Umaskini unawasumbua, mimi mwenyewe tajiri namiliki kampuni yangu kwa asilimia 100. Acheni mawazo ya kimaskini.
hahahahaha mkuu acha porojoUjitaka.kuwa na kampuni yenye mafanikio usimiliki peke yako. Hata sheria za tz haziruhusu jambo hilo. Babu tale na fella ni mameneja wanalipwa mshahara ndio baadaye faida inapatikana kwenda kwa wamiliki.
LABDA KAMPUNI YAKO HIYOOO HAPOOO CHINI.. na hata hivyo HIYO KAMPUNI HIYOOO...😛 huwezi pata mapato bila kumuweka mwanahisa hapo chini😛😛😛Umaskini unawasumbua, mimi mwenyewe tajiri namiliki kampuni yangu kwa asilimia 100. Acheni mawazo ya kimaskini.
Kwa mfano una kasaluni kako hapo saluni una mfanyakazi mmoja au wawili.. mapato ni laki moja 100% ukitoa mishahara na kodi tayari sio 100% hivyo kuna sehem ya asilimia kadhaa utatoa ili kulipa mishahara na kodi hapo tayari huo umiliki wako asilimia 100 utabakia jina tu lakini kipato halisi ni chini ya 100%.ambacho ndio utabakia nacho.Umaskini unawasumbua, mimi mwenyewe tajiri namiliki kampuni yangu kwa asilimia 100. Acheni mawazo ya kimaskini.
victoire unisex saloon & spa....kama kampuni yako ni hii mkuu basi sawa.Umaskini unawasumbua, mimi mwenyewe tajiri namiliki kampuni yangu kwa asilimia 100. Acheni mawazo ya kimaskini.
Duuuu Daaah hoja ya Kusaga kumiliki wasafi mbona haizungumziwi? Maana mlitulisha matango pori kwamba kusaga hana share zozote wasafi.Da' Mange alisema Kusaga 92% na Mond 8% na misukule yake ikaamini bila kufanya tafakuri kidogo!
Porojo? Kaulize BRELA.hahahahaha mkuu acha porojo
Ni kweli, hayo makaratasi tu... mkataba wa siri unaonesha Kusaga anamiliki 92% na Diamond 8%...!!!
Hahaha naona umeamua kumsikilizisha anachotaka kusikia?
Yah! Hamna namna kwa kweli... ni kuwapa tu wanachotaka
Duuuu Daaah hoja ya Kusaga kumiliki wasafi mbona haizungumziwi? Maana mlitulisha matango pori kwamba kusaga hana share zozote wasafi.
Hoja chungu sana hio. Zilianza diamond karanga,perfume, now shares ambazo walidhan boss wao anamiliki zote kumbe hola
Kwahyo Tcra wameweka non legal document regarding shares za Wasafi Media, Kama makataba wa siri then imekuaje wewe umeujua mpaka kiasi cha shares?Ni kweli, hayo makaratasi tu... mkataba wa siri unaonesha Kusaga anamiliki 92% na Diamond 8%...!!!
Watanzania huwa wanataka kila mtu aishie kuwa maskini..yani wanatamani chibu nae aje awe kama kina feruziKwahyo Tcra wameweka non legal document regarding shares za Wasafi Media, Kama makataba wa siri then imekuaje wewe umeujua mpaka kiasi cha shares?
Hilo ndio tatizo lao hawaamin kama diamond na yeye anaweza kuwa na mafanikio makubwa regardless alipoanzia, Kesho wanakuja why hawasaidii masikini utasaidiaje while mmesema anamilik asilimia 2 shubaamit zao.Watanzania huwa wanataka kila mtu aishie kuwa maskini..yani wanatamani chibu nae aje awe kama kina feruzi
Sawa kabisa...at the end of the day.. ni swala la faida....zikiwa nyingi ndivyo wanahisa wanavyopata zaidi...na vice versa is true..kama faida haikupatikana mwanahisa hapati gawioMkuu kwa faida ya wengine;
Cost of production hapa haimhusu Diamond. Hii gharama ya uzalishaji inatolewa kwenye mapato (sales) za kipindi husika.
Gharama ambayo Mondi atakatwa ni kodi ya gawio (dividend) ambayo kitaalamu inaitwa "With holding tax".
Yeye ni mwanahisa, baada ya kulipa gharama zote ikiwemo na kodi ya makampuni/mashirika kitaalam inajulikana kama "corporate tax", utaitishwa mkuu (AGM) kwa lengo la kukubaliana kama kuna ulazima wa kutoa gawio kwa mwaka husika au la. Wakikubaliana kutoa gawio ndiyo kila mwenye hisa atapata kulingana na idadi ya hisa zake na kila gawio litakatwa with holding tax ya 5%.
Watanzania huwa wanataka kila mtu aishie kuwa maskini..yani wanatamani chibu nae aje awe kama kina feruzi
Wakijibu niTag.Hoja chungu sana hio. Zilianza diamond karanga,perfume, now shares ambazo walidhan boss wao anamiliki zote kumbe hola
Kusaga vp haitaji pongezi zako!!Hapa mm nampongeza Mond