio kilichoandikwa.

Artcle 20 inazungumzia dispute settlement, Mkataba unazungumzia ikitokea kuna kutokuelewana kwenye article 23 basi usuluhishi ufuate Sheria za Kimataifa na mazungumzo yafanywe kwa Kingereza, yafanyike Johanesburg Afrika ya Kusini kwa pande zote kuwa na wawakilishi.

Tuache kupotosha raia kwa mihemko ya kisiasa na wengine kufikia hatua ya kumtukana Rais, tatizo sio Mkataba tatizo ni watu kutokuelewa lugha ya Kingereza.
Uko sahihi boss hata Prof Assad amewaambia wengi Wana shida ya uelewe na Wana dance mpira wa Wanasiasa uchwara.
 
Kwahio wachina au wajerumani wakifanya mikataba inayohusu rasilimali zao Mikataba hiyo inakuwa kwa Lugha ya Kingereza ?!!!

Ifike wakati tuelewe kwamba sababu hizi mali ni zetu sisi ndio inabidi tuamue vigezo na masharti...; Pili tatizo hakuna uwazi mpaka pale tutakapojua kabla ni nini watu wachache wanaliingiza Taifa katika Makubaliano yapi tutaendelea Kuifilisi Nchi hii kwa Tamaa za Kizazi hiki na gharama kwa Vizazi vijavyo...
 
Kwahio wachina au wajerumani wakifanya mikataba inayohusu rasilimali zao Mikataba hiyo inakuwa kwa Lugha ya Kingereza ?!!!

Ifike wakati tuelewe kwamba sababu hizi mali ni zetu sisi ndio inabidi tuamue vigezo na masharti...; Pili tatizo hakuna uwazi mpaka pale tutakapojua kabla ni nini watu wachache wanaliingiza Taifa katika Makubaliano yapi tutaendelea Kuifilisi Nchi hii kwa Tamaa za Kizazi hiki na gharama kwa Vizazi vijavyo...
Uwekezaji umeanza
 
Back
Top Bottom